Tuesday , 23 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Uhuru Kenyatta kukutana na Rais wa Marekani
Kimataifa

Uhuru Kenyatta kukutana na Rais wa Marekani

Spread the love

 

RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta atakutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Marekani, Joe Biden wakati akimaliza ziara yake ya siku mbili nchini Marekani. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea).

Rais Kenyatta atakuwa rais wa kwanza kutoka Afrika kukutana na kiongozi huyo wa Marekani, tangu Biden aapishwe kuwa rais wa taifa hilo, Januari 2021.

Msemaji wa Ikulu ya Kenya amesema, viongozi hao wawili watajadili mambo mbalimbali yakiwemo masuala ya amani, usalama na mabadiliko ya tabia ya nchi.

Rais wa Marekani, Joe Biden

Jumanne, Rais Kenyatta aliwaongoza viongozi wa biashara kusaini mikataba kadhaa ya uwekezaji wa biashara ndogo na wastani pamoja na miradi ya usafirishaji na nishati safi.

Marekani inaiona Kenya kuwa mshirika sahihi katika kupambana dhidi ya ugaidi katika eneo la Mashariki mwa Afrika.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!