Saturday , 27 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Isango azikwa kijijini kwao Kisasida
Habari MchanganyikoTangulizi

Isango azikwa kijijini kwao Kisasida

Spread the love

HATIMAYE mwili wa aliyekuwa mwandishi wa habari, Josephat Isango tayari umepumzishwa katika nyumba ya milele kijijini kwao Kisasida mkoani Singida, anaandika Hamisi Mguta.

Isango alifariki Aprili 14 siku ya Ijumaa Kuu katika hospitali ya Ikungi mkoani humo alipokuwa amelazwa kwa wiki mbili akisumbuliwa na tatizo la kupanuka kwa moyo.

Mwandishi huyo aliyekuwa mashuhuri katika kupigania haki za wanyonge amezikwa mita chache kutoka nyumbani kwao.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

error: Content is protected !!