Thursday , 25 April 2024

Habari

Kimataifa

Rais wa mpito Mali anusurika kifo

  Rais wa Serikali ya Mpito Mali, Assimi Goita, amenusurika kifo baada ya watu wasiojulikana kujaribu kutaka kumchoma kisu tumboni. Inaripoti BBC …...

Kimataifa

Vijana 200 wagawiwa fedha za kuoa

  MUHAMMAD Bin Salman, Mwanamfalme wa Saudia, ameidhinisha kutolewa fedha milioni 3.74 za riyali, sawa na dola milioni 1 za kimarekani, ili zigawiwe...

Kimataifa

Ghasia za wafuasi wa Zuma zatia hasara Sh. 2.3 trilioni

  GHASIA zilizoibuliwa na wafuasi wa Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, zimesababisha uharibifu wa mali zenye thamani ya Dola za...

Kimataifa

Polisi anayedaiwa kuua watu wawili, ajiua kwa bastola

  ASKARI Polisi nchini Kenya, Koplo Caroline Kangogo, aliyekuwa akitafutwa kwa tuhuma za mauaji ya watu wawili, amepatikana akiwa amefariki dunia kwa kujipiga...

Kimataifa

Ghasia za wafuasi wa Zuma zatishia usalama wagonjwa Covid-19

  USALAMA wa maisha ya wagonjwa wa homa kali ya mapafu, inayosababishwa na Virusi vya Corona (Covid-19), Afrika Kusini, uko rehani kufuatia ghasia...

Kimataifa

Mke wa rais aukataa mshahara kukwepa gubu la wananchi

  REBECCA Akufo-Ado, mke wa Rais wa Ghana, Nana Akufo-Ado, amegoma kupokea mshahara wa Dola za Marekani 3,500 (Sh. 8.1 milioni) kila mwezi,...

Kimataifa

Jeshi kukabiliana na wafuasi wa Zuma

  SERIKALI ya Afrika Kusini imelazimika kuingiza Jeshi mtaani, ili kutuliza ghasia zilizoanzishwa na wafuasi wa rais mstaafu wa nchi hiyo, Jacob Zuma...

Kimataifa

Kinara mauaji Rais wa Haiti adakwa

  CHRISTIAN Emmanuel Sanon (63), anayedaiwa kusuka mikakati ya mauaji ya aliyekuwa Rais wa Haiti, Jovenel Moise (53), amedakwa na Jeshi la Polisi...

Kimataifa

Wafariki dunia wakijipiga ‘Selfie’ kwenye radi

  WATU 16 nchini India, wamefariki dunia kwa kupigwa na radi, wakati wakijipiga picha ‘Selfie’. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Kwa mujibu...

Kimataifa

Mjane wa Rais Haiti ashtumu mauaji ya mmewe

  MARTINE, mjane wa Rais aliyeuawa wa Haiti, Jovenel Moise ameshutumu mauaji ya mumewe kwa kusema maadui walilenga kusitisha mabadiliko ya demokrasia. Inaripoti...

Kimataifa

Jacob Zuma asotea dhamana

  MAHAKAMA Kuu nchini Afrika Kusini, imetupilia mbali maombi ya dhamana ya aliyekuwa Rais wa Taifa hilo, Jacob Zuma, anayetumikia kifungo cha miezi...

Kimataifa

Jacob Zuma wa Afrika Kusini ajisalimisha gerezani

  JACOB Zuma (79), Aliyekuwa Rais wa Afrika Kusini, ameanza kutumikia kifungo cha miezi 15 gerezani. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...

Kimataifa

Rais wa Haiti auawa katika shambulio

  JOVENEL Moise (53), Rais wa Haiti ameuawa leo Jumatano, tarehe 7 Julai 2021, katika shambulio akiwa katika makazi yake. Inaripoti mitandao ya...

Habari za SiasaKimataifa

Rais Samia amwalika Rais wa Marekani

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemwalika Rais wa Marekani, Joseph Biden kutembelea nchini humo ili kuzidi kuimarisha uhusino uliopo kati ya...

Kimataifa

Mazishi ya TB Joshua kufanyika siku 7

  MWILI wa aliyekuwa Muasisi wa Kanisa la Synagogue Church of All Nations (SCOAN), Temitope Balogun Joshua ‘TB Joshua’ (57), unatarajiwa kuzikwa Jumapili...

Kimataifa

Wafuasi wa Zuma wamkingia kifua asipelekwe gerezani

  WAFUASI wa rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, wamezingira nyumba yake ili kuzuia kiongozi huyo asikamatwe. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa...

