Saturday , 27 April 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

MichezoTangulizi

Rekodi kuipa Simba kiburi dhidi ya Kaizer Chiefs

  KUELEKEA mchezo wa kesho wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika dhidi ya Kaizer Chiefs, Simba inapewa nafasi kubwa ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia atoa salamu Eid El Fitri

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewatakoa Watanzania wote sherehe njema ya Eid El Fitri. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia amsimamisha DC Sabaya, ateua

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Baada ya siku 342 gerezani, DPP awafutia mashtaka bosi MSD, mwenzake

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imewaachia huru, aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Laurean Bwanakunu na Mkurugenzi...

MichezoTangulizi

Karia afunguka sababu za kuarishwa mechi ya Simba na Yanga

  RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), amesema sababu za kiusalama ndiyo zilipelekea kuarishwa kwa mchezo kati ya Simba na...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu achambua uteuzi DPP Mganga kuwa Jaji

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani, Tanzania- Chadema-Bara, Tundu Lissu, amekosoa uamuzi wa Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, kumteua...

Habari za Siasa

Zungu arejea uenyekiti wa Bunge, wawili wapya

  BUNGE la Tanzania, limewathibitisha, Mbunge wa Ilala, Mussa Azan Zungu; Mbunge Viti Maalum, Najma Murtaza Giga na Mbunge wa Mufindi Kusini, David...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mkwamo malori bandari Dar wasimamisha Bunge

KADHIA ya malori kutoshusha wala kuoandisha mizigo kwa siku tano mfululizo, imelisukuma Bunge kuahirishwa kwa dakika 20 ili kujadili mkwamo huo. Anaripoti Mwandishi...

MichezoTangulizi

Shabiki wa Yanga awekwa Makumbusho ya Taifa

  SHABIKI wa Yanga, Mansur Hussen aliyetembea kwa miguu kutoka Kigoma hadi Dar es Salaam kwa ajili ya kutazama mchezo wa Simba na...

Makala & Uchambuzi

Mlinzi wa Rais Obote aliyedhaniwa kufa arejea baada ya miaka 50

  MKUU wa zamani wa usalama wa Rais wa Uganda, marehemu Milton Obote, ambaye alidhaniwa amekufa, amerejea nyumbani kwao Uganda baada ya miaka...

Habari za Siasa

Mseven kuapishwa leo, Rais Samia kuhudhuria

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekwenda nchini Uganda, kuhudhuria sherehe ya kuapishwa kwa Rais mteule wa nchi hiyo, Yoweri Museveni. Anaripoti...

MichezoTangulizi

Man City bingwa mpya EPL

  KLABU ya Manchester City imetangzwa kuwa bingwa mpya wa Ligi Kuu nchini England mara baada ya Manchester United kukubali kichapo cha mabao...

Habari za Siasa

Mwanasheria Bawacha: Spika atimize wajibu wake

  MHAZINI wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), katika jimbo la Kawe, Esther Dafi amesema, amesikitishwa na upotoshaji...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ateua majaji 28, DPP Biswalo nje, ndani

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa Majaji wa Mahakama ya Rufani saba, amemuongezea muda Jaji wa Mahakama ya Rufani...

Habari za Siasa

Ndugai ashauri HESLB itoe mikopo vyuo vya kati, ufundi

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, ameishauri Serikali ifanye marekebisho ya Sheria ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB),...

MichezoTangulizi

Yanga na Mwadui, Simba na Dodoma Jiji, robo fainali Kombe la Shirikisho

RATIBA ya michuano ya Kombe la Azam Federation CUP (ASFC) nchini Tanzania, hatua ya robo fainali, itashuhudia Yanga ikisafiri kwenda Shinyanga kuwavaa Mwadui...

Habari za Siasa

Matiko aibua hoja mpya miradi ya maji

  MBUNGE asiye na chama, Esther Matiko amelishauri Bunge liunde kamati maalum kwa ajili ya kuchunguza miradi ya maji yenye harufu ya ubadhirifu. Anaripoti...

