Mara tu baada raia huyo wa Ubelgiji kutangazwa ameesema hana habari na watani zao wa jadi Yanga, yeye mipango yake ni kuifanya Simba kuwa Big Team Afrika (timu kubwa Afrika).
Patrick amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuinoa klabi hiyo huku akisisitiza kuwa atafanya kazi na makocha wazawa.
Katika hafla ya kumtambulisha kocha huyo amesema anaijua Yanga na Azam lakini Simba ndiyo kila kitu kwake.
“Kama nilivyosema naifikiria Simba kuwa moja ya timu kubwa Afrika, tageti yangu ni kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu na kufika mbali mashindano ya kimataifa,” amesema.
Rais wa Simba, Salim Abdallah amesema wamempa mkataba wa mwaka mmoja na atafanya kazi akisaidiana na Masudi Djuma sanjari na Kocha wa viungo ambaye atatajwa siku si nyingi.
Spread the love Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...
By Mwandishi WetuApril 23, 2024Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...
By Mwandishi WetuApril 23, 2024Spread the loveMKONGWE wa siasa nchini, John Shibuda amemshukia kada maarufu wa...
By Mwandishi WetuApril 23, 2024Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...
By Mwandishi WetuApril 22, 2024
Leave a comment