Tuesday , 23 April 2024
Home Kitengo Michezo Kocha Mpya wa Simba aichokonoa Yanga
MichezoTangulizi

Kocha Mpya wa Simba aichokonoa Yanga

Spread the love
KLABU ya Simba imemtangaza rasmi Kocha wake Mpya, Mbelgiji Patrick Aussems ambaye ametoa maneno ambayo mashabiki wa klabu ya Yanga hawatapoenda kutasikia. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).

Mara tu baada raia huyo wa Ubelgiji kutangazwa ameesema hana habari na watani zao wa jadi Yanga, yeye mipango yake ni kuifanya Simba kuwa Big Team Afrika (timu kubwa Afrika).

Patrick amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuinoa klabi hiyo huku akisisitiza kuwa atafanya kazi na makocha wazawa.

Katika hafla ya kumtambulisha kocha huyo amesema anaijua Yanga na Azam lakini Simba ndiyo kila kitu kwake.

“Kama nilivyosema naifikiria Simba kuwa moja ya timu kubwa Afrika, tageti yangu ni kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu na kufika mbali mashindano ya kimataifa,” amesema.

Rais wa Simba, Salim Abdallah amesema wamempa mkataba wa mwaka mmoja na atafanya kazi akisaidiana na Masudi Djuma sanjari na Kocha wa viungo ambaye atatajwa siku si nyingi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za SiasaTangulizi

Shibuda amlima waraka mzito Bulembo

Spread the loveMKONGWE wa siasa nchini, John Shibuda amemshukia kada maarufu wa...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!