Friday , 10 May 2024

Month: July 2018

Michezo

Kinda wa Leicester City yaiongeza nguvu Serengeti Boys

MTANZANIA anayechezea klabu ya Leicester City, Ben Antony Starkie anatarajiwa kutua leo nchini 26 Julai, 2018 kujiunga na kambi ya timu ya taifa...

Makala & Uchambuzi

Tabia zao huumba taswira zao

IMEKUWA utaratibu uliozoeleka maeneo mengi duniani, kwamba kila kiongozi wa nchi anapoingia madarakani vyombo vya habari humpachika jina “jepesi,” mbali na majina yake...

Michezo

Dirisha la Ligi Kuu kufungwa leo, TFF watoa onyo

KUELEKEA kuanza kwa msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetoa angalizo kwa klabu zinazoshiriki ligi kuu na...

Habari za SiasaTangulizi

Lugola: Natenda atakacho JPM

KANGI Lugola, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi amesema, anafanya kile atakacho Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli....

Habari Mchanganyiko

Wananchi walianzisha, polisi waanza msako

WAKAZI wa Mtaa wa Nyakabungo “A” katika Kata ya Isamilo, Nyamgana jijini Mwanza, ‘wamemuhukumu’ Selina Francis (50) na Abdallah Mwita kwa kuchoma moto...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya vigogo Chadema yaiva

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imepanga kuanza kusikiliza kesi ya jinai inayowakabili viongozi wakuu wa Chama cha Demokrasia na...

Michezo

Manara ang’aka Simba kupigwa sita Uturuki

MSEMAJI wa Simba, Haji Manara amewashutumu vikali chombo cha Habari cha Clouds FM, kwa kutangaza taarifa za uongo kuhusu klabu ya Simba kucheza...

Michezo

FIFA yatangaza orodha watakaowania tuzo ya mchezaji bora

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) limeweka hadharani orodha ya wachezaji 10 watakaowania tuzo ya mwanasoka bora wa Dunia kwa mwaka 2018,...

Habari za Siasa

Serikali kuanzia soko huria na madini

SERIKALI ina mpango wa kuanzisha soko huria la madini (Tanzania Mineral Exchange) ifikapo mwezi Desemba mwaka huu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kauli...

KimataifaTangulizi

Admin wa WhatsApp afungwa miezi mitano jela

MWANAFUNZI mmoja anayefahamika kwa jina la Junaid Khan (21) ametumikia kifungo cha miezi mitano gerezani nchini India kwa kuwa msimamizi wa kundi la...

Kimataifa

Vichanga vyafariki baada mama zao kumeza viagra

WATOTO wachanga takribani 11 wamefariki dunia nchini Uholanzi kutokana na mama zao kupewa dawa ya kuongeza nguvu za kiume inayofahamika kama Viagra. Anaripoti...

AfyaBusiness

Mkoa wako umeshika nafasi ipi maambukuzi ya VVU? Soma hapa

TUME ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) imeeleza kuwa, Virusi Vinavyosababisha Ukimwi (VVU) vinaendelea kusambaa na kwamba, wananchi wanapaswa kuwa na tahadhari. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Kamishina wa Magereza afanya mabadiliko

Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Tanzania, Phaustine Martin Kasike amefanya mabadiliko ya kiuongozi kwa wakuu wa Magereza wa mikoa na vituo nchini....

Habari za Siasa

Waziri avunja bodi ya NSSF

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi Vijana na Ajira, Jenista Mhagama ameivunja Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Hifadhi...

Michezo

Omary Kaaya Katibu mkuu mpya Yanga

KIKAO cha dharula kilichofanywa na Kamati ya Utendaji na Bodi ya Wadhamini ya Klabu ya Yanga imemteua na kumtangaza Omar Kayaa kuwa Katibu...

Habari Mchanganyiko

Kiwanda cha nguo chapongezwa kuzuia uchafuzi wa mazingira

KIONGOZI wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Charles Francis kabeho amezingdua mradi wa kuchakata maji taka kwenye kiwanda cha nguo 21st Century...

Habari Mchanganyiko

Askari waliokamatwa mauaji ya Akwilini waachiwa huru

ASKARI waliokamatwa kwa ajili ya uchunguzi wa mauaji ya Mwanafunzi wa Chuo cha Usafirishaji (NIT), Akwilini Akwilina wameachiwa huru baada ya uchunguzi kutobaini...

