Tuesday , 23 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Kisa bintiye kunyolewa nywele… mzazi adai fidia ya Sh bilioni 2.3
Kimataifa

Kisa bintiye kunyolewa nywele… mzazi adai fidia ya Sh bilioni 2.3

Spread the love

 

BABA mmoja raia wa Marekani amedai alipwe dola milioni moja sawa na Sh bilioni 2.3 baada ya binti yake mwenye umri wa miaka saba kunyolewa nywele na mwalimu wake. Anaripoti Noela Shilla TUDARCo … (endelea).

Jimmy Hoffmeye ameishtaki shule anayosoma mtoto wake pamoja na wafanyakazi wake wawili kwa kumnyoa binti yake bila ruhusa ya mzazi.

Kwa mujibu wa mashtaka yake, Hoffmeyer amesema haki ya mtoto wake ya kuwa na nywele ilikiukwa na ameamua kumhamisha mtoto wake katika shule hiyo.

Uchunguzi uliofanywa kuhusiana na kisa hicho, ulibaini kuwa licha ya kumnyoa nywele, mwalimu huyo pia alimbagua kwa misingi ya rangi yake.

Mwalimu huyo alipatikana na hatia lakini aliendelea kufanya kazi katika shule ya Ganiard iliyopo Michigan.

Mashtaka dhidi ya shule na wafanyakazi wake wawili kumhusi bintiye yalipelekewa katika Mahakama ya Michigan nchini humo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!