Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Waziri avunja bodi ya NSSF
Habari za Siasa

Waziri avunja bodi ya NSSF

Spread the love

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi Vijana na Ajira, Jenista Mhagama ameivunja Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) pamoja na kutengua uteuzi wa Mwenyekiti  na wajumbe wake. Anaripoti Mwandishi Wetu  … (endelea).

Akizungumza na wanahabari jijini Dodoma leo Julai 24, 2018 Waziri Mhagama amesema lengo la mabadiliko hayo ni kuimarisha utendaji wa NSSF.

“Lengo kuu la mabadiliko haya ni kuhakikisha  kuwa shirika linaimarishwa zaidi katika kusimamia mwenendo mzima wa kila siku wa utendaji kazi wa shirika ikiwemo kazi za msingi za kuongeza wanachama kukusanya michango kulipa mafao ya wanachama kwa wakati na kusimamia ipasavyo shughuli za vitega uchumi kwa ufamnisi na uweledi,” amesema Mhagama.

Waziri Mhagama amesema taratibu za uteuzi wabodi mpya na wajumbe wake utaendelea kufanyika kwa mujibu wa sheria.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Bajeti ya Ikulu 2024/25 kuongezeka, bunge laombwa kurudhia Sh. 1.1 trilioni

Spread the love  WIZARA ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Uturuki zanuia kukuza biashara, uwekezaji

Spread the loveSERIKALI za Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuendeleza dhamira ya kuimarisha...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza ajira watendaji daftari wapiga kura

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza nafasi...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yatangaza ruti awamu ya pili maandamano

Spread the love  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema awamu ya...

error: Content is protected !!