Friday , 3 May 2024

Habari

Kimataifa

Muigizaji filamu maarufu wa Nigeria akamatwa

JESHI la Polisi nchini Nigeria, limethibitisha kumkamata mchezaji filamu maarufu nchini humo, Chiwetalu Agu kwa kuvaa vazi lenye bendera ya kikundi cha jamii...

Kimataifa

Achana na Arnold, huyu ndiye jabali mwenye nguvu zaidi duniani

  HAFTHOR Julius Bjornsson ndiye mwanaume mwenye nguvu zaidi duniani ambaye pia ni mcheza filamu nchini Marekani. Ni raia wa Iceland, alipata umaarufu...

Kimataifa

Mwandishi afariki dunia saa 48 baada ya kufunga ndoa

  MWANDISHI wa habari na mfanyabiashara maarufu nchini Malawi, Russell Chimbayo amefariki dunia siku mbili baada ya kufunga ndao na mchumba wake, Jacqueline...

Kimataifa

Waziri Mkuu atawazwa tena katikati ya giza nene

  WAZIRI Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed ameapishwa kutumikia muhula wa pili katika nafasi hiyo huku taifa lake likikumbwa na mzozo wa kidiplomasia...

Kimataifa

Kenyatta ajipanga kujitetea kashfa bilioni 70

  BAADA ya Panama Papers mwaka 2016, Paradise Papers mwaka 2017, Mauritius Leaks mwaka 2019 na Luanda Leaks mwaka 2020, hatimaye Jumuiya ya...

Kimataifa

Mwanaume afunga ‘ndoa’ na rice cooker

  UKISTAAJABU ya Mussa uyataona ya Firauni. Ndivyo unavyoweza kuelezea kile alichokifanya Khoirul Anam, raia wa Indonesia aliyeamua kufunga ‘ndoa’ na ‘rice cooker.’...

Kimataifa

Ujerumani yamchunguza anayedaiwa kuwa jasusi la Uturuki

  MWENDESHA mashitaka nchini Ujerumani, ameanza uchunguzi dhidi ya raia mmoja wa Uturuki, anayetuhumiwa kwa ujasusi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Ofisi ya...

Kimataifa

Kiongozi wa kijeshi wa Guinea kuapishwa kuwa rais

  KIONGOZI wa kijeshi nchini Guinea, Kanali Mamady Doumbouya anatarajiwa kuapishwa leo tarehe 1 Oktoba 2021kama rais wa mpito. Anaripoti Patricia Kighono, TUDARCo...

Kimataifa

Rais wa zamani Ufaransa jela mwaka mmoja

  RAIS wa zamani wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela na Mahakama kuu ya Paris nchini huko baada ya...

Kimataifa

Denti Chuo Kikuu auawa kikatili na mpenzi wake

  HALI ya majonzi imetanda katika Chuo kikuu cha Laikipia nchini Kenya baada ya mwanafunzi mmoja wa kike kuuawa kinyama kwa kuchomwa kisu...

Kimataifa

Vikosi vya Israel vyawaua Wapalestina 2

  WAPALESTINA wawili wauawa na vikosi vya Israel kwenye matukio tofauti huko Palestina. Anaripoti Glory Massamu TUDARCo kwa msaada wa mitandao ya kimataifa...

Kimataifa

Angela markel atoa pongezi kwa Scholz

  KANSELA wa Ujerumani, Angela Merkel amempongeza mgombea wa ukansela aliyekuwa mpinzani wake kupitia chama cha Social Democratic SPD Olaf Scholz. Anaripoti Helena...

Kimataifa

Maofisa wanne wa jeshi la Rwanda wauawa Msumbiji, 14 wajeruhiwa

  MAOFISA wanne wa jeshi la Rwanda wameuawa nchini Msumbiji, katika operesheni ya kijeshi dhidi ya wanamgambo wa kiislamu, katika jimbo la Cabo...

Kimataifa

Ujerumani yamchagua mbunge wa kwanza mwanamke mweusi

  AWET Tesfaiesus, mbunge wa kwanza wa chama cha Green akiwa mwanamke wa kwanza mwenye asili ya Afrika, kuchaguliwa kuwa mbunge katika Bunge...

Kimataifa

Rais ‘Kiduku’ aibipu UN

RAIS wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un maarufu kama ‘Kiduku’ kutokana na staili yake ya nywele, amesimamia urushwaji wa kombora la masafa mafupi...

Kimataifa

Ujerumani kuunda serikali ya mseto

  WAJERUMANI wameamua. Ndivyo unavyoweza kutafsiri matokeo ya uchaguzi uliofanyika tarehe 26 Septemba mwaka huu nchini humo, baada ya kuupiga chini muungano wa...

Kimataifa

Mwandishi wa habari mbaroni kwa tuhuma za ugaidi

  MWANDISHI wa habari kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Sosthène Kambidi amekamatwa na maofisa wa Jeshi la nchi hiyo na kuhojiwa kwa...

