Thursday , 28 March 2024
Home Kitengo Michezo Man City bingwa mpya EPL
MichezoTangulizi

Man City bingwa mpya EPL

Spread the love

 

KLABU ya Manchester City imetangzwa kuwa bingwa mpya wa Ligi Kuu nchini England mara baada ya Manchester United kukubali kichapo cha mabao 2-1, mbele ya Leceister City na hivyo kushindwa kufikia pointi za Manchester City hata wakishinda michezo iliyobaki. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)

Mara baada ya kupoteza mchezo huo Manchester United inasalia kwenye nafasi yake ya pili akiwa na pointi 70, huku Manchester City kwenye nafasi ya kwanza akiwa na pointi 80 wote wakisalia na michezo mitatu.

Huu unakuwa ubingwa wa tano kwa Manchester City huku mataji matatu wakitwaa chini ya Pep Guardiolla ambaye alijiunga na kikosi hiko 2016 akitokea klabu ya Bayern Munchen kutoka Ujerumani.

Man City imechukua ubingwa katika msimu wa 2011-12, 2013-14, 2017-18, 2018-19 na 2020-21.

 

 

 

 

 

 

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

Habari za SiasaTangulizi

CAG aibua madudu halmashauri 10, TANESCO na MSD

Spread the loveRIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali...

error: Content is protected !!