Sunday , 28 April 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia, Dk. Mwinyi kukutana na mabalozi 45 wa Tanzania

    JUMLA ya mabalozi 45 wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali duniani wanatarajiwa kukutana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia...

ElimuHabariTangulizi

Waziri Ndalichako aitaka CBE kujitanua zaidi mikoani

SERIKALI imevitaka vyuo kuzingatia mafunzo ya vitendo kwa wanafunzi vyuoni ili kuondoa malalamiko kutoka kwa waajiri kwamba wahitimu wengi wanahitimu bila kuwa na...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema waigomea Tume ya marekebisho ya Sheria, wataja sababu saba

CHAMA cha Demokrasis na Maendelea (Chadema) kimewaagiza viongozi wake ngazi kanda, mikoa na majimbo kutoshiriki vikao vinavyotarajiwa kuanza kesho na kuratibwa na Tume...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu: Tudai uwajibikaji ajali ya ndege Bukoba

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)- Bara, Tundu Lissu amesema kutokana na ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea Novemba...

Habari za SiasaTangulizi

Profesa Muhongo:Tumeshuka kutoka uchumi wa kati

MBUNGE wa Musoma Vijijini, Profesa Sospeter Muhongo, amesema Tanzania haipo tena miongoni mwa nchi za uchumi wa kati kwa vigezo vilivyotolewa na Benki...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mdee waendelea kuing’ang’ania Chadema mahakamani

  BAADHI ya wabunge viti maalum wameendelea kudai katika Mahakama Kuu, Masjala Kuu jijini Dar es Salaam, kwamba Chama cha Chadema kiliwateua kushika...

HabariTangulizi

Samia aagiza kijana aliyeokoa 24 aingizwe jeshini, aoga mamilioni

  RAIS Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu ameagiza kijana Jackson Majaliwa, mvuvi wa Bukoba aliyewezesha uokozi wa abiria 24 wa ndege ya Precision...

HabariKitaifaTangulizi

Rais Samia atoa salamu za rambirambi kufuatia ajali ya ndege Bukoba

  RAIS wa Tanzania Samia Suluhu ametoa pole kwa wafiwa na majeruhi wa ajali ya ndege iliyotokea Jumapili huko Bukoba, Kagera. Watu 19...

Habari MchanganyikoTangulizi

Majina 19 waliofariki ajali ya ndege Bukoba yatajwa, wamo Rubani na msaidizi wake

  MAJINA ya watu 18 kati ya 19 waliofariki katika ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea leo Jumapili asubuhi katika Ziwa Victoria...

Habari MchanganyikoTangulizi

19 wafariki dunia ajali ya ndege Bukoba

WATU 19 wakiwemo abiria na wahudumu wamefariki dunia katika ajali ya ndege ya shirika la Ndege la Precision Air iliyotokea asubuhi ya leo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Watatu wapoteza maisha ajali ya ndege Bukoba

WATU watatu kati ya 27 waliookolewa hadi sasa wameripotiwa kupoteza maisha katika ajali ya ndege ya Kampuni ya Precision iliyotokea Bukoba mkoani Kagera....

Habari MchanganyikoTangulizi

Watu 26 kati 43 waokolewa katika ajali ya ndege Bukoba

  MKUU wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila, amesema watu 26 wameokolewa kati ya 43 waliokuwa kwenye ndege ya Precision ambayo imepata ajali...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ndege ya Precision ‘yaanguka’ Bukoba

  NDEGE ya kampuni ya Precision kutoka Tanzania, iliyokuwa ikisafiri kutoka Dar es Salaam, kuelekea Bukoba, imepata hitilafu na kulazimika kutua majini mjini...

Habari za SiasaTangulizi

Aliyefariki kwenye foleni ya mbolea azua zogo bungeni

  TAARIFA za mwananchi aliyedaiwa kupoteza maisha akiwa kwenye foleni ya mbolea wilayani Songea mkoani Ruvuma, zimeibua mvutano mkali bungeni baada ya Mbunge...

Habari za SiasaTangulizi

Shigongo ataka wasio waadilifu wachapwe viboko

  MBUNGE wa Buchosa, Eric Shigongo (CCM) amependekeza watumishi wa umma wasio waadilifu wachapwe viboko ili kukomesha ubadhirifu wa fedha za umma pamoja...

Habari MchanganyikoTangulizi

Makamba aanika mikakati kutekeleza maagizo ya Samia kuhusu nishati safi

KATIKA kuhamasisha Watanzania kuachana na nishati chafu ya kupikia na kuhamia kwenye nishati safi, Waziri wa Nishati, Januari Makamba amesema kwa mwaka huu...

