Sunday , 26 March 2023
Home Kitengo Michezo Rekodi ya 1977 inayosakwa na wachezaji Simba, Yanga
Michezo

Rekodi ya 1977 inayosakwa na wachezaji Simba, Yanga

Spread the love

 

WACHEZAJI wa kabu kubwa Tanzania – Simba na Yanga zote za jijini Dar es Salaam, wana jambo ambalo hawajaweza kulifanya tangu lilipofanyika mwaka 1977. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Jambo hilo ni rekodi ya hat-trick iliyofanywa na mchezaji wa zamani wa Simba, Abdallah Kibadeni ‘King Kibaden’ tarehe 19 Julai 1977, dhidi ya hasimu wao Yanga.

Katika mchezo huo, Kibadeni aliifunga Yanga bao tatu kuanzia dakika ya za 10, 42 na 89 ambapo mchezo huo ulimalizika kwa Yanga kufungwa bao 6-0.

Selemani Matola, Kocha Msaidizi wa Simba

Magoli mengine yalifungwa na Suleiman Sanga, beki wa Yanga aliyejifungwa mwenyewe ambapo magoli mawili yalifungwa na Jumanne Hassan.

Tangu mwaka huo, hakuna mchezaji yeyote aliyewahi kufunga bao tatu katika mechi zinazokutanisha watani hao wa jadi.

Mpaka sasa, rekodi zinaonesha Simba na Yanga zimekutana mara 105, ambapo Yanga ameshinda mara 37, Simba 31 sare zikiwa 37.

Kocha Mkuu wa Yanga, Nadreddine Al Nabi

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

Spread the loveUONGOZI wa klabu ya Yanga, umesema fedha zinazotolewa na Rais...

Michezo

Simba Sc. yamvulia kofia Rais Samia, yamuahidi makubwa dhidi ya Horoya

Spread the loveWAKATI timu ya Simba ikiibuka na ushindi wa bao 3-0...

Michezo

Taasisi ya TKO na TFF yawapiga msasa makocha wa kike 54

Spread the love WAKATI Soka la wasichana likichipua kwa kasi Taasisi ya...

Michezo

Kimwanga CUP yazidi kutimua vumbi

Spread the loveMASHINDANO ya mpira wa miguu ya Kimwanga CUP ya kuwania...

error: Content is protected !!