Friday , 3 May 2024

Habari

Kimataifa

Adama Barrow atangazwa mshindi uchaguzi Gambia

  Rais wa Gambia, Adama Barrow ameshinda tena uchaguzi mkuu wa nchi hiyo katika kura zilizopigwa kwa mara ya kwanza kwa miongo kadhaa...

Kimataifa

Padre apoteza ndugu 11 katika ajali ya basi mtoni, walikuwa wakielekea harusini

  KATI ya wanakwaya 24 ambao wameripotiwa kufariki dunia kutokana na ajali mbaya ya basi iliyotokea katika mto wa Enziu, eneo la Mwingi...

Kimataifa

Gambia wapiga kura kwa kutumia gololi

  DUNIANI kuna mambo ya kushangaza, ndivyo unaweza kutafisiri Uchaguzi Mkuu wa Gambia baada ya kushuhudiwa wananchi wa taifa hilo lililo magharibi mwa...

Kimataifa

Uganda wakanusha kuikabidhi China uwanja wa Entebe

  Serikali ya Uganda na ubalozi wa China mjini Kampala wamekanusha ripoti kwamba China inaweza kuchukua udhibiti wa uwanja wa ndege wa kimataifa...

Kimataifa

Kisa machinga kuuza senene ndani ya ndege, waziri awatimua wafanyakazi

WAZIRI wa Ujenzi na Usafirishaji nchini Uganda, Jenerali Edward Wamala ameagiza kusimamishwa kazi wafanyakazi wa Shirika la Ndege la Uganda baada ya video...

Kimataifa

Kirusi kipya tishio, mataifa yazuia ndege kutoka Kusini mwa Afrika

MATAIFA mbalimbali duniani ikiwemo Ufaransa yameanza kuzuia safari za ndege kutoka mataifa ya Kusini mwa bara la Afrika, baada ya aina mpya ya...

KimataifaTangulizi

Malawi wamteua Tyson kuwa balozi wa bangi

  BONDIA mstaafu raia wa Marekani, Mike Tyson ameteuliwa na Serikali ya Malawi kuwa balozi wa bangi nchini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

Kimataifa

Simulizi magaidi waliotoroka gerezani walivyonaswa kininja, njaa imewaponza

  MAGAIDI watatu walionaswa kichakani katika kijiji cha Kamuluyuni kilichoko kaunti ya Kitui nchini Kenya  baada ya kutoroka gereza la Kamiti, walijaribu kuwahonga...

Kimataifa

Amfyeka mumewe korodani kisa hamridhishi kitandani

  MWANAMKE mmoja raia wa Kenya aliyefahamika kwa jina la Karambu Meme (40) anadaiwa kumshambulia na kumkata korodani mumewe Meme Kabati (56) kwa...

Kimataifa

Rais Museveni awataka wasi ADF kujisalimisha

  RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni aamesema waasi wa kundi Allied Democratic Forces (ADF) linastahili kujisalimisha na kusisitiza kuwa serikali yake imejitolea kukabiliana...

Kimataifa

Sindano mbadala ARVs yaidhinishwa, wenye VVU wanachomwa mara 6 kwa mwaka

  TAASISI ya Usimamizi wa Dawa nchini Uingereza (NHS) pamoja na mashirika mengine ya msaada imeidhinisha matibabu  ya sindano mpya yenye ufanisi wa...

Kimataifa

Kimbembe wafungwa waliotoroka, saba wasimamishwa, donge la Sh bilioni 1 latajwa

  SIKU chache baada ya wafungwa watatu wa ugaidi nchini Kenya kutoroka katika gereza lenye ulinzi mkali, askari saba waliokuwa wanalinda gereza hilo...

Kimataifa

A-Z milipuko ya bomu Uganda, sita wapoteza maisha, 33 wajeruhiwa

  JUMLA ya watu sita wameripotiwa kupoteza maisha nchini Uganda na wengine 33 kujeruhiwa vibaya kutokana na milipuko ya bomu iliyotokea leo asubuhi...

Kimataifa

Meya amlilia rafiki yake milipuko ya bomu Uganda

  KATIKA milipuko miwili ya bomu iliyotokea leo asubuhi katikati mwa jiji la Kampala nchini Uganda, imedaiwa kusababisha majeruhi na vifo vya watu...

Kimataifa

Watu 400 walazwa hospitalini kwa kung’atwa na nge, watatu wafariki

  JUMLA ya watu 400 raia wa Misri wamelazwa hospitalini baada ya kung’atwa na nge na kujeruhiwa katika sehemu mbalimbali za miili yao. Pia...

KimataifaTangulizi

Milipuko miwili yaripotiwa katikati mwa jiji la Kampala – Uganda

  Milipuko miwili imetokea katikati mwa jiji la Kampala nchini Uganda na kujeruhi watu kadhaa ambao idadi yao haijajulikana. Anaripoti Mwandishi Wetu… (endelea)...