Kimataifa

Jacob Zuma afungwa jela miezi 15

  MAHAKAMA nchini Afrika Kusini, leo Jumanne, tarehe 29 Juni 2021, imemhukumu kifungo cha miezi 15 gerezani aliyekuwa rais wa taifa hilo, Jacob...

Kimataifa

Corona: Maambukizi mapya yashtua Uganda

  JUMLA ya watu 126 nchini Uganda wameripotiwa kufariki dunia ndani ya siku nne zilizopita kutokana na virusi vya corona (COVID-19). Inaripoti mitandao...

Kimataifa

SADC kupeleka jeshi Msumbiji

  NCHI Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (​SADC), zimekubaliana kupeleka wanajeshi kukabiliana na ugaidi katika Jimbo la Cabo Delgado, Msumbiji. Inaripoti mitandao ya kimataifa…(endelea)....

Kimataifa

Corona: Bunge la Uganda kufungwa

  KUANZIA Jumatatu, tarehe 28 Juni hadi 11 Julai 2021, Bunge la Uganda litasitisha shughuli yake kutokana na hofu ya kuenea kwa virusi...

Kimataifa

Ratiba mazishi ya Kaunda, kuzikwa Julai 7

  TARATIBU za mazishi ya Rais mstaafu wa kwanza wa Zambia, Dk. Kenneth David Kaunda zimeanza rasmi leo Jumatano, tarehe 23 Julai 2021...

Kimataifa

Raia Ethiopia kumrejesha Abiy uwaziri mkuu?

  ABIY Ahmed, Waziri Mkuu wa Ethiopia anayetetea nafasi hiyo, ambapo wananchi wa taifa hilo, wanapiga kura kuchagua waziri mkuu mpya leo tarehe...

Habari MchanganyikoKimataifa

Kifo cha Kaunda: Tanzania yatangaza siku 7 za maombolezi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametangaza siku saba za maombolezo ya kitaifa kufuatia kifo cha Rais wa kwanza wa Zambia, Kenneth...

kitaifa

Mapigano  Israel, Gaza yaibuka tena

MASHAMBULIZI ya anga baina ya Jeshi la Israel na Wanamgambo wa Kipalestina ‘Hamas’, yameibuka tena baada ya kusitishwa wiki tatu zilizopita.Inaripoti Mitandao ya...

Kimataifa

Netanyau ang’olewa baada ya kuongoza Israel miaka 12

  WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyau, ameng’olewa katika wadhifa huo alioushikilia kwa miaka 12, baada ya Bunge kupiga kura za kumuondoa madarakani....

Kimataifa

Aliyemchapa kofi Rais Macron hadharani miezi 4 jela

  DAMIEN Tarel, amehukumiwa kifungo cha miezi minne jela, kwa kosa la kumpiga kofi Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, hadharani. Inaripoti Mitandao ya...

Kimataifa

Fedha za COVID-19: IMF yaitega Tanzania

  SHIRIKA la Fedha Duniani (IMF), limesema liko tayari kuipatia mkopo wa dharura wa Dola za Marekani 574 milioni (Sh. 1.3 trilioni), Serikali...

Kimataifa

Trump ajitosa mgogoro wa Nigeria, Twitter

  ALIYEKUWA Rais wa Marekani, Donald Trump, ameunga mkono hatua ya Serikali ya Nigeria, kuufunga mtandao wa kijamii wa Twitter, nchini humo, huku...

Kimataifa

Museveni ampa uwaziri mkewe, makamu wake mwanamke

  RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, ametangaza barabara lake jipya la mawaziri, lenye mawaziri 32, akiwemo mke wake, Janet Museveni, aliyemteuwa kuwa Waziri...

Habari za SiasaKimataifa

Samia kuzungumza na Rais wa Botswana

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kesho tarehe 10 Juni 2021, anatarajia kuzungumza na Rais wa Botswana, Mokgweetsi Masisi, katika Ikulu ya...

Kimataifa

Rais wa Ufaransa achapwa kofi hadharani

  RAIS wa Ufaransa, Emmanuel Macron, amejikuta katika wakati mgumu, baada ya kupigwa kofi la uso na mwananchi, katika ziara yake ya kikazi,...

Kimataifa

Rais Mseven afunga shule, baa na makanisa Uganda

  RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, ametangaza kufungwa kwa shule na taasisi za elimu ya juu na kusitisha mikusanyiko ya watu nchini humo...

Kimataifa

Nigeria yafungia mtandao wa Twitter

  NCHI ya Nigeria, imefungia mtandao wa kijamii wa Twitter kwa muda usiojulikana, ikijibu mapigo baada ya mtandao huo kufuta taarifa ya Rais...

