Saturday , 27 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Mil 160 zakatika kwenye uvuvi haramu

MBUNGE wa Viti Maalum, Fakharia Shomari Khamis (CCM) ameihoji serikali namna ilivyojipanga katika kuzuia uvuvi haramu nchini, anaandika Dany Tibason. Akiuliza swali bungeni...

Habari Mchanganyiko

Mradi wa maji Ngudu wakamilika

SERIKALI imetekeleza mradi wa majisafi kutoka Ziwa Victoria kwenda katika mji wa Ngudu na vijiji vilivyopo kando kando ya bomba linalopeleka maji katika...

Habari Mchanganyiko

Wafanyabiashara wapigiwa debe bungeni

MBUNGE wa Viti Maalum, Jesca Kishoa (Chadema) amehoji ni kwanini serikali haioni haja ya kuwasaidia wafanyabiashara kwa kuwapa riba yenye mikopo nafuu ili...

Habari Mchanganyiko

Viatirifu feki lita 14,600 vyakamatwa

SERIKALI imekiri kuwepo changamoto mbalimbali ikiwa ni pamoja na uingizwaji wa dawa za mifugo na kilimo ambazo hazikidhi viwango, anaandika Dany Tibason. Mbali...

Habari Mchanganyiko

Michango ya Mwenge yatinga bungeni

MBUNGE wa Viti Maalum, Rhoda Kunchela (Chadema) ameomba mwongozo wa kutaka Mwenyekiti wa Bunge Andrew Chenge kuharisha shughuli za bunge kwa lengo la...

Habari MchanganyikoTangulizi

Polisi waua majambazi watatu

WATU watatu wanaozaniwa majambazi wameuawa katika majibizano ya risasi na Polisi wilayani Nyamagana mkoani Mwanza wakati walipokaidi amri ya Polisi ya kujisalimisha eneo...

Habari Mchanganyiko

Tani 100,000 za Kahawa kuzalishwa nchini

BODI ya kahawa Tanzania inakusudia kuongeza uzalishaji kutoka tani 80,000 za mwaka 2017 hadi kufikia tani 100,000 mwaka 2021, anaandika Christina Haule. Hayo...

AfyaHabari Mchanganyiko

Tanzania yanufaika na madaktari wa Cuba

MBUNGE wa Gando, Othman Omar Haji (CUF) ameihoji serikali kueleza namna Tanzania ilivyofaidika na utekelezaji wa mkataba wa ushirikiano baina yake na Serikali ya...

ElimuHabari Mchanganyiko

Majanga ya moto mashuleni yakithiri

SERIKALI imekiri kukithiri kwa majanga ya moto mashuleni na kusababisha uharibifu mkubwa wa majengo, anaandika Dany Tibason. Akijibu swali bungeni leo, Naibu Waziri...

Habari Mchanganyiko

TFDA yafunga machinjio Kongwa

MAMLAKA ya udhibiti chakula vipodozi na dawa TFDA imefungia machinjio ya ng’ombe ya Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa kuendelea na huduma ya uchinjaji...

Habari Mchanganyiko

Mwambe kumrithi Kairuki TIC

JOHN Magufuli, Rais wa Tanzania leo amefanya uteuzi mpya Geoffrey Idelphonce Mwambe kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), anaandika Hamisi...

Habari Mchanganyiko

Malima aachiwa huru

MAHAKAMA ya Mkazi Kisutu imemuachia huru Naibu Waziri wa Fedha wa awamu ya nne, Adam Malima leo kwa dhamana ya shilingi milioni tano,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mapya yaibuka mauaji ya jambazi

SHEIKH Ponda Issa Ponda, Katibu wa Taasisi za Kiislam Tanzania ameibuka na kumtetea anayeitwa jambazi aliyeuwawa katika tukio la uvamizi wa ATM, kuwa...

Habari Mchanganyiko

Wazee wa mahakama kuongezewa posho

SERIKALI inaangalia uwezekano wa kuongeza posho ya wazee wa mabaraza ya Mahakama kutokana na kiwango cha Sh. 5,000 kinacholipwa hivi sasa kwa wazee...

Habari Mchanganyiko

Vijana milioni 4 kupata mafunzo

SERIKALI imesema inatekeleza programu ya miaka mitano ya kukuza ujuzi inayolenga kuwezesha vijana 4,419,074 kupata ujuzi wa kuajiliwa au kujiajiri katika sekta mbalimbali,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ajali Karatu, wanafunzi 32 wathibitishwa kupoteza maisha

KAMANDA wa Polisi, mkoani Arusha, Charles Mkumbo amethibitisha kuwa watu 32 wamefariki katika ajali iliyotokea wilayani Karatu, eneo la Rhotia Marera, anaandika Hamisi Mguta. Waliofariki...

