Friday , 19 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Amfyeka mumewe korodani kisa hamridhishi kitandani
Kimataifa

Amfyeka mumewe korodani kisa hamridhishi kitandani

Spread the love

 

MWANAMKE mmoja raia wa Kenya aliyefahamika kwa jina la Karambu Meme (40) anadaiwa kumshambulia na kumkata korodani mumewe Meme Kabati (56) kwa madai kuwa hajawahi kumridhisha wanapokuwa katika tendo la ndoa. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)

Mwanaume huyo amelazwa katika hospitali ya Nyambene kaunti ya Meru nchini humo baada mkewe huyo kumvuta na kuikata korodani yake moja.

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Chifu Msaidizi wa eneo la Ntunene kulipotokea tukio hilo, Edward Mutalii alisema baada ya kupokea taarifa hizo za kutatanisha, alienda haraka eneo la tukio na kukuta sehemu ya korodani ya muathiriwa ikiwa chini.

Polisi wamemkamata mwanamke huyo na kwa sasa anashikiliwa akisubiri kufikishwa mahakama lakini mwanamke huyo amesisitiza kuwa amefanya hivyo kwa kuwa kamwe mumewe hajawahi kumridhisha wakati wakiwa katika ktendo la ndoa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!