Michezo
Wapinzani wa Simba kwenye mchezo wa robo fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika klabu ya Kazier Chiefs wamewasili jana...
By Kelvin MwaipunguMay 20, 2021BAADA ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0, dhidi ya Jkt Tanzania Yanga sasa inafikisha jumla ya pointi 61, sawa na Simba...
By Kelvin MwaipunguMay 19, 2021KUELEKEA mchezo wa marudiano wa Ligi Mabingwa Afrika dhidi ya Kaizer Chiefs, klabu ya Simba imekuja na kauli mbiu ya ‘Ama zetu,...
By Kelvin MwaipunguMay 19, 2021WAZIRI wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo innocent Bashungwa amewataka watanzania kwa pamoja kuinga mkono klabu ya Simba kwenye mchezo wa marudiano...
By Kelvin MwaipunguMay 19, 2021Mwamuzi msaidizi namba moja Abdulaziz Ally aliyechezesha mchezo wa Namungo Fc dhidi ya Yanga ameondelewa kwenye orodha ya waamuzi kwa michezi mitatu mara...
By Kelvin MwaipunguMay 18, 2021SASA ni rasmi klabu ya Mwadui FC imeshuka Ligi Kuu Tanzania Bara kwa msimu wa 2020/21, baada ya kukubali kichapo cha bao...
By Kelvin MwaipunguMay 18, 2021HARRY Kane, mshambuliaji Tottenham Hotspur ameandika barua ya kutaka kuondoka kwenye klabu hiyo licha ya kubakia na mkataba wa miaka mitatu na...
By Kelvin MwaipunguMay 18, 2021KIKOSI cha Simba kimeingia kambili leo asubuhi kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa marudiano wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa...
By Kelvin MwaipunguMay 18, 2021IKIWA umesalia mchezo mmoja kukamilika kwa Ligi Kuu Hispania (La Liga), klabu ya Real Madrid ipo shakani kupoteza ubingwa wa Ligi hiyo...
By Kelvin MwaipunguMay 17, 2021HUENDA kocha Mauricio Pochettino wa kikosi cha PSG, akawa kwenye wakati mgumu wa kutetea taji lake la Ligu Kuu Ufaransa baada ya...
By Kelvin MwaipunguMay 17, 2021PENALTI ya dakika 26, kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Ujerumani ‘Bundesliga’ dhidi ya SC Freiburg uliomalizika kwa sare ya mabao 2-2, ilitosha...
By Kelvin MwaipunguMay 17, 2021WATANI wa jadi nchini Tanzania, Simba na Yanga, watakutana kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, tarehe 3 Julai 2021. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuMay 16, 2021MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi wa Klabu ya Simba ya Dar es salaam, nchini Tanzania, Mohamed Dewji ‘MO’ amepanga kuwekeza fedha zaidi...
By Mwandishi WetuMay 16, 2021NAHODHA Mkuu wa kikosi cha Yanga, Lamine Moro ameondolewa kwenye timu hiyo na Kocha Nasriddine Nabi, baada ya kuonesha utovu wa nidhamu, wakati...
By Kelvin MwaipunguMay 16, 2021MARA baada ya kukubali kichapo cha mabao 4-0, dhidi ya Kaizer Chiefs kocha mkuu wa kikosi cha Simba Didier Gomes ameonekana kutofurahishwa...
By Kelvin MwaipunguMay 16, 2021GOLI la Youri Tielemans la dakika ya 63, lilitosha kuipa ubingwa wa kwanza wa FA CUP, timu yake ya Leicester City msimu wa...
By Mwandishi WetuMay 16, 2021KIKOSI cha Simba kesho kitashuka dimbani kuwakabili Kaizer Chiefs kwenye mchezo wa kwanza wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika...
By Kelvin MwaipunguMay 14, 2021KIKOSI cha Yanga kesho kitashuka Uwanjani kwenye mchezo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Namungo Fc, utakaochezwa kwenye...
By Kelvin MwaipunguMay 14, 2021KUELEKEA mchezo wa kesho wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika dhidi ya Kaizer Chiefs, Simba inapewa nafasi kubwa ya...
By Kelvin MwaipunguMay 14, 2021Mara baada ya mchezo wa Ligi Kuu nchini England kati ya Liverpool na Manchester United kuarishwa kutokana na vurugu za Mashabiki wa...
By Kelvin MwaipunguMay 13, 2021RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), amesema sababu za kiusalama ndiyo zilipelekea kuarishwa kwa mchezo kati ya Simba na...
By Kelvin MwaipunguMay 13, 2021SIKU ya tarehe 6 Januari, 2021, ni siku ambayo haitasahaulika kwa familia ya Rehema Abdallah, baada ya kijana wao, Kibabu Nasoro (30) kupata...
By Hamisi MgutaMay 13, 2021SHABIKI wa Yanga, Mansur Hussen aliyetembea kwa miguu kutoka Kigoma hadi Dar es Salaam kwa ajili ya kutazama mchezo wa Simba na...
By Kelvin MwaipunguMay 12, 2021KLABU ya Manchester City imetangzwa kuwa bingwa mpya wa Ligi Kuu nchini England mara baada ya Manchester United kukubali kichapo cha mabao...