MichezoTangulizi

Bodi ya Ligi yahairisha tena mechi ya Simba

  MARA baada ya kuahirisha mchezo dhidi ya Yanga bodi ya Ligi Kuu imeahirisha tena mchezo wa Simba dhidi ya Coastal union kutoka...

Habari MchanganyikoTangulizi

MCT, TEF yamwangukia Rais Samia

  BARAZA la Habari Tanzania (MCT) na Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), limeiomba Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, iondoe sheria zote...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Safari: Ndugai anatumia Katiba ipi?

  PROFSA Abdallah Safari, mmoja wa wananasheria mahiri nchini Tanzania, amesema, hatua ya Spika wa Bunge, Job Ndugai, kuendelea kuwakingia kifua wabunge 19,...

MichezoTangulizi

Waziri Mkuu ataka wizara itoe taarifa kuahirishwa mchezo Simba na Yanga

  WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo kutoa tamko kuhusiana na...

HabariHabari za SiasaTangulizi

Zitto: Buhigwe msitishwe

ZITTO Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, amewataka wakazi wa Jimbo la Buhigwe, Kigoma wasitishike na watu wanaowashinikiza kuchagua mgombea wa Chama Cha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Serikali kuajiri walimu 6,949, wataalamu afya 2,726

SERIKALI imetangaza nafasi za ajira kwa walimu wa shule za msingi na sekondari pamoja na watumishi wa kada mbalimbali za sekta ya afya....

Habari za SiasaTangulizi

Wazee Chadema wamweka mtegoni Rais Samia

BARAZA la Wazee la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), limeishauri  Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, ifanye marekebisho ya Katiba ili nchi...

MichezoTangulizi

Mchezo wa Simba na Yanga waota mbawa

  Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Simba umeahilishwa kufuatia mkanganyiko wa muda wa kuanza mchezo huo. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar...

MichezoTangulizi

Yanga yaigomea TFF, kuingiza timu saa 11 jioni

  MABINGWA wa Kihistoria nchini Tanzania, Yanga ya jijini Dar es Salaam umesema, utaipeleka timu yao katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, muda uliopangwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mzee Mwinyi atimiza miaka 96, kuzindua kitabu chake leo

  MZEE Ali Hassan Mwinyi, Rais mstaafu wa awamu ya pili wa Tanzania, leo Jumamosi, tarehe 8 Mei 2021, ametimiza miaka 96. Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

ATCL yazindua safari Dar- Guangzhou

  SHIRIKA la Ndege la Tanzania (ATCL), limezindua safari za moja kwa moja za ndege kutoka Dar es Salaam kwenda Guangzhou, nchini China....

HabariHabari MchanganyikoTangulizi

Samia aonya uhalifu Dar, ampa maagizo IGP Sirro

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemuagiza Inspekta Jenerali wa Polisi nchini humo (IGP), Simon Sirro, akomeshe vitendo vya uhalifu katika Mkoa...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Nitateua yoyote bila kujali chama anachotoka

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema katika serikali yake, atateua mtu yeyote mwenye uwezi kutoka chama chochote cha siasa ili kujenga...

HabariHabari Mchanganyiko

Tunaomba uwakilishi bungeni, matibabu ya afya- Wazee Dar

  WAZEE wa Mkoa wa Dar es Salaam, wameiomba Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, ianzishe utaratibu wa kundi hilo kuwa na...

HabariHabari Mchanganyiko

Wazee Dar wamwomba Rais Samia kudumisha utawala bora

  BARAZA la Wazee la Mkoa wa Dar es Salaam, limemuomba Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, aongeze juhudi katika uimarishwaji misingi ya...

HabariMichezo

Matola awaita mashabiki Uwanjani

KOCHA msaidizi wa Simba Suleiman Matola, awataka washabiki wa simba wajitokeze kwa wingi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya watani...

Habari MchanganyikoTangulizi

Barakoa zatawala mkutano Rais Samia, wazee Dar

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekwisha kuwasili ukumbi wa Mliman City, Dar es Salaam, ambapo atazungumza na wazee wa mkoa huo....

