Saturday , 20 April 2024

Habari

Kimataifa

Kiongozi mpya Burkina Faso ahutubia taifa, aahidi utawala wa kidemokrasia

  KIONGOZI mpya wa kijeshi wa Burkina Faso ameahidi kurejea kwa utaratibu wa kawaida wa kikatiba wakati hali itakapokuwa sawa. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Kimataifa

Museveni akemea mapinduzi Burkina Faso

  RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni ameshutumu vikali mapinduzi yaliyotekelezwa nchini Burkina Faso dhidi ya serikali ya Rais wan chi hiyo, Roch Marc...

Kimataifa

Tedros mgombea pekee, kuendelea kuongoza WHO

MKUU wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Tedros Adhanom Ghebreyesus ana uhakika wa kuiongoza taasisi hiyo kwa muhula wa pili baada ya kupigiwa...

Kimataifa

Waziri Mkuu Uingereza kikaangoni

Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson anajiandaa kubaki au kutoka ofisini baada ya kukamilika kwa matokeo ya uchunguzi wa sherehe zilizofanyika katika makazi...

HabariKimataifa

Jeshi latangaza kutwaa madaraka Burkina Faso

  Jeshi nchini Burkina Faso limetangaza kutwaa madaraka baada ya kufanya mapinduzi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea) Tangazo hilo la jeshi limetolewa kupitia...

AfrikaKimataifa

Gavana wa Benki Uganda afariki dunia

GAVANA wa Benki ya Uganda, Emmanuel Tumusiime-Mutebile amefariki dunia akiwa nchini Kenya alipokuwa akipatiwa matibabu katika hospitali ya Nairobi. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

Kimataifa

Rais Burkina Faso awekwa kizuizini

Rais wa Burkina Faso, Roch Marc Christian Kaboré amezuiliwa katika kambi ya jeshi nchini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kwa mujibu wa...

AfrikaKimataifa

Ruto, Mudavadi waungana uchaguzi mkuu Kenya

Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto amethibitisha rasmi kuwa chama kipya cha UDA kitaingia katika ushirikiano na chama cha Musalia Mudavadi –...

Kimataifa

Marekani yaagiza familia za wafanyakazi wa ubalozi kuondoka Ukraine

Wizara ya mambo ya nje ya Marekani imeziagiza familia za wanadiplomasia na wafanyakazi wasio wa dharura kwenye ubalozi wa Marekani mjini Kiev kuondoka...

Kimataifa

Ndugai mwingine ajiuzulu Ujerumani

  MKUU wa jeshi la wanamaji nchini Ujerumani, Kay-Achim Schoenbach amejiuzulu, kufuatia matamshi yake yenye utata kuhusu mzozo wa Ukraine. Inaripoti mitandao ya...

Siasa

ADC wampitisha Maimuna kumvaa Dk. Tulia nafasi ya Uspika

CHAMA Cha Alliance for Democratic Change (ADC) kimempitisha Maimuna Said Kassim kuwa mgombea nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...

Kimataifa

Wabunge Uingereza wamweka njiapanda waziri mkuu

WAZIRI Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson anakabiliwa na kitisho katika utawala wake baada ya wabunge kadhaa wa chama chake kupanga kuwasilisha barua za...

Kimataifa

Hofu yatanda Simba kuambukizwa Corona Afrika Kusini

  SIMBA na Puma katika bustani ya wanyama ‘zoo’ nchini Afrika Kusini huenda wameambukizwa virusi vya corona kutoka kwa wahudumu wao. Anaripoti Mwandishi...

Kimataifa

Ujumbe wa mwanawe Museveni kwa Uhuru waibua mjadala

  Mwanawe Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, Muhoozi Kainerugaba amemwandikia Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta ujumbe ulioibua mjadala mzito miongoni mwa mataifa hayo...

Kimataifa

Rais aliyepinduliwa madarakani aaga dunia

  RAIS wa Mali aliyeondolewa madarakani, Ibrahim Boubacar Keita amefariki akiwa na umri wa miaka 76, familia yake na rafiki zake wamesema. Anaripoti...

Kimataifa

Kampeni za Odinga zaingia shubiri

  Mwenyekiti wa Chama cha ODM nchini Kenya, Elgeyo Marakwet Micah Kigen amemkosoa kiongozi wake na mgombea urais wa chama hicho Raila Odinga...

Kimataifa

Mapenzi yashinda! Mwimba injili amuoa mpenziwe ‘bibi kizee’

  WAHENGA husema kipendacho roho hula nyama mbichi na miaka si chochote wala lolote mbele ya mapenzi, miaka ni namba tu. Hilo limejitokeza...

KimataifaMichezo

KUELEKEA AFCON: Cheki mchezaji alivyoagwa na mkewe kwa mabusu ‘mubashara’

  Musah Noah Kamara, mchezaji kandanda wa Sierra Leone, ameagwa kwa mapenzi na bashasha la kipekee kutoka kwa mkewe wakati akijiandaa kuelekea katika...

