Thursday , 25 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Mfanyabiashara Manji azidi kusota lumande
Habari Mchanganyiko

Mfanyabiashara Manji azidi kusota lumande

Wafanyakazi wa Manji wakiingia mahakamani
Spread the love

MFANYABIASHARA Yusuf Manji na wenzake watatu wamezidi kusota rumande baada ya kesi yake kupigwa kalenda hadi Agost 9, mwaka huu, anaandika Faki Sosi.

Kesi hiyo ipo mbele ya Hakimu Mkazi Kisutu, Huruma Shahidi na Wakili wa serikali Kisenyi Mutalemwa, aliomba tarehe nyingine ya kuitaja kwa kuwa ushahidi haujakamilika.

Manji na wenzake walifikishwa kizimbani kwa tuhuma za kukutwa na sare jeshi pamoja na tuhuma nyingine zinazohusu masuala ya usalama wa nchi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

THRDC yaongeza mkataba wa ushirikiano na ABA

Spread the love  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC),...

error: Content is protected !!