Wednesday , 27 September 2023
Home Habari Mchanganyiko Watu 45 watiwa mbaroni mkoani Dodoma
Habari Mchanganyiko

Watu 45 watiwa mbaroni mkoani Dodoma

Lazaro Mambosasa, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam
Spread the love

JESHI la Polisi Mkoani Dodoma linawashikilia watu 45 kwa tuhuma mbalimbali pamoja na kukamata silaha, mali za wizi na madawa ya kulevya katika maeneo, anaandika  Dany Tibason.

Kauli hiyo imetolewa leo mjini Dodoma na Kamishina mwandamizi msaidizi wa Jeshi la Polisi, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma, Lazaro Mambosasa wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.

Kamanda Mambosasa amesema kuwa kutokana na msako unaoendelea kufanywa na Polisi wamefanikiwa kuwakamata watuhumiwa hao katika matukio tofauti.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga: Usambazaji umeme vijijini mwisho Desemba 2023

Spread the love  NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amesema ifikapo mwezi...

Habari Mchanganyiko

Wizara ya madini kurusha ndege ya utafiti wa madini Geita

Spread the loveKutokana na mchango wa wachimbaji wadogo wa madini kwenye pato...

Habari Mchanganyiko

Jafo aagiza kampuni za madini kuzingatia utunzaji mazingira, azitaka zijifunze kwa GGML

Spread the loveWAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia apewa tano ujenzi barabara Mtwara

Spread the loveWANANCHI wa Mkoa wa Mtwara, wameishukuru Serikali ya Rais Dk....

error: Content is protected !!