Saturday , 27 April 2024
Home Kitengo Michezo Dirisha la Ligi Kuu kufungwa leo, TFF watoa onyo
Michezo

Dirisha la Ligi Kuu kufungwa leo, TFF watoa onyo

Clifford Ndimbo, Msemaji wa TFF
Spread the love

KUELEKEA kuanza kwa msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetoa angalizo kwa klabu zinazoshiriki ligi kuu na ligi daraja la kwanza ambazo hazija kamilisha usajiri kupitia mfumo wa TFF FIFA Connect, hazitoongezea muda wa ziada kukamilisha swala hilo. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).

Timu za Ligi Kuu ambazo hazijakamalisha usajili kwa njia ya mtandao mpaka sasa ni African Lyon, KMC, Mwadui na Mtibwa Sugar kwa upande wa timu zinazoshiriki ligi daraja lwa kwanza ni AFC, Ashanti United, Arusha United (JKT Oljoro), Kiluvya United, Majimaji, Mashujaa, Geita Gold (Mshikamano).

Dirisha hilo la usajili kwa klabu za Ligi Kuu na ligi daraja la kwanza linatarajia kufungwa kesho 26 Julai, 2018, majira ya saa sita usiku.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!