Habari za SiasaTangulizi

Hanje apasua ‘jipu’ Mahakamani, awataja Mnyika na Mbowe uteuzi wake

  MBUNGE Viti Maalum, Nusrat Hanje, ameshauri suala lao la kupinga kuvuliwa uanachama wa Chadema, lirudishwe ndani ya chama hicho, kwani kuendelea kuwepo...

Habari za SiasaTangulizi

Nusrat Hanje ashangaa Chadema kumteua mbunge kisha kumkataa hadharani

  MBUNGE Viti Maalum, Nusrat Hanje, amedai alikosa nafasi ya kujitetea kwa mdomo katika Baraza Kuu la Chadema, Ili kueleza viongozi wake waliomteua...

Habari za SiasaTangulizi

Mvutano waibuka mwenzake Mdee akihojiwa mahakamani, adai Wakili alimpania

  MVUTANO mkali umeibuka kati ya Wakili wa Chadema, Peter Kibatala na mleta maombi namba 11, Hawa Mwaifunga, kuhusu ajenda za kikao Cha...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi kupinga kufukuzwa Chadema: Kina Mdee kuendelea kuhojiwa mahakakani

  HAWA Mwaifunga, aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chama Cha Chadema (BAWACHA), Leo Alhamisi, tarehe 3 Novemba 2022, anaendelea kuhojiwa...

Habari za SiasaTangulizi

Maridhiano ndo chachu ya uchumi Zbar – Mwinyi

  RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema jukumu muhimu la kuipatia nchi uchumi mzuri, halitafanikiwa iwapo hakuna amani na utulivu katika...

Habari za SiasaTangulizi

Wadau wataka mjadala wa kitaifa matokeo ya sensa

  SERIKALI ya Tanzania, imeshauriwa kuitisha mjadala wa kitaifa kuhusu takwimu za matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya 2022, ili kubaini...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ruzuku yaendelea kushusha bei ya mafuta

  MAMLAKA  ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini ambapo...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ataka kasi ongezeko la watu ipunguzwe, ataja athari zake

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ameishauri Serikali ipunguze kasi ya ongezeko la idadi ya watu, ili kukabiliana na athari...

Habari za SiasaTangulizi

Matokeo ya Sensa 2022: Idadi ya watu Tanzania yafikia Mil. 61.7

  RAIS wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametangaza kuwa idadi ya Watanzania imefikia milioni 61.7 kufikia tarehe 31 Oktoba 2022. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia aanika idadi ya majengo, yapo ya shule na afya

  NCHI ya Tanzania, ina majengo 14,348,372 (milioni 14.3), ambapo Bara kuna majengo 13,907,951 na Zanzibar 440,421. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto: Nilimwombea mama asife hadi aone naapishwa kuwa Rais

  KIONGOZI wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameoneshwa shahuku na ndoto aliyonayo ya kuwa Rais wa Tanzania, baada kusimulia alivyokuwa akimfariji mama yake kuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wahudhuria uzinduzi makao makuu ya ACT-Wazalendo

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimehudhuria uzinduzi wa jengo jipya la makao makuu ya Chama cha ACT-Wazalendo lililopewa jina la Maalim Seif...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto aeleza tume huru uchaguzi ilivyogonga mwamba kikosi kazi cha Rais

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema baadhi ya mapendekezo yaliyotolewa na wanasiasa wa vyama vya upinzani katika Kikosi Kazi cha Rais...

Habari MchanganyikoTangulizi

Daraja jipya la Wami laanza kutumika

  WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa ameruhusu Magari kuanza kutumia daraja jipya la wami kufuatia Ujenzi wake kukamilika kwa asilimia...

Tangulizi

CRB yawanoa makandarasi kuhusu biashara na fedha

MAKANDARASI nchini wametakiwa kuacha tabia ya kulalamika badala yake waweke juhudi ili wapate kazi kubwa zinazotangazwa ndani ya nje nchi. Na Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia amburuza Selasini kortini, amdai fidia ya Bil. 3

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, amemfungulia kesi Mwenyekiti wa Baraza la Wadhamini la chama hicho, Joseph Selasini, katika Mahakama Kuu,...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge CCM ashauri kuondoshwa Tozo kwenye Korosho

  MBUNGE wa Ndanda Cecil Mwambe ameishauri Serikali kufuta tozo zilizokuwepo kwenye utaratibu za maozo ya kurosho ghafi ili kunusuru bei ya korosho...

Tangulizi

Kamati ya Makamu Wakuu wa Vyuo yataka mikopo iongezwe

KAMATI ya Makamu Wakuu wa Vyuo Vikuu nchini (CVCPT), imeishauri serikali kuongeza wigo wa kutoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu ili...

