Thursday , 28 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Mwambe kumrithi Kairuki TIC
Habari Mchanganyiko

Mwambe kumrithi Kairuki TIC

Spread the love

JOHN Magufuli, Rais wa Tanzania leo amefanya uteuzi mpya Geoffrey Idelphonce Mwambe kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), anaandika Hamisi Mguta.

Awali nafasi hiyo ilikuwa chini ya Juliet Kairuki ambaye alitenguliwa na Rais Magufuli Aprili 24, mwaka huu baada kupatikana kwa taarifa kuwa tangu alipoajiliwa mwaka 2013 kiongozi huyo alikuwa hachukui mshahara wa serikalini.

Kabla ya uteuzi huo Mwambe alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Manyoni mkoani Singida ambapo anatakayechukua nafasi hiyo atatajwa baadaye.

Katika hatua nyingine Rais amemteua Clifford Tandari aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezazji Tanzania kuwa Katibu Tawala wa mkoa wa Morogoro nafasi ambayo ilikuwa chini ya John Ndunguru ambaye amestaafu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Soko nepi za watoto lashuka, watu wazima lapaa

Spread the loveKiwanda cha kutengeneza nepi cha Japan kimetangaza kuwa kitaacha kutengeneza...

error: Content is protected !!