Saturday , 20 April 2024

Michezo

Michezo

Michezo

Simba yaifunga Kagera 2-1, yatinga robo fainali

  MABIGWA watetezi wa Kombe la Shirikisho Azam Federation CUP (ASFC), Simba ya Dar es Salaam, imetinga robo fainali ya michuano hiyo, baada...

Michezo

Yanga yaipiga Prisons, yatinga robo fainali

  USHINDI wa bao 1-0, limewatosha kuifanya Yanga, kutinga hatua ya robo fainali ya michuano Kombe la Shirikisho (FA Cup) dhidi ya Tanzania...

MichezoTangulizi

Simba dhidi ya Kaizer Chiefs, robo fainali Ligi ya Mabingwa CAF

  KLABU ya Simba imepangwa kucheza na Kaizer Chiefs kwenye hatua ya robo fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya...

Michezo

Orlando vs Raja Casablanca, Robo fainali Shirikisho CAF

  SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limepanga droo ya hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho ambapo Orlando Pirates kutoka...

Michezo

Man U yaipiga Roma 6-2, Arsenal yapigwa

  MANCHESTER United ya Uingereza, imetoa kipigo cha ‘mbwa koko’ cha 6-2 kwa As Roma ya Italia, katika mchezo wa nusu fainali ya...

Michezo

Barcelona yajikwaa La Liga, timu nne…

  FC Barecelona imejikuta ikipoteza pointi tatu muhimu, katika Uwanja wake wa nyumbani “Camp Nou” kwa kukubali kipigo cha 2-1 kutoka kwa Granada....

Michezo

Simba yambakisha Kapombe

  MABIGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba ya jijini Dar es Salaam, imemwongezea mkataba beki wake kisiki, Shomari Kapombe. Anaripoti Mwandishi...

Michezo

Yanga kumbakisha Metacha, kumpa mkataba mnono

  IKIWA msimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara unaelekea mwishoni na klabu mbalimbali zimeanza kufanya mandalizi ya usajili, klabu ya Yanga ipo kwenye...

Michezo

Uwanja wa Fainali Ligi ya Mabingwa Afrika kujulikana kesho

  SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kesho tarehe 30 Aprili 2021 itatangaza Uwanja utakaopigwa mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa...

MichezoTangulizi

Bocco nae asalia Simba, asaini mkataba mpya

  UONGOZI wa klabu ya Simba umemalizana na nahodha wa kikosi hiko John Bocco kwa kumsainisha mkataba mpya mara baada yaw a awali...

Michezo

Simba yambakisha Tshabalala

Baada ya tetesi nyingi hatimaye klabu ya Simba imemuongezea mkataba beki wake wa kushoto Mohammed Hussen ‘Tshabalala’. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam...

Michezo

Kapombe azigonganisha Simba, Yanga atengewa Mil 180

  KUFUATIA taarifa za beki wa kulia wa Simba, Shomary Kapombe kutaka kutimkia Yanga, baada ya mkataba wake kumalizika mwishoni mwa msimu uongozi...

Michezo

Namungo kukamilisha ratiba dhidi ya Pyramids

  KIKOSI cha Namungo FC leo kitashuka dimbani kwenye mchezo wa kukamilisha hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Pyramids...

Michezo

Sare dhidi ya Chelsea, Zidane kuchukua maamuzi magumu

  BAADA ya kutoka sare ya mabao 1-1, kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Chelsea,...

Michezo

Chama hashikiki VPL

  KIUNGO wa Simba, Clatous Chama amekuwa na msimu bora mpaka sasa kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuhusika katika mabao 20...

MichezoTangulizi

Kimeumana: Yanga wamtengea Tshabalala Mil 150, mshahara Mil 7

  IKIWA imebakia miezi miwili kumaliza kwa mkataba wake ndani ya klabu ya Simba, beki wa kushoto na nahodha msaidizi wa kikosi hiko,...

Michezo

Real Madrid, Chelsea vitani nusu fainali UEFA leo

  KLABU ya Real Madrid itashuka dimbani leo kuwaalika Chelsea kwenye nusu fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya (UEFA) kwenye...

Michezo

Bilionea atenga mabilioni kuinunua Arsenal

  PRESHA ya mashabiki wa Klabu ya Arsenal, inayoshiriki Ligi Kuu ya Uingereza kwamba timu hiyo iuzwe, imetiwa ndimu na mfanyabiashara bilionea Daniel...