Habari Mchanganyiko

Wakwepa kodi 310 waburuzwa kortini

OFISI ya Kamishna wa Ardhi Kanda ya Ziwa, imewafikisha mahakamani wadaiwa sugu wa kodi ya ardhi 310, walioshindwa kulipa kodi hiyo kwa kipindi...

Habari Mchanganyiko

Serikali: Bila kulipwa mtumishi asihame

SERIKALI imepiga marufuku tabia ya baadhi ya wakurugenzi ambao wanawahamisha watumishi bila kuwa na bajeti ya kuwalipa fedha zao, anaandika Dany Tibason. Kauli...

Habari Mchanganyiko

Mbunge ahoji wajane kurithiwa

MBUNGE wa Mtambile, Masoud Abdallah Saim (CUF) ameihijo serikali ina mipango gani ya kupiga marufuku tabia ya watu kurithi wajane, anaandika Dany Tibason....

Habari MchanganyikoTangulizi

Dk. Mwakyembe: Marufuku magazeti kuswoma kwenye redio na tv

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harison Mwakyembe amepiga marufuku watangazaji wa vipindi vya magazeti kwenye redio na televisheni kusoma habari...

Habari Mchanganyiko

Bei za vifaa vya ujenzi kikwazo makazi bora

MBUNGE wa Viti Maalum, Upendo Peneza (Chadema) ameitaka serikali iangalie uwezekano wa kupunguza kodi katika vifaa vya ujenzi ili wananchi waweze kujenga nyumba...

AfyaHabari Mchanganyiko

Magari ya chanjo yatumika kukusanya kodi

SERIKALI imepiga marufuku halmashauri zote nchini kutumia magari ya chanjo kwa ajili ya kukusanya mapato anaandika Dany Tibason. Kauli hiyo ilitolewa na Waziri...

Habari Mchanganyiko

Mbunge aibana serikali shamba la NBC

MBUNGE wa Viti Maalum, Rhoda Kunchele (Chadema) ameitaka serikali ieleze ni lini itakuwa tayari kutatua mgogoro wa shamba lililokuwa likimilikiwa na NBC katika...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi walia na mshahara mdogo

SHIRIKISHO la vyama vya wafanyakazi Tanzania (TCTA) Mkoa wa Dodoma, kipato cha mshahara kwa mfanyakazi kwa mwezi hakikidhi mahitaji kwa mfanyakazi, anaandika Dany...

Habari Mchanganyiko

Simbachawene awaitia fulsa watu Dodoma

WAZIRI  wa Nchi Ofisi ya Rais  Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) George Simbachawene amewataka wananchi kuchangamkia fursa za kimaendeleo zinazopatikana katika mkoa wa...

Habari Mchanganyiko

Askofu amwangukia Rais Magufuli bei ya vyakula

ASKOFU wa kanisa Methodist jimbo la Dodoma,Joseph Bundala amemtaka rais Dk. John Magufuli kuingilia kati suala la mfumko wa bei ya vyakula ili...

Habari Mchanganyiko

Visiwa vilivyokuwa giza toka Uhuru, kupata umeme

VISIWA vinne kati ya 38 vilivyopo Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza, vitaanza kupata umeme wa nishati ya jua baada ya Kampuni ya Rex...

Habari Mchanganyiko

Vijana washauriwa kukopa kukuza uchumi

VIJANA waliohitimu elimu ya juu nchini wameshauriwa kuanzisha shughuli za ujasiriamali na kukuza uchumi wao kwa kujitokeza kwenye ofisi za mikopo badala ya...

ElimuHabari Mchanganyiko

Makamu wa Rais mgeni rasmi Kongamano ya Jinsia

SAMIA Suluhu, Makamo wa Rais wa Tanzania anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa Kongamano ya Jinsia kwa Taasisi za Elimu ya Juu lililoandaliwa na...

AfyaHabari MchanganyikoTangulizi

Ajali adui namba 3 wa sekta ya Afya

MKUU wa mkoa wa Morogoro Dk. Steven Kebwe amesema, matukio ya ajali za barabarani yameshika nafasi ya tatu kwa kuwa adui mkubwa wa...

Habari Mchanganyiko

DC Ukerewe aomba kivuko

ESTOMIAH Chang’ah, Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza, ameiomba Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, kununua kivuko kipya kitakachotoa huduma ya usafiri...

Habari Mchanganyiko

Prof. Muhongo awakalia kooni REA

WAZIRI wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo ameiagiza bodi mpya ya wakurugenzi wa Wakala wa Nishati ya Umeme Vijijini (REA) kuwakagua wakandarasi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Serikali ikisema hakuna njaa, bei ya unga juu

WAKATI Serikali ikijinasibu kuwa nchini hakuna njaa, bado jamii imeendelea kulalamikia upandaji wa bei ya vyakula, anaandika Dany Tibason. Kwa nyakati tofauti baadhi...

