Friday , 29 March 2024
Home Habari Mchanganyiko ATCL yazindua safari Dar- Guangzhou
Habari MchanganyikoTangulizi

ATCL yazindua safari Dar- Guangzhou

Spread the love

 

SHIRIKA la Ndege la Tanzania (ATCL), limezindua safari za moja kwa moja za ndege kutoka Dar es Salaam kwenda Guangzhou, nchini China. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Uzinduzi huo umefanywaa leo Jumamosi, tarehe 8 Mei 2021 na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Dk. Leonard Chamliho, katika Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam.

Wafanyakazi mbalimbali wa ATCL wamehudhulia uzinduzi huo wa ndege itakayokuwa ikitumia saa 11, akiwemo Mkurugenzi Mkuu wa shirika hilo, Mhandisi Ladislaus Matindi.

Mhandisi Matindi amesema, safari hizo zitakuwa kila siku ya Jumamosi na kurudi Jumapili na zitakuwa kila baada ya wiki mbili.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

error: Content is protected !!