ElimuTangulizi

Waziri awafuta kazi walimu waliombadilishia namba ya mtihani mwanafunzi la 7

  SERIKALI imeifungia Shule ya Awali na Msingi ya Chalinze Modern Islamic kuwa kituo cha Mitihani pamoja na kuwafuta kazi wasimamizi wa mtihani...

ElimuMakala & UchambuziTangulizi

Mwanachuo aliyepasuliwa korodani na Polisi afichua mazito

  MWANACHUO wa Chuo Kikuu cha SAUT mkoani Mwanza, Warren Lyimo anayedaiwa kupigwa na kuteswa  na Polisi hadi kupasuka korodani, amesimulia mambo mazito na...

KimataifaTangulizi

Wahariri wataka uchunguzi mauaji ya mwandishi wa habari

CHAMA cha Wahariri nchini Kenya (KEG) kimetoa wito ufanyike uchunguzi wa haraka kuhusu mauaji ya kushtua ya mwanahabari wa Pakistani, Arshad Sharif. Sharif...

KimataifaTangulizi

Mwanasiasa mwenye asili ya Tanzania, Kenya aukwaa uwaziri mkuu Uingereza

  MWANASIASA wa Uingereza Rishi Sunak amechaguliwa jana tarehe 24 Oktoba, 2022 kuwa kiongozi wa chama cha Conservative na atakuwa waziri mkuu ajaye,...

Tangulizi

Mkuu wa Magereza akemea mimba za utotoni

  MKUU wa Jeshi la Magereza nchini Kamishna Jenerali Mzee Ramadhani Nyamka amewataka wahitimu wa kidato cha nne wa Shule ya Sekondari Bwawani...

Habari za SiasaTangulizi

Kinana ataja kinachomkwamisha Samia kuleta maridhiano ya kisiasa

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Abdulrahman Kinana, amesema kinachokwamisha dhamira ya Rais Samia Suluhu Hassan, kuleta maridhiano nchini ni mabishano...

Habari MchanganyikoTangulizi

DRC, Tz zasaini MoU Rais Tshisekedi akitua nchini

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Felix Tshisekedi wameshuhudia utiaji saini hati ya...

MichezoTangulizi

Simba, Yanga hakuna mbabe

BAHATI yao! Ndilo neno lililotamalaki katika ndimi za mashabiki wa timu kongwe nchini, Simba na Yanga baada ya leo tarehe 23 Oktoba, 2022...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wamuangukia Samia aharakishe mikutano ya hadhara

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemwomba Rais Samia Suluhu Hassan, aruhusu mikutano ya hadhara kabla ya marekebisho ya Sheria ya Vyama...

Habari za SiasaTangulizi

Kikosi Kazi chapendekeza hatua sita kupata Katiba Mpya

KIKOSI kazi cha kukusanya maoni ya wadau wa demokrasia ya vyama vingi nchini Tanzania,  kimependekeza hatua sita zitakazosaidia mchakato wa kupata Katiba mpya...

Habari za SiasaTangulizi

Kikosi Kazi: Mikutano ya hadhara iruhusiwe, matokeo ya urais yahojiwe mahakamani

HATIMAYE Kikosi Kazi cha kukusanya maoni ya wadau wa demokrasia ya vyama vingi nchini Tanzania kilichoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan kimeitimisha kazi...

KimataifaTangulizi

Zimbabwe yawa nchi ya kwanza Afrika kukubali chanjo ya VVU

ZIMBABWE imekuwa nchi ya kwanza barani Afrika na ya tatu duniani kuidhinisha dawa ya kuzuia VVU iliyopendekezwa hivi karibuni na Shirika la Afya...

Habari za SiasaTangulizi

Ripoti kikosi kazi kutinga kwa Rais Samia kesho

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema kesho Ijumaa, tarehe 21 Oktoba 2022, atapokea ripoti ya kikosi kazi alichokiunda kuratibu maoni ya wadau wa...

KimataifaTangulizi

Waziri Mkuu Uingereza ajiuzulu, avunja rekodi ya mwaka 1827

  Waziri Mkuu wa Uingereza, Liz Truss leo tarehe 20 Oktoba, 2022 amejiuzulu uongozi wa chama cha Conservative na uwaziri mkuu baada ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Marekebisho Sheria za habari: Wadau wampa tano Samia, wamkumbusha vifungu kandamizi

  WADAU wa tasnia ya habari Tanzania, wameshauri mchakato wa marekebisho ya sheria zinazosimamia vyombo vya habari, ukamilike ili kukidhi dhamira ya Rais...

HabariMichezoTangulizi

Yanga wapewa wababe wa Kipanga kombe la Shirikisho.

  MARA baada ya kuangukia kwenye michuano ya kombe la Shirikisho, klabu ya soka ya Yanga imepangwa kumenyana dhidi ya Club Africain ya...

error: Content is protected !!