Michezo

Kocha Dodoma Jiji: Tutaishangaza Simba kesho

  KOCHA msaidizi wa kikosi cha Dodoma Jiji, Renatus Shija ameapa kuibuka na ushindi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya...

Michezo

Mtibwa, Kagera hali tete ligi kuu

  TIMU za Mtibwa na Kagera Sugar zimeendelea kujiweka katika mazingira magumu ya kusalia Ligi Kuu Tanzania Bara, baada ya kukubali kipigo katika...

Michezo

Miquissone, Wawa warejea kikosini dhidi ya Dodoma Jiji

  KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Luis Miquissone pamoja na mlinzi wa kati, Pascal Wawa wamerejea kikosini baada ya kukosa mchezo uliopita wa Ligi...

MichezoTangulizi

Yanga hoi mbele ya Azam FC

BAO la dakika ya 86 lililofungwa na Prince Dube lilitosha kuifanya Azam FC kutoka kifua mbele kwenye mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya...

Michezo

Manara amtaka mchezaji Simba kuongeza mkataba

  Afisa Habari wa klabu ya Simba Haji Manara amemtaka beki wa kushoto wa Timu hiyo Mohammed Hussein kuongeza mkataba kutokana na uwezo...

Michezo

Simba yaishusha Yanga kileleni

Bao la dakika ya 28 lililofungwa na Mohammed Hussein kwenye mchezo dhidi ya Gwambina lilitosha kuipeleka Simba kileleni kwenye msimamo wa Ligi Kuu...

Michezo

FIFA yaifungia Simba kusajili

  SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) limeifungia klabu ya Simba kusajili katika kipindi kimoja cha dirisha hilo kufuatia kutiwa hatiani kwa...

MichezoTangulizi

Simba bado pointi mbili kuishusha Yanga

  USHINDI wa mabao 2-0, ulitosha kuifanya Simba kuondoka na pointi tatu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Kagera Sugar....

Michezo

‘Europian Super League’ yaota mbawa baada ya timu sita kujitoa

  MICHUANO ya Europian Super League haitafanyika tena baada ya klabu sita kutoka nchini England kujitoa kushiriki kutokana na mashabiki na wadau wa...

Michezo

‘Europian Super League’ yaondoka na Ed Woodward Man United

  MTENDAJI Mkuu wa Manchester United, Ed Woodward ataachana na timu hiyo mwisho wa mwaka 2021, kufuatia kuhusishwa kwake na kuanzishwa kwa michuano...

Michezo

Nchimbi: Nilikuwa naumia kutofunga

  BAADA ya kupachika bao lake baada ya mwaka mmoja na siku 52 kupita, mshambuliaji wa klabu ya Yanga, Ditram Nchimbi amesema kuwa...

MichezoTangulizi

Yanga yaipiga Gwambina, yazidi kuikimbia Simba

  MABINGWA wa kihistoria Tanzania Bara, Yanga ya Dar es Salaam, imeendeleza vipigo kwenye ligi kuu nchini humo, kwa kuifunga 3-1, Gwambina FC...

Michezo

Kocha aliyekaa siku 41 Al Merreikh atua Yanga

  KLABU ya Soka ya Yanga leo imemtambulisha Mohamed Nasreddine Nabi aliyedumu kwenye kikosi cha Al Merreikh ya Sudan kwa siku 41, kuwa...

MichezoTangulizi

Nchimbi amefunga tena baada ya mwaka na siku 52

  BAADA ya kupita mwaka mmoja na siku 52, hatimaye mshambuliaji wa klabu ya Yanga, Ditram Nchimbi amefanikiwa kupachika bao kwenye mchezo wa...

Michezo

Simba, Vunja Bei waingia mkataba wa Bil. 2

  KLABU ya Simba leo imeingia mkataba wa kiasi cha Sh. bilioni mbili na kampuni ya Vunja Bei Group, ambapo watakuwa watengenezaji na...

Habari MchanganyikoMichezo

Sakata la Hamornize: Polisi ‘Ole wenu wasanii’

  JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limekemea tabia ya wasanii kuvunja sharia hasa kusambaza picha za utupu. Anaripoti Regina...

