Wednesday , 24 April 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Makamu wa Rais mgeni rasmi Kongamano ya Jinsia
ElimuHabari Mchanganyiko

Makamu wa Rais mgeni rasmi Kongamano ya Jinsia

Lila Mandu, Afisa Habari na Mawasiliano wa DUCE
Spread the love

SAMIA Suluhu, Makamo wa Rais wa Tanzania anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa Kongamano ya Jinsia kwa Taasisi za Elimu ya Juu lililoandaliwa na Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (DUCE), litakalofanyika Aprili 27 na 28 mwaka huu, anaandika Hamisi Mguta.

Lila Mandu, Afisa Habari wa Elimu na Mawasiliano wa DUCE,  amewaambia waandishi wa kuwa lengo la kongamano hilo ni kujadili mambo mbalimbali yanayohusu usawa wa jinsia.

https://youtu.be/-Yr3KrDxDMY

Mandu amesema kongamano hilo litafanyika katika viwanja vya shule ya msingi DUCE iliyopo wilaya ya Temeke, jijini Dar es Salaam.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Bodaboda waeleza mafanikio mafunzo usalama barabarani

Spread the loveMADEREVA bodaboda katika Jiji la Dodoma wameeleza jinsi mafunzo ya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yaahidi kuendelea kuunga mkono Serikali za Mitaa

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza dhamira yake ya...

Habari Mchanganyiko

Watuhumiwa 12 wa kilo 726.2 za dawa za kulevya wafikishwa mahakamani

Spread the love  WATUHUMIWA watatu wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kibaha Mkoani...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!