Kimataifa

Baba mbaroni kwa kujaribu kumuuza mwanawe

  POLISI nchini Liberia wamemkamata na kumfungulia mashtaka mwanamume mmoja raia wa Sierra Leone mwenye umri wa miaka 29 kwa madai ya kujaribu...

Kimataifa

Rais Msumbiji, mkewe wakutwa na corona

  RAIS wa Msumbiji, Filipe Nyusi na mkewe Isaura Nyusi wamekutwa na maambukizi ya virusi vya corona na sasa wamejitenga kwa muda. Anaripoti...

Kimataifa

Waziri Mkuu Haiti anusurika kuuawa

  WATU wenye silaha wamedaiwa kujaribu kumuua Waziri Mkuu wa Haiti, Ariel Henry wakati wa sherehe ya kuadhimisha kumbukumbu ya uhuru wa nchi...

Kimataifa

Maandamano Sudan yamng’oa waziri mkuu aliyewekwa na jeshi

  WAZIRI Mkuu wa Sudan, Abdalla Hamdok, aliyewekwa madarakani na jeshi la nchi hiyo Novemba 2021, amejiuzulu kufuatia maandamano ya wananchi, wanaoshinikiza utawala...

Kimataifa

Afrika Kusini yaondoa marufuku ya kutembea usiku

SERIKALI ya Afrika Kusini ambako ndiko aina mpya ya kirusi cha Corona (Omicron) ilianzia, imesema huenda wimbi la sasa la maambukizi limeshapita kilele...

Kimataifa

Askofu Desmond Tutu kuzikwa Januari Mosi

  Mazishi ya Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana nchini Afrika Kusini na mwanaharakati wa muda mrefu dhidi ya ubaguzi wa rangi nchini...

KimataifaMichezo

Defao afariki dunia

  Nguli wa muziki wa Rhumba kutoka Congo, Général Defao (63) amefariki dunia nchini Cameroon alikokwenda kutumbuiza. Anaripoti Mwandishi Wetu  … (endelea). Defao...

Kimataifa

Rais wa Somalia amtimua waziri mkuu wake akimtuhumu kutaka kumpinuda

  RAIS wa Somalia, anayemaliza muda wake, Mohamed Abdullahi Farmajo, amemsimamisha kazi Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Mohamed Hussein Roble, ili kupisha uchunguzi...

Kimataifa

Askofu Tutu kuzikwa Jumamosi, kuombolezwa wiki nzima

  MWILI wa aliyekuwa Askofu Mkuu mstaafu Afrika Kusini, Desmond Tutu, unatarajiwa kuzikwa Jumamosi, tarehe 1 Januari 2022, mjini Cape Town, nchini humo....

Kimataifa

Askofu Desmond Tutu afariki dunia, Rais Ramaphosa amlilia

  ASKOFU mkuu mstaafu nchini Afrika Kusini, Desmond Tutu amefariki dunia leo Jumapili, tarehe 26 Desemba 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Tutu...

AfyaKimataifa

Tanzania, Kenya, Ethiopia, Nigeria zapigwa ‘Stop’ kuingia UAE kisa Corona

  UMOJA wa Falme za Kiarabu (UAE), zimesitisha safari za ndege kwa abiria wanaotoka nchi za Tanzania, Kenya, Ethiopia na Nigeria, huku ikiongeza...

Kimataifa

Mwanafunzi afa kwa kukabwa na mkate, soda

  SHEREHE za kumpata mshindi wa kula mkate na kunywa soda jana tarehe 22 Disemba, 2021 ziliisha kwa simanzi, baada ya mwanafunzi mmoja...

Kimataifa

Wasiochanja chanjo ya Corona kukosa huduma za Serikali, baa

  WAKENYA ambao hawatokuwa na cheti cha kupokea chanjo dhidi ya virusi vya Corona hawatoruhusiwa kupokea huduma za serikali ya Kenya ifikapo mwishoni...

Kimataifa

Madai ya kubadili jinsia, mke wa rais atinga mahakamani

  MKE wa Rais wa Ufaransa, Brigitte Macron amesema anatarajia kuchukua hatua za kisheria kuhusu madai ya mitandao ya kijamii kwamba yeye alizaliwa...

Kimataifa

DRC mguu sawa ndani ya EAC, wakuu wa nchi waijadili

  WAKUU wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) leo tarehe 22 Disemba, 2021 wamekutana na kujadili ajenda ya kuiruhusu Jamhuri ya...

Kimataifa

Mmiliki wa Shamba Mahagi adakwa na polisi kwa kuchochea vurugu mgodini

  JESHI la Polisi Mkoani Geita linamshikilia mmiliki wa shamba, Gelvas Bambo pamoja na wenzake watatu kwa kosa la kufanya vurugu na kuchoma...

