Thursday , 25 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Admin wa WhatsApp afungwa miezi mitano jela
KimataifaTangulizi

Admin wa WhatsApp afungwa miezi mitano jela

Spread the love

MWANAFUNZI mmoja anayefahamika kwa jina la Junaid Khan (21) ametumikia kifungo cha miezi mitano gerezani nchini India kwa kuwa msimamizi wa kundi la WhatsApp ambalo ulitumwa ujumbe wa matusi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Junaid Khan alishtakiwa kwa kosa la uasi kufuatia kundi hilo kutumwa ujumbe wa matusi huku yeye akiwa miongoni mwa viongozi wa kundi ‘Admin’, hata hivyo alikana kuutuma ujumbe huo.

Adhabu hiyo imemkumba Khan kufuatia sheria ya mitandao nchini India kuruhusu vyombo vya dola kuwachukulia hatua wasimamizi wa makundi ya mitandao ya kijamii au admins ikiwemo kuwafunga gerezani, kwa kosa la kwa kusambaza ujumbe unaoonekana kuwa ni tusi kidini au kisiasa.

Hata hivyo, Polisi inamshikilia admin aliyetoroka kundini kwa madai ya kuhusika kutuma ujumbe huo.

Chanzo: BBC Swahili

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za SiasaTangulizi

Shibuda amlima waraka mzito Bulembo

Spread the loveMKONGWE wa siasa nchini, John Shibuda amemshukia kada maarufu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

error: Content is protected !!