MichezoTangulizi

Kocha Simba ahaidi Burudaani dhidi ya Yanga

  KOCHA Msaidizi wa Simba, Seleman Matola amesema kuwa kikosi chake kesho kimepanga kwenda kuonesha burudani kwenye mchezo wao dhidi ya Yanga. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Mdee, wenzake 18 wamtesa Ndugai

  SPIKA wa Bunge, Job Ndugai analazimika kutoa maelezo ya mara kwa mara kutokana na ‘mashambulizi’ yanayoelekezwa katika kiti chake, kuhusu kushindwa kuwatimua...

MichezoTangulizi

Kocha Yanga: Siwaogopi Simba, awaita mashabiki uwanjani

  WAKATI joto la mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2020/21 kati ya watani wa jadi, Simba dhidi ya Yanga likipamba moto, Kocha...

HabariMichezo

Kaizer Chiefs dhidi ya Simba kupigwa Mei 15

  MCHEZO war obo fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika kati ya Kaizer Chief dhidi ya Simba rasmi sasa utachezwa...

HabariMichezo

Chama, Gomes washinda tuzo VPL mwezi Aprili

  KIUNGO wa klabu ya Simba Clatous Chama amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Aprili 2021 kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara huku kocha...

HabariMichezo

Jeshi la Polisi latoa masharti matano mchezo Simba na Yanga

  JESHI la Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam limetoa masharti matano kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Simba...

Habari za Siasa

Rais Samia aongoza kikao baraza la mawaziri

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania, ameongoza kikao cha Baraza la Mawaziri. Anaripoti Nasra Bakari, DMC … (endelea). Kikao hicho, kimefanyika leo...

Habari za Siasa

‘Wafadhili wa miradi ya maji wapunguziwe kodi’

  SERIKALI ya Tanzania imeshauriwa kuwapunguzia mzigo wa kodi wafadhili wa miradi ya maji. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea).  Ushauri...

Habari za SiasaTangulizi

Wenyeviti wa Bunge Tanzania, giza nene

  LICHA ya Kanuni za Bunge la Tanzania, kutaka kuwepo kwa Wenyeviti wa Bunge, mpaka sasa wenyeviti hao hawapo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge Tanzania laweka historia mpya

  KWA mara ya kwanza, kipindi cha maswali kwa waziri mkuu bungeni nchini Tanzania, kimekosa maswali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Dk....

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe azungumzia ziara Rais Samia Kenya “Tanzania tunakusubiri”

  FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania- Chadema, amempongeza Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, kwa kauli zenye upatanishi...

HabariMichezo

Man United wahamia kwa Harry Kane

  Klabu ya Manchester United ya nchini England ipo tayari kutoa kiasi Euro 90 milioni sawa na shilingi 250.8 bilioni, kwa jili ya...

Habari za Siasa

Rais Samia atoa msimamo ushirikiano Tanzania-Kenya

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewata watu kutolichonganisha Taifa hilo na Kenya. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Rais...

Habari za Siasa

Rais Samia awavunja mbavu wabunge Kenya

  MABUNGE ya Kenya leo Jumatano, tarehe 5 Mei 2021, yametawaliwa na vicheko, furaha wakati Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akihutubia. Anaripoti...

Habari za Siasa

Kampeni Buhigwe: Majaliwa amwaga sera, ahadi

  SERIKALI ya Tanzania, imetenga zaidi ya Sh.1 bilioni kwa ajili ya kuboresha hospitali ya wilaya Kibondo, mkoani Kigoma, ili kuhakikisha wakazi wa...

Habari za Siasa

Serikali yaweka nguvu barabara ya Handeni – Kiteto -Singida

  SERIKALI ya Tanzania, imetenga Sh. 6 Bilioni kwa ajili ya kuanza maandalizi ya ujenzi wa barabara ya Handeni – Kiberashi – Kiteto...

error: Content is protected !!