Saturday , 27 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Wananchi waingiwa hofu malipo ya fidia Tanga
Habari Mchanganyiko

Wananchi waingiwa hofu malipo ya fidia Tanga

Mkuu wa mkoa wa Tanga, Martin Shigella
Spread the love

SAKATA la malipo ya fidia kwa wakazi wanaopisha mradi wa bomba la mafuta vijiji vya Kata ya Chongoleani, limeingia sura mpya baada ya wadau wa Asasi za kiraia mkoani hapa kushinikiza haki itendeke kwa wananchi hao ili walipwe kabla ya mradi huo kuanza, anaandika Mwandishi Wetu.

Aidha, serikali na Asasi za kiraia zimetakiwa kuwaandaa wananchi katika kukabiliana na changamoto za uwekezaji ili wazawa wasiwe wasindikizaji kwenye uchumi.

Mkutano huo uliofunguliwa na Mkuu wa mkoa wa Tanga, Martin Shigella ulihusu kujenga ushirikiano na kuaminiana baina ya Asasi za kiraia na serikali.

Wakichangia katika mkutano huo wananchi wanaopisha mradi huo waliitaka serikali kuwasikiliza madai ya wananchi hao badala ya kuwapuuza.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!