Thursday , 18 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Rais Samia atoa salamu Eid El Fitri
Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia atoa salamu Eid El Fitri

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan
Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewatakoa Watanzania wote sherehe njema ya Eid El Fitri. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). 

Leo Ijumaa, tarehe 14 Mei 2021, Waislamu wanasherekea sikuu kuu ya Eid, wakihitimisha mfungo mtukufu wa Ramadhan.

Katika ukurasa wake wa Twitter, Rais Samia ametoa salamu hizo akisema “Nawatakia Watanzania wote sherehe njema za Eid El Fitr.”

“Tusherehekee kwa amani na utulivu huku tukiyakumbuka na kuyaenzi mafunzo mema ya Mtume wetu (SAW) na yote tuliyojifunza wakati wa mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.”

Amemalizia akisema “Mwenyezi Mungu awe nasi daima, Inshaallah. Eid Mubarak.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yatangaza ruti awamu ya pili maandamano

Spread the love  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema awamu ya...

Habari Mchanganyiko

Mume auwa mke kwa kumchoma visu, ajisalimisha Polisi

Spread the loveJACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza,...

error: Content is protected !!