Saturday , 10 June 2023
Home Habari Mchanganyiko Mfanyabiashara Manji azidi kusota lumande
Habari Mchanganyiko

Mfanyabiashara Manji azidi kusota lumande

Wafanyakazi wa Manji wakiingia mahakamani
Spread the love

MFANYABIASHARA Yusuf Manji na wenzake watatu wamezidi kusota rumande baada ya kesi yake kupigwa kalenda hadi Agost 9, mwaka huu, anaandika Faki Sosi.

Kesi hiyo ipo mbele ya Hakimu Mkazi Kisutu, Huruma Shahidi na Wakili wa serikali Kisenyi Mutalemwa, aliomba tarehe nyingine ya kuitaja kwa kuwa ushahidi haujakamilika.

Manji na wenzake walifikishwa kizimbani kwa tuhuma za kukutwa na sare jeshi pamoja na tuhuma nyingine zinazohusu masuala ya usalama wa nchi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Askari Polisi zaidi ya 100 wapigwa msasa wa udereva kukabiliana na ajali

Spread the love  KATIKA kuhakikisha wimbi la ajali za barabarani zinapungua kama...

Habari MchanganyikoTangulizi

Serikali yakana kuhamisha kwa nguvu jamii ya Kimasai Loliondo

Spread the loveWAZIRI wa Katiba na Sheria nchini Tanzania, Dk. Damas Ndumbaro,...

Habari Mchanganyiko

Tunduma watenga 60 milioni kujenga machinjio ya kisasa

Spread the loveHALMASHAURI ya mji Tunduma Imetenga kiasi cha Tshs Miloni 60...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 17 kujenga bandari kavu Tunduma

Spread the loveHALMASHAURI ya mji Tunduma iliyopo wilayani  Momba mkoani Songwe imepatiwa...

error: Content is protected !!