Michezo

Jose Mourinho atimliwa Tottenham

  TIMU ya Tottenham Hotspur ya Uingereza, imemfukuza kocha wake mkuu, Jose Mourinho kutokana na mwenendo usioridhisha. Anaripoti Matrida Peter … (endelea). Mourinho...

Michezo

Simba yaipiga Mwadui, yaipumlia Yanga kileleni

  GOLI pekee lililofungwa dakika ya 66 na Nahodha John Bocco wa Simba ya Dar es Salaam dhidi ya Mwadui FC, limewafanya kufikisha...

Michezo

VPL: Yanga kutabasamu, Simba kuendeleza ubabe?

  MTIFUANO wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2020/21, inaendelea leo Jumamosi tarehe 17 Aprili 2021 na kesho Jumapili, katika viwanja mbalimbali nchini humo....

Michezo

Yanga yabanwa mbavu na KMC

  TIMU  ya KMC imewabana mbavu Yanga kwa kuwalazikisha  sare ya bao 1-1, katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa kwenye Uwanja...

Michezo

Simba kukutana na timu hizi Robo Fainali

  BAADA ya kukubali kichapo cha bao 1-0, dhidi ya Al Ahly na kumaliza nafasi ya kwanza kwenye kundi A, klabu ya Simba...

Michezo

Mbunge ataka wawekezaji kwenye soka walindwe

  MBUNGE wa Makete (CCM), Festo Sanga ametaka wawekezaji kwenye mpira wa miguu nchini walindwe na kutoruhusu watu kuwashambulia bila utaratibu wakati michakato...

Michezo

Nahodha Yanga: Kuondoka Kaze siyo mwisho wa mbio za ubingwa

  NAHODHA wa klabu ya Yanga, Lamine Moro amewashangaa wanaodai kuwa timu hiyo imekata tamaa na ubingwa wa Ligi kuu Tanzania Bara, baada...

Michezo

Okwi arejea Simba, aongeza mzuka

  MSHAMBULIAJI wa timu ya Taifa ya Uganda na klabu ya Al Ittihad Alexandria, Emmanuel Okwi  ameongeza mzuka kwenye kambi ya Simba iliyopo...

Michezo

Yanga: Hatujapokea hukumu ya Mwakalebela

  KLABU ya Yanga kupitia kwa Afisa Habari na Mawasiliano, Hassan Bumbuli, amesema mpaka sasa hawajapokea nakala ya hukumu ya Makamu Mwenyekiti wao,...

Michezo

Namungo, Ihefu hakuna mbabe, Mbeya City, Kagera Sugar sare

  MICHEZO miwili ya Ligi Kuu imemalizika kwa michezo yote miwili kutoka bila mbabe na kila timu kuondoka na pointi moja. Anaripoti Kelvin...

Michezo

Mabadiliko Yanga yanoga, kuitisha Mkutano Mkuu

  UONGOZI wa klabu ya Yanga upo mbioni kuitisha mkutano mkuu wa wanachama hivi karibuni huku moja ya ajenda ikiwa ni mabadiliko ya...

Michezo

Mwigulu: Rais anaimani na wana Yanga

  WAZIRI wa Fedha na Mipango, Mwigulu Nchemba amesema kuwa kuteuliwa kwake kuwa waziri wa wizara hiyo pamoja na uteuzi wa Makamu wa...

Michezo

Ligi Kuu Bara kuendelea leo, michezo miwili kupigwa

  LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea tena leo, ambapo michezo miwili itapigwa kwenye viwanja tofauti. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea)....

Michezo

Simba yawasili Cairo kukamilisha ratiba na Al Ahly

  KIKOSI cha wachezaji pamoja na viongozi wa klabu ya Simba umewasili salama jijini Cairo, Misri kwa ajili wa Ligi ya Mabingwa dhidi...

Michezo

Chama tishio Afrika

  KIUNGO wa klabu ya Simba, Clatous Chama amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa wiki barani Afrika mara baada ya kuwashinda, Ricardo Goss wa Mamelodi...

Michezo

Kufungiwa Mwakalebela, Yanga yaikomalia TFF

  UONGOZI wa klabu ya Yanga umesema kuwa haujaridhishwa kufungiwa kwa miaka mitano kwa Makamu Mwenyekiti wao, Fredrick Mwakalebela baada ya kukutwa na...

error: Content is protected !!