Kimataifa

Chuma’ ahukumiwa miaka 7 jela kwa maneno uchochezi YouTube

  MWANAHARAKATI na mmiliki wa chaneli ya Ishema TV katika mtandao wa Youtube, Dieudonné Niyonsenga amehukumiwa kwenda jela miaka saba na kulipa faini...

KimataifaMakala & Uchambuzi

SANKARA: Rais aliyetendwa vibaya na swahiba, alipinduliwa na kuuawa

  NI takribani miaka 34 imepita tangu kuuawa kwa aliyekuwa Rais wa Burkina Faso, Thomas Sankara. Lakini kesi juu ya mauaji yake imeanza...

Kimataifa

Rais wa zamani Afrika Kusini afariki dunia

  RAIS wa zamani wa Afrika Kusini na mzungu wa mwisho kuiongoza nchi hiyo, Frederik Willem de Klerk amefariki dunia akiwa na umri...

Kimataifa

Rais Msumbiji awatimua waziri ulinzi, mambo ya ndani

  RAIS wa Msumbiji, Filipe Nyusi amemfuta kazi Waziri wa ulinzi wa nchi hiyo, Jaime Augusto Neto bila kufafanua sababu halisi za kumchukua...

Kimataifa

115 waliofariki kwa mlipuko wa tenki la mafuta wazikwa

  Watu 115 waliofariki katika mlipuko wa tenki la mafuta wiki iliyopita tarehe 5 Novemba, 2021 nchini Sierra Leone, wanazikwa kwa pamoja katika...

Kimataifa

Vidonge vinavyoweza kutibu Corona vyagundulika

  WAKATI nchi mbalimbali duniani zikiendelea kuagiza mamilioni ya chanjo dhidi ya Virusi vya Corona, sasa vimepatikana vidonge vyenye uwezo wa kutibu ugonjwa...

Kimataifa

Waasi Ethiopia waunda muungano dhidi ya serikali ya Abiy

  MAKUNDI tisa yanayoipinga serikali ya Ethiopia kikiwemo chama cha Tigray People’s Liberation Front yamekubali kuunda muungano dhidi ya utawala wa Waziri Mkuu,...

KimataifaMichezo

Bondia afariki kwa kushushiwa makonde ulingoni

  MASWALI yameibuka kuhusu usalama wa mchezo wa masumbwi nchini Zimbabwe baada ya Bondia mmoja chipukizi mwenye umri wa miaka 24 kupoteza maisha...

Kimataifa

Taliban wapiga marufuku fedha za kigeni Afghanistan

  Kundi la Taliban limetangaza kupiga marufuku matumizi ya fedha za kigeni nchini Afghanistan hatua ambayo inazidi kuongeza mdororo wa uchumi nchini humo...

Kimataifa

Majanga; Koffi Olomide ahukumiwa miaka nane jela kwa ubakaji

  NYOTA wa muziki wa rhumba na soukous ambao ni maarufu zaidi Barani Afrika, Koffi Olomidé amekumbwa na majanga mengine huko nchini Ufaransa...

Kimataifa

Wanafunzi wapigwa marufuku mavazi ya ‘Squid Game’

  SHULE tatu za msingi katika jimbo la New York nchini Marekani zimepiga marufuku mavazi ya ‘Halloween’ yanayofanana na yale yaliyovaliwa na washiriki...

Kimataifa

Uganda kufungua shule Januari baada ya miaka miwili

  RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni ametangaza kuwa nchi hiyo itakuwa tayari kuanza shughuli za kawaida ifikapo Januari 2022. Anaripoti Mwandishi Wetu, Uganda...

Kimataifa

Viongozi Sudan wakamatwa, mapinduzi ya kijeshi yanukia

  WAKATI mvutano wa kisiasa ukizidi kupamba moto nchini Sudan, imeelezwa kuwa watu wenye silaha wamedaiwa kuwakamata baadhi ya maofisa wa serikali ya...

Kimataifa

Polisi washangaa kukamata waliokuwa wakila uroda barabarani wakidhani majambazi

  NI kama muvi hivi! Ndivyo unavyoweza kutafsiri mkasa uliowakumba polisi wa kituo cha Ruai katika Kaunti ya Nairobi nchini Kenya, baada ya...

Kimataifa

Utawala wa kijeshi Guinea watangaza baraza lenye mawaziri wanne

  VIONGOZI wa mapinduzi nchini Guinea wametangaza baraza lao la kwanza la mawaziri, linalojumuisha Jenerali wa zamani wa kijeshi na watu wengine watatu...

Habari za SiasaKimataifa

Rais Ndayishimiye: Rais Samia anaibadilisha Tanzania kwa utawala bora

  RAIS wa Burundi, Evariste Ndayishimiye, amesema Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anaendesha nchi kwa kufuata misingi ya utawala bora. Anaripoti Mwandishi...

