Tuesday , 30 May 2023
Home Kitengo Michezo Dirisha la Ligi Kuu kufungwa leo, TFF watoa onyo
Michezo

Dirisha la Ligi Kuu kufungwa leo, TFF watoa onyo

Clifford Ndimbo, Msemaji wa TFF
Spread the love

KUELEKEA kuanza kwa msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetoa angalizo kwa klabu zinazoshiriki ligi kuu na ligi daraja la kwanza ambazo hazija kamilisha usajiri kupitia mfumo wa TFF FIFA Connect, hazitoongezea muda wa ziada kukamilisha swala hilo. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).

Timu za Ligi Kuu ambazo hazijakamalisha usajili kwa njia ya mtandao mpaka sasa ni African Lyon, KMC, Mwadui na Mtibwa Sugar kwa upande wa timu zinazoshiriki ligi daraja lwa kwanza ni AFC, Ashanti United, Arusha United (JKT Oljoro), Kiluvya United, Majimaji, Mashujaa, Geita Gold (Mshikamano).

Dirisha hilo la usajili kwa klabu za Ligi Kuu na ligi daraja la kwanza linatarajia kufungwa kesho 26 Julai, 2018, majira ya saa sita usiku.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

NBC Dodoma Marathon yazinduliwa, wakiambiaji 6,000 kushiriki

Spread the loveBENKI ya NBC imetangaza kufanyika kwa mbio kubwa za NBC...

Michezo

Rais Samia anunua tiketi 5000 Yanga vs USM Alger

Spread the loveRAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu...

Michezo

Mwenyekiti UVCCM anogesha nusu fainali Kimwanga CUP, Hawa Abdul Rede CUP kwa kishindo

Spread the loveHEKAHEKA za michuano ya kuwania kuingia fainali ya michuano ya...

Michezo

Yanga SC. yatwaa ubingwa wa pili mfululizo

Spread the love  KLABU ya Yanga SC imeweka rekodi ya kutwaa ubingwa...

error: Content is protected !!