Friday , 29 September 2023
Home Kitengo Michezo Bodi ya Ligi yahairisha tena mechi ya Simba
MichezoTangulizi

Bodi ya Ligi yahairisha tena mechi ya Simba

Spread the love

 

MARA baada ya kuahirisha mchezo dhidi ya Yanga bodi ya Ligi Kuu imeahirisha tena mchezo wa Simba dhidi ya Coastal union kutoka Tanga kutoka na Simba kuwa safarili kuelekea nchini Afrika kusini kwenye mchezo dhidi ya Kaizer Chiief utakaopigwa Tarehe 15 Mei 2021. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)

Mchezo huo ulipangwa kuchezwa Tarehe 11 Mei 2021, kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.

Simba itaondoka kesho jumanne majira ya saa 9 usiku kuelekea Afrika kusini wakipitia Kenya kwenye mchezo wa Robo Fainali ya klabu bingwa barani Afrika dhidi ya Kaizer Chiefs.

Barua ya Bodi ya ligi kwenda kwa katibu wa klabu ya Coastal union imeeleza kuwa mchezo huo utapangiwa siku nyingine.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Meridianbet yaibukia Tandika, yafungua duka jipya

Spread the love BAADA ya kupita maeneo mbalimbali hatimae kampuni yaMeridianbet imeibukia...

Habari MchanganyikoTangulizi

Afya ya akili yatajwa chanzo kuvunjika ndoa

Spread the loveCHANGAMOTO ya afya ya akili, imetajwa kuwa chanzo cha migogoro...

BiasharaMichezo

Ukiwa na Meridianbet ni rahisi kuwa milionea

Spread the love  CARABAO Cup raundi ya 3 Uingereza inaendelea na mechi...

Michezo

Jezi ya Samatta iliyoifunga Liverpool kuuzwa Genk

Spread the love  KLABU ya KRC Genk ya nchini Ubelgiji imeamua kuanza...

error: Content is protected !!