Thursday , 25 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Vichanga vyafariki baada mama zao kumeza viagra
Kimataifa

Vichanga vyafariki baada mama zao kumeza viagra

Spread the love

WATOTO wachanga takribani 11 wamefariki dunia nchini Uholanzi kutokana na mama zao kupewa dawa ya kuongeza nguvu za kiume inayofahamika kama Viagra. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Kina mama hao wakati wa ujauzito walifanyiwa utafiti kwa kupewa dawa ya Viagra ili kuimarisha ukuwaji wa watoto ambao hawajazaliwa kutokana na kuwa na kondo la nyuma lisiloimarika.

Kufuatia athari hiyo, Uholanzi imesitisha utafiti huo mara moja baada ya kubainika kwamba Viagra iliyotumika kwa ajili ya kuimarisha usambazaji wa damu katika mwili huenda iliharibu afya ya watoto hao hasa sehemu ya mapafu.

Hata hivyo, wataalamu wa masuala ya afya wametoa wito wa kufanyika kwa uchunguzi kamili ili kubaini ukweli wa sakata hilo.

Chanzo: BBC Swahili

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!