Kimataifa

Polisi aliyemuua George Floyd akata rufaa

  DEREK Chauvin (46), aliyekuwa askari polisi wa mji wa Minneapolis, Jimbo la Minnesota nchini Marekani, anayetumikia kifungo cha miaka 22 na nusu...

Kimataifa

Joe Biden amchefua Balozi Haiti, ajiuzulu

  RAIS wa Marekani, Joe Biden amedaiwa kumchefua Mwakilishi wake maalumu nchini Haiti, Balozi Daniel Foote baada ya kukataa mapendekezo yake kuhusu njia...

KimataifaTangulizi

Rais Hichilema aalikwa Ikulu ya Marekani

  BAADA ya miaka 30 kupita pasina uongozi wa juu wa Zambia kualikwa White House ya Marekani, hatimaye Rais mpya wa Taifa hilo,...

Kimataifa

Uganda walegeza masharti ya Corona

  RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni imetangaza kulegeza masharti dhidi ya janga la maambukizi ya Uviko-19 ambapo nyumba za ibada zitafunguliwa huku idadi...

Kimataifa

Baba mbaroni kwa kufyeka ‘matiti’ ya binti’ye kwa jiwe la moto

  POLISI wa jimbo la Lagos nchini Nigeria wamemtia mbaroni mwanaume mmoja kwa madai ya kuyaondoa matiti ya binti yake mwenye umri wa...

Kimataifa

Kamati ya siri UN kujadili ombi la Taliban kuhutubia marais

  UMOJA wa Mataifa (UN) umeunda Kamati maalumu ya siri yenye wajumbe tisa kujadili mkanganyiko uliojitokeza kuhusu viongozi wa Serikali Afghanistan wanaopaswa kuhudhuria...

Kimataifa

Pakistan waonya vita vya wenyewe kwa wenyewe Afghanistan

  WAZIRI Mkuu wa Pakistani, Imran Khan ameuonya uongozi mpya ya Afghanistan kuunda haraka Serikali shirikishi ili kuzuia uwezekano wa kuibuka kwa vita...

Kimataifa

Wafungwa waliobaka wenzao DRC kukiona

  SHIRIKA la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch linasema, mamlaka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), zilipuuza tahadhari za...

Kimataifa

Mahakama ya Ulaya yaihusisha Urusi mauaji aliyekuwa jasusi wake

  ALEXANDER Litvinenko, jasusi wa zamani wa Urusi, aliuawa kwa sumu na majasusi yaliyotumwa na taifa hilo, Mahamaka ya Haki za Binadamu ya...

Kimataifa

Mapacha wazee duniani wavunja rekodi

  MAPACHA wawili raia wa Japan, Umeno na Koume wenye miaka 107, wamevunja rekodi ya kuwa pacha wazee zaidi duniani. Anaripoti Noela Shila,...

Kimataifa

Jaribio la mapinduzi Sudani latibuliwa

  MAMLAKA ya usalama nchini Sudan imeripoti kuwa jaribio la mapinduzi lililofanywa leo asubuhi tarehe 21 Septemba 2021 na kundi la wanajeshi walioasi...

Kimataifa

Hatari! Cheki wanafunzi walivyojirusha ghorofani kumkimbia mshambuliaji, nane wamiminiwa risasi

  TAKRIBAN watu wanane wameuawa na wengine sita kujeruhiwa vibaya na mtu mwenye bunduki aliyefyatua risasi katika Chuo kikuu Perm kilichopo katika mji...

Kimataifa

Daktari aua wanawe 2 kwa sumu, naye ajaribu kujiua

  DAKTARI mmoja mkazi wa Nakuru nchini Kenya anadaiwa kuwaua wanawe wawili kisha kujaribu kujitoa uhai usiku wa Jumamosi tarehe 18 Septemba mwaka...

KimataifaTangulizi

Hichilema kama Nyerere: Atinga Marekani na msafara wa watu 3, apiga teke ndege ya rais

  ANAFUATA nyayo za Hayati Mwalimu Nyerere? Ndilo swali linaloibuka miongoni mwa Watanzania baada ya Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema kuelekea nchini Marekani...

Kimataifa

Mhudumu mochwari mbaroni tuhuma za kuchuna mkono wa maiti…adai ni panya

  POLISI wilayani Mazabuka mkoa wa Kusini nchini Zambia wamemtia mbaroni mhudumu wa chumba cha kuhifadhia maiti (mochwari) katika Hospitali Kuu ya Mazabuka...

Kimataifa

Rais mstaafu Algeria kuzikwa leo makaburi ya mashujaa

  RAIS wa zamani wa Algeria, Abdelaziz Bouteflika aliyefariki dunia siku ya juzi, anatarajiwa kuzikwa leo tarehe 19 Septemba 2021 katika makamburi ya...

