Saturday , 20 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Wakulima waiomba serikali mashamba ya kulima
Habari Mchanganyiko

Wakulima waiomba serikali mashamba ya kulima

Dk. Steven Kebwe, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro
Spread the love

SERIKALI kupitia wizara ya kilimo na mifugo imeombwa kuangalia uwezekano wa kuwapatia mashamba wakulima wanaotoa elimu kwenye maonesho ya wakulima ya imo nane nane Kanda ya Mashariki, anaandika Christina Haule.

Ombi hilo limetolewa na wakulima mbalimbali katika Manispaa ya Kigamboni mbele ya Mkuu wa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dk. Kebwe Steven Kebwe.

Mkulima kutoka banda la Kigamboni, Bakari Ndilana amesema wao kama wakulima wanaoonesha bidhaa za kilimo wamekuwa wakikabiliwa na changamoto nyingi.

Ndilana amesema wakulima katika kikundi cha asilia kutoka Kigamboni jijini Dar es salaam hununua bidhaa mbalimbali na kutengeneza majani ya chai yanayosaidia kutoa sumu mwilini.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Gardner Habash wa Clouds Fm afariki dunia

Spread the loveALIYEKUWA mtangazaji wa kipindi cha Jahazi kinachorushwa na kituo cha...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wauguzi, madaktari 1000 kugawiwa mitungi ya Oryx Gas

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yachaguliwa Makamu wa Rais Tume ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani

Spread the love  TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)...

Habari Mchanganyiko

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),...

error: Content is protected !!