Kimataifa

Pesa za mgombea urais zawatokea puani madada poa, wakabana koo

  MCHANGO wake Naibu Rais wa Kenya, William Ruto wa Sh milioni 20.3 kwa kukindi akiba na mikopo kilichoundwa na wanawake wanaojihusisha na...

Kimataifa

 Rais Congo-Brazzaville awekwa karantini

  RAIS wa Congo-Brazzaville, Denis Sassou-Nguesso (78), amewekwa karantini baada ya watu kadhaa wa karibu naye kuthibitishwa kuwa wana maambukizi ya virusi vya...

Kimataifa

Wakuu wa nchi kuijadili Congo kujiunga EAC

  OMBI la nchi ya Kidemokrasia ya Congo ( DRC), kujiunga katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), linatarajiwa kujadiliwa tarehe 22 Desemba 2021....

Kimataifa

Dawa mpya za kutibu Covid-19 hizi hapa

  TAASISI ya Usimamizi wa Dawa ya Ulaya – (EMA), imeidhinisha matumizi ya aina mbili za dawa za kutibu maradhi ya COVID-19, pamoja...

Kimataifa

Kansela mpya Ujerumani ahutubia Bunge, atoa mwekeleo

  KANSELA mpya wa Ujerumani, Olaf Scholz amelihutubia kwa mara ya kwanza bunge leo Jumatano, tarehe 15 Desemba 2021 na kuelezea miongozo ya...

Kimataifa

Mahakama Afrika Kusini yataka Zuma arudishwe gerezani

  Mahakama ya Afrika Kusini imeamua rais wa zamani wa Taifa hilo, Jacob Zuma anapaswa kurejea gerezani, kwa sababu msamaha wa kimatibabu aliopewa...

kitaifa

TIPER wataja dawa kudhibiti kupaa kwa bei za mafuta nchini

KAMPUNI ya Kuhifadhi Mafuta Tanzania (TIPER), imesema upo wezekano wa kudhibiti kupanda kwa bei za mafuta ya petroli na dizeli kila mara iwapo...

kitaifa

Miaka 60 ya Uhuru, wateja ZIC kupata ‘wese’ la kutosha

Shirika la Bima la Zanzibar (ZIC) limezindua kampeni yake kabambe inayoitwa “WESE NDIO MCHONGO” inayotoa fursa kwa wateja wake kote nchini kujaziwa mafuta...

kitaifa

Kuelekea miaka 60 ya uhuru, GGML yaibuka mlipa kodi bora

KAMPUNI ya Geita Gold Mine (GGML) imeibuka kuwa moja ya makampuni kinara kwa ulipaji kodi Tanzania kuelekea miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania...

Kimataifa

Mrithi wa Angela Merkel apatikana Ujerumani

MRITHI wa Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel, amepatikana leo mjini Berlin, kufuatia Bunge la nchi hiyo, kumuidhinisha Olaf Scholz kuwa Kansela mpya. Anaripoti...

kitaifa

Serikali: Hakuna uhuru usio na mipaka

SERIKALI ya Tanzania, imewakumbusha wananchi kuzingatia matakwa ya Ibara ya 30 ya Katiba, inayoweka mipaka ya uhuru wa watu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Kimataifa

Wafungwa 38 wafariki kwa ajali ya moto gerezani, 69 wajeruhiwa

Takriban wafungwa 38 wamefariki dunia na wengine 69 kujeruhiwa katika ajali ya moto ulioteketeza gereza kuu la mji mkuu wa Burundi – Gitega...

Kimataifa

Kijana mbaroni kwa kumkata kichwa dada’ke mjamzito

Polisi katika jimbo la Maharashtra – Magharibi mwa India wamemkamata kijana anayeshukiwa kumkata kichwa dadake mkubwa aliyekuwa mjamzito. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....

Kimataifa

Adama Barrow atangazwa mshindi uchaguzi Gambia

  Rais wa Gambia, Adama Barrow ameshinda tena uchaguzi mkuu wa nchi hiyo katika kura zilizopigwa kwa mara ya kwanza kwa miongo kadhaa...

Kimataifa

Padre apoteza ndugu 11 katika ajali ya basi mtoni, walikuwa wakielekea harusini

  KATI ya wanakwaya 24 ambao wameripotiwa kufariki dunia kutokana na ajali mbaya ya basi iliyotokea katika mto wa Enziu, eneo la Mwingi...

Kimataifa

Gambia wapiga kura kwa kutumia gololi

  DUNIANI kuna mambo ya kushangaza, ndivyo unaweza kutafisiri Uchaguzi Mkuu wa Gambia baada ya kushuhudiwa wananchi wa taifa hilo lililo magharibi mwa...

error: Content is protected !!