
Spread the love
KESI ya uchochezi inayowakabili viongozi nane waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) imeahirishwa mpaka Julai 25, mwana huu, ili kupisha kusikilizwa kwa pingamizi ya kesi hiyo ambayo itasikilizwa Julai 20 na Mahakama Kuu.
More Stories
Simba yamfukuzisha Kaze Yanga
Usiyoyajua kuhusu Panya wapima TB
Kaze, Nizar halfani watimuliwa Yanga