Friday , 26 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Watu 45 watiwa mbaroni mkoani Dodoma
Habari Mchanganyiko

Watu 45 watiwa mbaroni mkoani Dodoma

Lazaro Mambosasa, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam
Spread the love

JESHI la Polisi Mkoani Dodoma linawashikilia watu 45 kwa tuhuma mbalimbali pamoja na kukamata silaha, mali za wizi na madawa ya kulevya katika maeneo, anaandika  Dany Tibason.

Kauli hiyo imetolewa leo mjini Dodoma na Kamishina mwandamizi msaidizi wa Jeshi la Polisi, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma, Lazaro Mambosasa wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.

Kamanda Mambosasa amesema kuwa kutokana na msako unaoendelea kufanywa na Polisi wamefanikiwa kuwakamata watuhumiwa hao katika matukio tofauti.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!