By Kelvin MwaipunguMay 11, 2021RATIBA ya michuano ya Kombe la Azam Federation CUP (ASFC) nchini Tanzania, hatua ya robo fainali, itashuhudia Yanga ikisafiri kwenda Shinyanga kuwavaa Mwadui...
By Kelvin MwaipunguMay 11, 2021MARA baada ya kuahirisha mchezo dhidi ya Yanga bodi ya Ligi Kuu imeahirisha tena mchezo wa Simba dhidi ya Coastal union kutoka...
By Kelvin MwaipunguMay 10, 2021Kamati ua uwendeshaji na usimamizi wa Ligi (kamati ya saa 72) itakutana hii leo tarehe 10 Mei 2021, kwa ajenda moja ya...
By Kelvin MwaipunguMay 10, 2021WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo kutoa tamko kuhusiana na...
By Kelvin MwaipunguMay 10, 2021KLABU ya Simba imelitaka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kuishusha daraja Yanga kwa kugomea mchezo wao wa jan0a wa Ligi Kuu...
By Kelvin MwaipunguMay 9, 2021Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Simba umeahilishwa kufuatia mkanganyiko wa muda wa kuanza mchezo huo. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar...
By Kelvin MwaipunguMay 8, 2021MABINGWA wa Kihistoria nchini Tanzania, Yanga ya jijini Dar es Salaam umesema, utaipeleka timu yao katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, muda uliopangwa...
By Kelvin MwaipunguMay 8, 2021SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limeusogeza mbele, mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara 2020/21, kati ya Simba dhidi ya...
By Kelvin MwaipunguMay 8, 2021KLABU ya Manchester City ambayo kikosi chake kipo chini ya Pep Guardiolla huenda leo wakatangazwa mabingwa wapya wa Ligi Kuu England kama...
By Kelvin MwaipunguMay 8, 2021IKIWA umebaki muda mchache kabla ya mtanange wa watani wa jadi Simba na Yanga, kupigwa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)...
By Kelvin MwaipunguMay 8, 2021KOCHA msaidizi wa Simba Suleiman Matola, awataka washabiki wa simba wajitokeze kwa wingi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya watani...
By Kelvin MwaipunguMay 7, 2021KUELEKEA mchezo wa watani wa jadi (Simba na Yanga) Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesema kuwa wachezaji wa timu zote mbili...
By Masalu ErastoMay 7, 2021KOCHA Msaidizi wa Simba, Seleman Matola amesema kuwa kikosi chake kesho kimepanga kwenda kuonesha burudani kwenye mchezo wao dhidi ya Yanga. Anaripoti...
By Kelvin MwaipunguMay 7, 2021WACHEZAJI wa kabu kubwa Tanzania – Simba na Yanga zote za jijini Dar es Salaam, wana jambo ambalo hawajaweza kulifanya tangu lilipofanyika...
By Mwandishi WetuMay 7, 2021WAKATI joto la mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2020/21 kati ya watani wa jadi, Simba dhidi ya Yanga likipamba moto, Kocha...
By Kelvin MwaipunguMay 7, 2021MCHEZO war obo fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika kati ya Kaizer Chief dhidi ya Simba rasmi sasa utachezwa...
By Kelvin MwaipunguMay 6, 2021KIUNGO wa klabu ya Simba Clatous Chama amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Aprili 2021 kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara huku kocha...
By Kelvin MwaipunguMay 6, 2021JESHI la Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam limetoa masharti matano kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Simba...
By Kelvin MwaipunguMay 6, 2021KUELEKEA mchezo wa watani wa jadi (Simba na Yanga) kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara tutashuhudia baadhi ya wachezaji wanaocheza eneo la ulinzi...
By Kelvin MwaipunguMay 6, 2021BAADA ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Real Madrid, kocha wa kikosi cha Chelsea, Thomas Tuchel ametoa pongezi kwa...
By Kelvin MwaipunguMay 6, 2021Klabu ya Manchester United ya nchini England ipo tayari kutoa kiasi Euro 90 milioni sawa na shilingi 250.8 bilioni, kwa jili ya...
By Kelvin MwaipunguMay 5, 2021KOCHA wa kikosi cha Real Madrid Zinedine Zidane amethibitisha kurejea kwa naohodha wa kikosi hiko Sergio Ramos kwenye mchezo wa leo wa...
By Kelvin MwaipunguMay 5, 2021KIUNGO mshambuliaji wa Yanga C,arlos Carlinho yupo hatihati kuukosa mchezo dhidi ya Simba, kutokana na kuumia kwenye mchezo uliopita wa Kombe la Shirikisho...
By Kelvin MwaipunguMay 5, 2021KLABU ya Simba imetangaza viingilio vya mchezo wao dhidi ya Yanga utakaochezwa Jumamosi ya tarehe 8 Mei, 2021, ambapo kiingilio cha chini...
By Kelvin MwaipunguMay 5, 2021MSHAMBULIAJI wa PSG, Kylian Mmbape huenda akaokosa mchezo wao dhidi ya Manchester City leo, baada ya kupata majeruhi ya kifundo cha mguu...
By Kelvin MwaipunguMay 4, 2021EMMANUEL Mwandemba kutoka Arusha, ndiye atakayekuwa mwamuzi wa mchezo wa watani wa jadi kati ya Simba na Yanga utakaopigwa kwenye Uwanja wa...
By Kelvin MwaipunguMay 4, 2021