Kimataifa

Prof. Lipumba ajitosa mauaji Palestina

  MWENYEKITI wa Chama Cha Wananchi (CUF), nchini Tanzania, Prof. Ibrahim Lipumba, ameishauri Serikali ya Tanzania, ifuate nyayo za Baba wa Taifa, Hayati...

Kimataifa

Mwili wa Robert Mugabe kufukuliwa

  KIONGOZI wa Kimila (Chifu) wa Zvimba, ametaka mwili wa aliyekuwa Rais wa Zimbabwe, Hayati Robert Mugabe (95), ufukuliwe kwa madai kwamba mazishi...

Kimataifa

ICC yamuweka kifungo cha miaka 25 mhalifu wa kivita Uganda

  MAHAKAMA ya Kimataifa ya makosa ya uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya binadamu (ICC), iliyopo mjini The Hague, nchini Uholanzi, imemuamuru...

Kimataifa

COVID-19 India: ‘Lockdown’ ndio muafaka pekee

  RAHUL Gandhi, kiongozi wa chama cha upinzani cha Congress nchini India, amesema njia iliyobaki kuisaidia India kutokana na kuzama katika maambukizi ya...

Kimataifa

Nililazimishwa kunywa damu ya niliyemuua – Ongwen ajitetea ICC

  MAHAKAMA ya Uhalifu wa Kivita (ICC), imemkuta na makosa 61 kati ya 70 aliyotuhumiwa Dominic Ongwen, aliyekuwa mpiganaji wa kundi la waasi...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Kenyatta amwambia Samia ‘safari hii tutafika mbali’

  RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta amesema, ana matumaini kwa taifa lake na Tanzania kufika mbali kutokana na kuimarika ushirikiano. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Kimataifa

Bill Gates, mkewe Melinda wafika tamati

  SAFARI ya miaka 27 katika maisha kati ya tajiri namba nne duniani – Bill Gets na mkewe Melinda, hatimaye imetamatika. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaKimataifa

Rais wa Tanzania Samia atua Kenya

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewasili salama nchini Kenya. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Ndege ya Shirika la Ndege ya Tanzania...

Kimataifa

Sheikh apigwa risasi, auawa

  SHEIKH Ali Amini, Imamu mashuhuri Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), amepigwa risasi na kuuawa hapo hapo wakati akiswalisha swala...

Kimataifa

Palestina ‘yatua’ ICC, yaituhumu Israel

  SERIKALI ya Palestina, imeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC), iwachunguze maafisa wa Serikali ya Israel wanaotuhumiwa kufanya vitendo vya ukiukwaji...

Kimataifa

Vibaka waiba kengele ya kanisa yenye kilo 500

  KANISA la Bikira Maria la Orthodox, lililopo Ngecha, Kiambu Kaskazini mwa Mji Mkuu wa Kenya, Nairobi limelalamika kuibiwa kengele yake ya shaba...

Kimataifa

COVID-19: Magogo ya kuchomea watu India yaadimika

  IDADI kubwa ya vifo vinavyotokana na virusi vya corona (COVID – 19), nchini India, imesababisha uhaba wa magogo ya kuchomea watu. Inaripoti...

Kimataifa

Ujumbe wa Amnest kwa Rais Samia huu hapa

  SHIRIKA la Kimataifa la Kutetea Haki za Binaadamu (Amnesty International), limeshauri Serikali ya Tanzania kutumia kamati ya corona iliyoteuliwa na Rais Samia...

Kimataifa

COVID-19: Idadi ya vifo yatisha India

  IDADI kubwa ya watu wanaoripotiwa kuambukizwa virusi vya corona (COVID-19) na kufariki dunia kwa siku nchini India, inatisha. Inaripoti mitandao ya kimataifa...

Kimataifa

Rais wa Chad auawa

  IDRIS Deby (68), Rais wa Chad ameuawa siku moja baada ya kutangazwa kushinda uchaguzi mkuu wa nchi hiyo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa...

Kimataifa

Fedha za corona zamng’oa waziri

  KEN Kandodo, Waziri wa Kazi wa Malawi na maofisa wengine wanne wa serikali ya nchi hiyo, wametimuliwa kazi kwa kukwapua fedha zilizotengwa...

Kimataifa

Israel yaanza mashambulizi Gaza

  JESHI la Israel limefanya mashambulizi ya kijeshi baada ya kudai, Palestina kushambuliwa nchi hiyo kwa maguruneti. Inaripoti mitandao ya kimataifa … (endelea)....

error: Content is protected !!