Habari Mchanganyiko

Ewura wajipanga kupunguza kero katika utendaji

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma ya Nishati na Maji (Ewura) inakusudia kupunguza mwingiliano wa utendaji kazi baada ya kuanza kuweka mikakati kwa watumiaji...

Habari Mchanganyiko

Wauaji wa Kibiti wahofiwa kujificha Dar

SIMON Sirro, Kamishna wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, amewataka wakazi wa jiji hilo kuwa makini hasa katika kipindi hiki uchunguzi dhidi...

Habari Mchanganyiko

Vyama vya wafanyakazi wakumbushwa kanuni

SERIKALI imewataka watendaji wa vyama vya wafanyakazi kuzisoma, kuzitambua na kuzitumia vyema kanuni na sheria za kazi ili kutatua migogoro ya wafanyakazi na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Isango azikwa kijijini kwao Kisasida

HATIMAYE mwili wa aliyekuwa mwandishi wa habari, Josephat Isango tayari umepumzishwa katika nyumba ya milele kijijini kwao Kisasida mkoani Singida, anaandika Hamisi Mguta....

Habari MchanganyikoTangulizi

Majaliwa ataka riba ya mikopo ipungue

SERIKALI imeitaka mifuko ya kijamii ambayo inatoa mikopo kwa jamii kufanya marekebisho upya ili kuona uwezekano kupunguza kiwango cha riba, anaandika Dany Tibason....

Habari Mchanganyiko

Nguruwe wapigwa marufuku Morogoro

WAFUGAJI wa nguruwe kwenye kata ya Kingolwila, Morogoro wametakiwa kutoiachia mifugo yao kudhurula hovyo mitaani huku ikitapanya kinyesi hali inayopelekea uchafuzi wa mazingira,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mwigulu avalia njuga, mauaji Kibiti

WAKATI hofu juu ya usalama wa maisha ya wananchi wa Kibiti, Pwani ikizidi kutanda baada ya tukio la mauaji ya askari Polisi nane yaliyotekelezwa...

Habari Mchanganyiko

Josephat Isango kuzikwa Jumanne

MWILI wa aliyekua Mwandishi wa habari Josephat Isango unatarajiwa kuzikwa siku ya Jumanne, saa nne asubuhi nyumbani kwao Kisasida mkoani Singida, anaandika Hamisi Mguta....

Habari MchanganyikoTangulizi

Pumzika kwa amani Isango wangu

NIMEPOKEA kwa mstuko mkubwa taarifa ya kifo cha mwandishi wa habari mwenzetu na aliyekuwa mfanyakazi wa kampuni ya Hali Halisi Publishers Limited (HHPL),...

Habari Mchanganyiko

Polisi kusaka waliyoua Askari Kibiti

KAMISHNA wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi, CP Nsato Marijani amesema Jeshi la Polisi linakwenda kufanya operation kali dhidi ya majambazi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Josephat Isango afariki dunia asubuhi hii

MWANDISHI wa habari Josephat Isango amefariki dunia mapema asububi leo, anaandika Hamisi Mguta. Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na mdogo wake aitwae Christopher...

Habari MchanganyikoMichezo

Roma: Hatupo salama, aeleza mateso waliyopata

MSANII wa muziki wa Hip-Hop Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’ aliyetekwa na watu wasiojulikana kisha kuachiwa akiwa na wenzie watatu amesema hawapo salama kwa...

Habari Mchanganyiko

Mashirika na Umma yalazimishwa kujiunga NHIF

MASHIRIKA ya Umma yatalazimishwa kujiunga na Mfuko wa Bima ya Afya wa Taifa (NHIF) kwa kuwa sheria inawataka hivyo na ndiyo maana hata...

Habari Mchanganyiko

Serikali yawachongea Waganga kwa wabunge

WABUNGE wameelezwa kuwa kiasi cha Sh. 20 bilioni hazikutumika ambazo ni za mfuko wa pamoja wa afya ujulikanao kama ‘Basket Fund’ kwa mwaka...

Habari Mchanganyiko

Kamanda Sirro: Roma ‘kutekwa’ ni kawaida

IKIWA ni siku tatu tangu tukio la kupotea kwa msanii wa miondoko ya Hip Hop Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’ na wenzake watatu Kamishna...

Habari MchanganyikoMichezoTangulizi

Wasanii wamvaa Sirro kumdai Roma

NI siku ya pili tangu msanii wa muziki wa Hip-Hop, Ibrahim Mussa ‘Roma’ na wenzake kukamatwa na watu wasiojulikana katika Studio za Tongwe...

Habari Mchanganyiko

Samaki wa Sh. 20 milioni wataifishwa Mwanza

SERIKALI mkoani Mwanza, imekamata na kuwataifisha samaki kilogramu 3482 wenye thamani ya Sh. 20,892,000 waliovuliwa ‘kimagendo’ na wavuvi haramu kinyume na sheria za...

error: Content is protected !!