KimataifaMichezo

Staa wa movi aua mwanamke kwa bunduki wakati wa kutengeneza filamu

  MWANAMKE  mmoja amefariki dunia huku mwanaume mmoja akijeruhiwa baada ya muigizaji Alec Baldwin kufyatua risasi kwa kutumia bunduki ya maigizo wakati wakiandaa...

Kimataifa

Wanafunzi wavamia bunge DRC kushinikiza nyongeza mishahara kwa walimu

  MAMIA ya wanafunzi wamelivamia Bunge la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wakishinikiza walimu wao waongezewe mshahara. Anaripoti Mwandishi Wetu …  (endelea)....

Kimataifa

Mvulana kidato cha 4 auawa kwa kuvamia bweni la wasichana

  MWANAFUNZI mmoja wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari ya wavulana ya Gathiruini, kaunti ya Kiambu nchini Kenya, amefariki dunia baada...

Kimataifa

Mahakama Kenya, yamkaanga Rais Kenyatta

RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta ameamrishwa kuwateua majaji sita waliosalia kati ya wale 40 , katika kipindi cha siku 14 zijazo. Anaripoti Mwandishi...

Kimataifa

Rais Kenyatta, Ruto wagongana jukwaa moja Mashujaa Day

  IKIWA imepita miezi mitatu na ushee kwa Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta na Naibu wake, William Rutto kutoonana ana kwa ana, jana...

Kimataifa

Kisa mafuriko, wachumba wapanda sufuria kuelekea kanisani kufunga ndoa

  NDOA tamu! Eeh… ndivyo ‘couple’ moja huko nchini India ilivyothibitisha kuwa kilichohalalishwa na Mungu mwanadamu hawezi kukipinga baada ya kuwasili salama kanisani...

Kimataifa

Misri yawaapisha majaji 100 wanawake

  BARAZA kuu la Serikali ya Misri limewateua kwa mara ya kwanza wanawake 98 kuwa majaji katika baraza hilo hilo ambalo ni moja...

Kimataifa

Mwanamke ajifungua watoto saba, madaktari wapigwa butwaa

  NI MIUJIZA! Ndivyo unavyoweza kueleza tukio la Mwanamke mmoja aliyejifungua watoto saba kwa mpigo mjini Abbottabad huko nchini Pakistan. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Kimataifa

Askari mbaroni kwa kumrekodi video mwanamke akiwa msalani

  ASKARI mmoja wa kampuni binafsi ya ulinzi nchini Kenya, ameburuzwa katika mahakama ya Kibera kwa tuhuma za kumrekodi mwanamke akiwa msalani katika...

Kimataifa

‘Sangoma’ wanne wauawa kisa mate

  WANAKIJIJI wanne wakongwe wameteketezwa kwa moto jana tarehe 17 Oktoba, 2021 baada ya kutuhumiwa kuwa ni wachawi. Anaripoti Mwandishi Wetu  … (endelea)....

Kimataifa

Wapinzani Sudan waandamana  kutaka utawala wa kijeshi

  WAKATI mataifa mengi duniani yakikwepa utawala wa kijeshi, kwa upande wa Sudan baadhi ya wananchi wameandamana kupinga Serikali ya mseto inayoundwa na...

Kimataifa

Mauaji ya mbunge wa Uingereza ni kisa cha kigaidi – Polisi

  POLISI nchini Uingereza imesema, kisa cha mbunge David Amess kuuawa Ijumaa kwa kudungwa kisu, kilikuwa kitendo cha kigaidi. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

Kimataifa

Aliyeua watoto 13, kunywa damu zao auawa

  MASTEN Wanjala mtuhumiwa aliyegonga vichwa vya habari nchini Kenya baada ya kukiri kuwaua zaidi ya watoto 13 na baadaye kutoroka katika kituo...

Kimataifa

Rais Marekani, Kenyatta wateta Ikulu, chanjo ya corona milioni 17 kutolewa Afrika

  RAIS wa Marekani, Joe Biden amekutana na Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta Ikulu ya White House huku Biden akiahidi kutoa dozi milioni...

Kimataifa

Uhuru Kenyatta kukutana na Rais wa Marekani

  RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta atakutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Marekani, Joe Biden wakati akimaliza ziara yake ya siku mbili...

Kimataifa

Wazungu waimwagia Taliban matrilioni

  SIKU chache baada ya uongozi wa kikundi cha wanamgambo wa Taliban walioshika madaraka nchini Afghanistan kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na...

Kimataifa

Mgogoro wa Kenya, Somalia kuhusu mpaka wa baharini wazidi kutokota

  MGOGORO wa kuwania eneo la pembe tatu lililopo katika bahari ya Hindi kati ya mataifa ya Kenya na Somalia umezidi kutokota baada...

Habari

Bosi NMB arejea shule aliyosoma, awafunda wanafunzi

  BAADA ya kuondoka shule ya sekondari ya wasichana wenye vipaji ya Kilakala, mkoani Morogoro miaka 30 iliyopita akiwa mhitimu wa kidato cha...

error: Content is protected !!