Friday , 26 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Mwanaume afunga ‘ndoa’ na rice cooker
Kimataifa

Mwanaume afunga ‘ndoa’ na rice cooker

Spread the love

 

UKISTAAJABU ya Mussa uyataona ya Firauni. Ndivyo unavyoweza kuelezea kile alichokifanya Khoirul Anam, raia wa Indonesia aliyeamua kufunga ‘ndoa’ na ‘rice cooker.’ Anaripoti Mitanga Hunda, TUDARCo … (endelea).

Unaweza fikiria ni simulizi, lahasha ni kweli mwanaume huyo ameamua kufunga pingu za maisha na kifaa hicho cha kupikia na picha zake kuibua mjadaa.

Picha ndoa hizo, amezeweka wiki mbili zilizopika katika ukurasa wake wa facebook na kuibua mjadala wa namna gani hicho alichokifanya kinashangaza.

Yeye pamoja na ‘mke wake’ huyo ambaye ni rice cooker walivalia mavazi meupe na akionekana kuibusha rice cooker hiyo ambayo ilifunikwa kwa shera mithili ya bibi harusi.

Picha hizo alizoweka kwenye facebook, zilikwenda sambamba na maneno akisema, nyeupe, nyeupe, nyeupe, mwenye upendo. Sina maneno mengi ya kusema. Mimi ni mahiri wa kupika.

Bila wewe mchele wangu siwezi kuupika. Akaweka emoji za kucheka na kumalizia akisema burudani.

1 Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!