Habari Mchanganyiko

Polisi waua jambazi Mwanza

MTU mmoja aliyefahamika kwa jina la Seleman Israel ‘Akayesu’ (54) anayetuhumiwa kuwa jambazi amefariki dunia kwa kupigwa risasi wakati akijaribu kuwatoroka askari polisi...

Habari Mchanganyiko

Siku ya Mashujaa, JWTZ kufanya shughuli za kijamii

JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kesho litaadhimisha Siku ya Mashujaa waliopoteza uhai wakipigania Taifa, kwa kufanya shughuli za mbalimbali za...

Habari za SiasaTangulizi

‘Ununuzi wa madiwani wahamia kwa Sugu,’ Dk. Tulia atajwa

WIMBI la baadhi ya madiwani kukihama Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), linatarajiwa kuendelea kutikisa jiji la Mbeya. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....

Makala & Uchambuzi

Nani anaifisidi Z’bar?

NI jabari gani wa kuthubutu kujitokeza leo na akatamka hadharani kuwa, ameikosea Zanzibar kwa vitendo vyake vya kuifisidi kiuchumi? Anaandika Jabir Idrissa …...

Habari za Siasa

Vodacom wamponza Mkurugenzi TCRA

MHANDISI Izack Kamwelwe, Waziri wa Uchukuzi, Usafirishaji na Mawasiliano amempa siku 30 Mkurugenzi wa Mawasiliano Tanzania  (TCRA) kuzungumza na Kampuni ya Mtandao wa simu ya ...

Michezo

Yanga wazidi kupukutika

MAKAMU Mwenyekiti wa Yanga, Clement Sanga ametangaza kujiuzulu nafasi yake ya uongozi ndani ya klabu hiyo kutokana na kusambaa kwa kipande cha video...

Habari Mchanganyiko

Watano wahukumiwa kunyongwa kesi ya Bilionea Msuya

WATU watano wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya Mahakama Kuu Tanzania Kanda ya Moshi kuwakuta na hatia ya kumuuwa kwa kukusudia Mfanyabiashara wa...

Makala & Uchambuzi

Tatizo umasikini au CCM?

UMASIKINI katika jamii si msamiati mgeni, hasa wakati huu ambapo kumekuwepo na jitihada mbalimbali za kitaifa na za kimataifa za kuuangamiza. Anaandika Mbonea...

Kimataifa

Marekani: China ni tishio

MAREKANI inapiga yowe kwamba, China inanyemelea nafasi yake ya kuwa taifa kubwa duniani. Inasema China inaendesha ‘vita baridi,’ pia ni tishio. Anaripoti  Yusuph...

Michezo

MO Dewji awaombea mema Yanga

MWEKEZAJI wa klabu ya Simba, Mohammed Dewji ‘MO’ amewataka wanachama na viongozi wa klabu ya Yanga kuungana upya, ili kuinusulu klabu katika kipindi...

Habari za Siasa

Rais Magufuli atia saini ujenzi wa daraja la Salender

RAIS John Magufuli amemtaka mkandarasi wa daraja la Salender kuhakikisha anakamilisha kazi hiyo ndani ya muda uliopangwa huku akiwataka kuwatumia wafanyakazi kutoka Tanzania....

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wapingwa

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimepinga vikali kitendo kitendo cha wananchi wanaosadikika ni wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Michezo

TFF wazikumbusha klabu zisizokamilisha usajili wa kieletroniki

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linavikumbusha klabu za Ligi Kuu, Ligi Daraja la Kwanza na Ligi Daraja la Pili ambavyo havijafanya...

Habari za SiasaTangulizi

MSETO kuiponza Tanzania Jumuiya ya Afrika Mashariki

SERIKALI ya Tanzania inaweza kuingia katika mgogoro katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kama haitatii maagizo waliyopewa na Mahakama ya Afrika Mashariki ya kulifungulia...

Michezo

Yajayo Yanga yanasikitisha

MPAKA sasa bado siku tano dirisha la usajili lifungwe, Yanga haijasajili mchezaji mwenye hadhi yake, ambaye angeweza kuingia kwenye kikosi cha kwanza cha...

Habari za SiasaTangulizi

Diwani Chadema Mbeya amwaga mboga, atangaza kujiuzuru

MUDA mchache baada ya Uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoa wa Mbeya kupendekeza kuwavua uanachama madiwani watatu mkoani huyo, mmoja...

Habari Mchanganyiko

Aliyedaiwa kumpiga risasi Sheikh Ponda ajiuwa kwa risasi

ALIYEDAIWA kuhusika na tukio la kumshambulia kwa risasi Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam, Sheikh Issa Ponda, Benedict Nyamagatara ametajwa kufariki dunia...

