Monday , 5 June 2023
Home Habari Mchanganyiko Isango azikwa kijijini kwao Kisasida
Habari MchanganyikoTangulizi

Isango azikwa kijijini kwao Kisasida

Spread the love

HATIMAYE mwili wa aliyekuwa mwandishi wa habari, Josephat Isango tayari umepumzishwa katika nyumba ya milele kijijini kwao Kisasida mkoani Singida, anaandika Hamisi Mguta.

Isango alifariki Aprili 14 siku ya Ijumaa Kuu katika hospitali ya Ikungi mkoani humo alipokuwa amelazwa kwa wiki mbili akisumbuliwa na tatizo la kupanuka kwa moyo.

Mwandishi huyo aliyekuwa mashuhuri katika kupigania haki za wanyonge amezikwa mita chache kutoka nyumbani kwao.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Tunduma watenga 60 milioni kujenga machinjio ya kisasa

Spread the loveHALMASHAURI ya mji Tunduma Imetenga kiasi cha Tshs Miloni 60...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 17 kujenga bandari kavu Tunduma

Spread the loveHALMASHAURI ya mji Tunduma iliyopo wilayani  Momba mkoani Songwe imepatiwa...

Habari Mchanganyiko

Bandari ya Kigoma kuongezewa uwezo wa kutoa huduma zake

Spread the love  SERIKALI kupitia mamlaka ya Bandari nchini (TPA), imewekeza takribani...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kifo cha mwanafunzi UDOM: Tume yamsafisha naibu waziri

Spread the loveTUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini (THBUB),...

error: Content is protected !!