Monday , 5 June 2023
Home Habari Mchanganyiko Wakulima waiomba serikali mashamba ya kulima
Habari Mchanganyiko

Wakulima waiomba serikali mashamba ya kulima

Dk. Steven Kebwe, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro
Spread the love

SERIKALI kupitia wizara ya kilimo na mifugo imeombwa kuangalia uwezekano wa kuwapatia mashamba wakulima wanaotoa elimu kwenye maonesho ya wakulima ya imo nane nane Kanda ya Mashariki, anaandika Christina Haule.

Ombi hilo limetolewa na wakulima mbalimbali katika Manispaa ya Kigamboni mbele ya Mkuu wa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dk. Kebwe Steven Kebwe.

Mkulima kutoka banda la Kigamboni, Bakari Ndilana amesema wao kama wakulima wanaoonesha bidhaa za kilimo wamekuwa wakikabiliwa na changamoto nyingi.

Ndilana amesema wakulima katika kikundi cha asilia kutoka Kigamboni jijini Dar es salaam hununua bidhaa mbalimbali na kutengeneza majani ya chai yanayosaidia kutoa sumu mwilini.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Tunduma watenga 60 milioni kujenga machinjio ya kisasa

Spread the loveHALMASHAURI ya mji Tunduma Imetenga kiasi cha Tshs Miloni 60...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 17 kujenga bandari kavu Tunduma

Spread the loveHALMASHAURI ya mji Tunduma iliyopo wilayani  Momba mkoani Songwe imepatiwa...

Habari Mchanganyiko

Bandari ya Kigoma kuongezewa uwezo wa kutoa huduma zake

Spread the love  SERIKALI kupitia mamlaka ya Bandari nchini (TPA), imewekeza takribani...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kifo cha mwanafunzi UDOM: Tume yamsafisha naibu waziri

Spread the loveTUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini (THBUB),...

error: Content is protected !!