Thursday , 28 March 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Rais wa zamani Afrika Kusini afariki dunia
Kimataifa

Rais wa zamani Afrika Kusini afariki dunia

Spread the love

 

RAIS wa zamani wa Afrika Kusini na mzungu wa mwisho kuiongoza nchi hiyo, Frederik Willem de Klerk amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 85. Anaripoti Victoria Mwakisimba, TUDARCo … (endelea)

FW de Klerk, ambaye pia alikuwa mhusika mkuu katika kipindi cha mpito cha taifa kuelekea demokrasia, alikuwa amepatikana na saratani mwaka huu, kulingana na msemaji.

FW de Klerk alikuwa mkuu wa nchi kati ya Septemba 1989 na Mei 1994.

Mwaka 1990 alitangaza kumwachia huru kiongozi aliyepinga ubaguzi wa rangi Nelson Mandela, na kusababisha kura za vyama vingi mwaka 1994.

Federik Willem alizaliwa tarehe 18 Machi, 1936 huko Johannesburg, Afrika Kusini, asili yake ni kaburu na alisoma sheria na kuwa wakili

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanaye rais jela miaka miaka 6 kwa dawa za kulevya

Spread the loveMwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka...

Habari za SiasaKimataifa

Faye aahidi kuongoza kwa unyenyekevu, wagombea wenzie wakubali yaishe

Spread the loveMgombea wa upinzani Senegal, Bassirou Diomaye Faye anajiandaa kuwa rais...

Habari MchanganyikoKimataifa

Wanafunzi 130 waliokuwa wametekwa nyara waokolewa

Spread the loveZaidi ya wanafunzi 130 wa shule ya msingi LEA na...

Habari MchanganyikoKimataifa

Mgombea upinzani aongoza uchaguzi wa Rais Senegal

Spread the loveMgombea wa upinzani nchini Senegal, Bassirou Diomaye Faye ameonekana kuongoza...

error: Content is protected !!