Habari za Siasa

Kangi amtwisha zigo la Lugumi IGP Sirro

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Kugola amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Simon Sirro kumtafuta mmiliki wa Kampuni...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kwachafuka, watimua madiwani wake

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wilayani Mbeya, kimetangaza kuwavua uanachama madiwani wake watatu kwa madai ya “utovu wa nidhamu na kukiuka taratibu...

Habari Mchanganyiko

Gari litakaloziisha mzigo faini Mil 34, jela miaka mitatu

SHERIA ya Udhibiti wa Uzito wa Magari ya Jumuiya ya Afrika Mashariki inatarajia kuanza kutumika nchini Januari 2019 huku ukomo wa adhabu kwa...

Habari za Siasa

LRHC chamvaa tena Rais Magufuli

MATUKIO ya ukiukwaji na uvunjifu wa haki za binadamu nchini, yameanza kuongezeka katika kipindi cha utawala wa Rais John Pombe Magufuli. Anaripoti Kelvin...

Michezo

Wema Sepetu ahukumiwa mwaka mmoja jela au faini

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu kulipa faini ya Sh 1Milioni kwa kila kosa au kwenda jela mwaka...

Habari Mchanganyiko

Wakuliwa wanaoishi karibu ya vituo vya Utafiti kufaidika

WATAFITI wa mbegu waliopo kwenye vituo 16 vya Utafiti wa mazao mbalimbali hapa nchini wameshauriwa kuhakikisha mbegu wanazozalisha kwanza zinatumiwa na wakulima wanaozunguka...

Habari Mchanganyiko

Bil 2 zatengwa kukuza Kilimo Biashara

TAASISI binafsi ya kusaidia Sekta ya kilimo Tanzania (PASS) imetenga kiasi cha Sh. 2 bilionikwa ajili ya kuwawezesha Wahitimu 100 kila mwaka kutoka Chuo Kikuu cha...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kinakwenda Buyungu kushiriki uchaguzi au kushinda?

KIPYENGA cha kinyang’anyiro cha uchaguzi mdogo wa ubunge katika jimbo la Buyungu, wilayani Kakoko, mkoani Kigoma, kimepulizwa. Anaripoti Yusuph Katimba … (endelea). Uchaguzi mdogo...

MichezoTangulizi

Kocha Mpya wa Simba aichokonoa Yanga

KLABU ya Simba imemtangaza rasmi Kocha wake Mpya, Mbelgiji Patrick Aussems ambaye ametoa maneno ambayo mashabiki wa klabu ya Yanga hawatapoenda kutasikia. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Matumizi ya mbegu bora yaongezeka kwa kasi

MATUMIZI ya mbegu bora za mazao mbalimbali hapa nchini yameongezeka kwa sasa kutoka asilimia 20 iliyokuwa miaka ya nyuma  hadi kufikia asilimia 85...

Habari Mchanganyiko

TARI kuwaondolea wakulima mbegu za zamani

TAASISI ya Utafiti wa kilimo Tanzania (TARI) kupitia kitengo cha Uhawilishaji teknolojia na mahusiano ina mpango wa kuzalisha mbegu za aina mbalimbali kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Hatma ya Vigogo wa Chadema Julai 25

KESI ya uchochezi inayowakabili viongozi nane waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) imeahirishwa mpaka Julai 25, mwana huu, ili kupisha kusikilizwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mfanyabiashara Tunduma aigomea CCM, abambikiwa makesi lukuki 

MFANYABIASHARA maarufu mjini Tunduma, Isakwisa Thobias Lupembe, anatuhumiwa na Idara ya Uhamiaji mkoani Songwe, kuwa sio raia wa Jamhuri ya Muungano; huku akihusisha...

Michezo

Cristiano Ronaldo apima afya Juventus

MCHEZAJI bora Dunia, Cristiano Ronaldo anafanyiwa vipimo vya Juventus kabla ya kukamilisha uhamisho wake wa pauni 100 milioni wa kujiunga na miamba hiyo...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli aweka jiwe la msingi Chuo cha Uongozi

RAIS John Magufuli ambaye pia Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) leo ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa chuo cha uongozi cha Mwl. Julius...

Habari za SiasaTangulizi

Giza nene latanda Chadema, wagombewa wake hofu tupu

GIZA nene limetanda kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Iringa baada ya wagombea wake watatu wa udiwani katika uchaguzi mdogo...

error: Content is protected !!