Kimataifa

Marekani kuwarejesha wahamiaji wa Haiti

  SERIKALI ya Marekani chini ya utawala wa Rais Joe Biden inaendelea na mpango wake wa kuwarudisha nyumbani wahamiaji kutoka Haiti. Anaripoti Glory...

AfyaKimataifa

Licha ya kupingwa na Ethiopia, Tedros mgombea pekee WHO

  MKUU wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Tedros Adhanom Ghebreyesus anaweza kuwa mgombea pekee katika nafasi anayoshikilia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Kimataifa

Swahiba wa Dk. Salim afariki dunia

  RAIS wa zamani wa Algeria, Abdelaziz Bouteflika amehitimisha safari ya maisha yake hapa duniani akiwa na miaka 84. Anaripoti Victoria Mwakisimba, TUDARCo...

Kimataifa

Kisa bintiye kunyolewa nywele… mzazi adai fidia ya Sh bilioni 2.3

  BABA mmoja raia wa Marekani amedai alipwe dola milioni moja sawa na Sh bilioni 2.3 baada ya binti yake mwenye umri wa...

Kimataifa

Ruto akubali kupatanishwa na Uhuru

  NAIBU Rais wa Kenya, William Ruto amekubaliana na ombi la Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini humo la kumpatanisha na Rais Uhuru Kenyatta....

Kimataifa

Kisa kugomea chanjo ya Corona; watabibu 3,000 watimuliwa, waanzisha mgomo wa kutokula

  SERIKALI ya Ufaransa imetangaza kuwaachisha kazi wahudumu wa afya 3,000 waliogoma kuchanjwa chanjo ya Corona licha ya nchi hiyo kupitisha sheria ya...

Kimataifa

Wabunge Uganda washtakiwa kwa ugaidi

  WAENDESHA mashtaka nchini Uganda wamewaongezea mashtaka ya ugaidi wabunge wawili wa chama cha upinzani nchini humo – National Unity Party (NUP). Anaripoti...

Kimataifa

Rais wa zamani Angola arejea nyumbani baada ya kuishi uhamishoni miaka 2

  RAIS wa zamani wa Angola, José Eduardo dos Santos amerejea nchini humo kimya kimya ili isizue mtafaruku hasa ikizingatiwa bado ana nguvu...

Kimataifa

Mwendesha mashtaka mauaji ya Rais wa Haiti aachishwa kazi

  ARIEL Henry, waziri mkuu wa Haiti, amemfuta kazi mwendesha mashItaka mkuu wa taifa hilo, Bed-Ford Claude, kufuatia uamuzi wake wa kutaka kumfungulia...

Kimataifa

Baada ya kukataa chanjo kwa miezi 6… Rais DRC achanja

  RAIS wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Félix Tshisekedi mapema wiki hiii amepokea dozi yake ya kwanza ya chanjo dhidi ya Covid-19....

Kimataifa

Serikali ya mpito kuundwa Guinea

  UTAWALA wa kijeshi ulioipindua serikali ya Guinea zaidi ya wiki moja iliyopita umeanza mikutano ya siku nne, kwa lengo la kuunda serikali...

Kimataifa

Mabilioni ya dola yaahidiwa Pakistan

  MKUU wa misaada ya kimataifa, Martin Griffiths ameahidi kutoa dola bilioni 1.2 kuwasaidia mzozo unaoendelea nchini Pakistani. Anaripoti Helena Mkonyi TUDARCo …...

Kimataifa

Talban waua 20 ngome ya upinzani

  RAIA zaidi ya 20 wameuawa katika bonde la maajabu la Panjshir nchini Afghanistan katika mapigano baina ya Taliban na vikosi vya upinzani....

Kimataifa

Kimbunga chatikisa Texas, Louisiana

  KIMBUNGA Nicholas kimetokea Texas nchini Marekani na kusababisha mvua kubwa, kuharibu miundobinu ya barabara na majengo. Anaripoti Glory Massamu, TUDARCo … (endelea)....

Kimataifa

Taliban wawajeruhi vibaya waandishi wa habari, DW waondoa Afghanistan

  WAANDISHI wawili wa habari wawili nchini Afghanistan, wameumizwa vibaya kufuatia kushambuliwa na kundi la Taliban, baada ya kukamatwa wakipiga picha maandamano mjini...

Kimataifa

Trump ataka pambano na Biden

  RAIS wa zamani wa Marekani, Donald Trump ameahidi kumpiga Joe Biden ambaye ni Rais wa sasa, kama itatokea likaandaliwa pambano litakalowakutanisha ulingoni...

Siasa

Kesi ya Mbowe, wenzake kuanza tena

  JAJI Mustapha Siyani, kesho Ijumaa tarehe 10 Septemba 2021 ataanza kusikiliza kesi inayomkabili kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha...

error: Content is protected !!