Michezo
MARA baada ya kuripotiwa kuwa na matatizo ya kinidhamu na klabu yake wakati walipokuwa kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa nchini Afrika...
By Kelvin MwaipunguJune 8, 2021BAADA ya kufunguliwa kwa zoezi la uchukuaji fomu kwa ajili ya uchaguzi Mkuu ndani ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF),...
By Kelvin MwaipunguJune 8, 2021KAMATI ya nidhamu ya klabu ya Simba, iliyokuwa chini ya Mwenyekiti wake Seleman Kova, imeuagiza uongozi wa klabu hiyo, kumfanyia vipimo vya...
By Kelvin MwaipunguJune 7, 2021BAADA ya jana kutangazwa kwa Uchaguzi Mkuu ndani ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi, Wakili...
By Kelvin MwaipunguJune 7, 2021WAKATI Ligi Kuu Tanzania Bara inaelekea ukingoni huku kukiwa na vita tatu tofauti katika maeneo mablimabli kwenye msimu huu wa 2020/21, huku vita...
By Mwandishi WetuJune 7, 2021SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetangaza Uchaguzi Mkuu wa shirikisho hilo, utafanyika tarehe 7 Agosti 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Taarifa...
By Mwandishi WetuJune 6, 2021KOCHA wa klabu ya Manchester City ya England Pep Guardiola amefanikiwa kushinda tuzo ya kuwa kocha bora wa Ligi Kuu nchini England...
By Kelvin MwaipunguJune 5, 2021KIUNGO Raia wa Kenya Francis Kahata ameachana rasmi na klabu ya Simba mara baada ya mkataba wake kumalizika na kuwashukuru viongozi pamoja...
By Kelvin MwaipunguJune 5, 2021MARA baada ya kurejea nchini kwa mfanya biashara Yusuf Manji na kuibuka kwa hisia kali za mashabiki wa klabu ya Yanga kutaka...
By Kelvin MwaipunguJune 4, 2021KIKOSI cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kesho tarehe 5 Mei, 2021 kinatarajia kuingia kambini kujiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi...
By Kelvin MwaipunguJune 4, 2021KIUNGO wa klabu ya Simba J,onas Mkude kesho tarehe 5 Juni, 2021 atakwenda kujadiliwa mbele ya kamati ya nidhamu ya klabu hiyo,...
By Kelvin MwaipunguJune 4, 2021Mara baada ya Afisa habari wa klabu ya Yanga Hassan bumbuli kusema hautambui mchezo wao wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya...
By Kelvin MwaipunguJune 3, 2021Mshambuliaji wa klabu ya Simba John Bocco ameshinda tuzo ya kuwa mchezaji bora wa mashabiki mwezi Mei, mara baada ya kuwabwaga Thadeo Lwanga...
By Kelvin MwaipunguJune 3, 2021MAHAKAMA ya usuluhishi wa michezo kimataifa (CAS) imezitaka pande zote mbili kwenye kesi ya kimkataba kati ya Yanga na Morrison kutoa taarifa...
By Kelvin MwaipunguJune 2, 2021Mara baada ya kuwepo kwa fununu nyingi ya mshambuliaji wa klabu ya Simba Ibrahim Ajibu kutaka kusaini Yanga, Arafati Haji ambaye ni...
By Kelvin MwaipunguJune 2, 2021KLABU ya Simba kesho itashuka Uwanjani kumenyana na Ruvu Shooting kwenye mchezo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaochezwa...
By Kelvin MwaipunguJune 2, 2021MBUNGE wa Viti Maalum asiye na chama bungeni, Cecilia Daniel Paresso, ameiomba serikali kudhibiti mfumo wa bei kubwa za bidhaa sokoni ili...
By Masalu ErastoJune 2, 2021Klabu ya Azam Fc imemuongezea mkataba miaka miwili mshambuliaji wake raia wa Zimbabwe Prince Dube ambapo utamfanya kusalia hapo hadi 2024. Anaripoti Kelvin...
By Kelvin MwaipunguJune 1, 2021MAKOCHA Pep Guardiolla wa Manchester City na Ole Gunner Solskjaer wa Manchester United wamejuimishwa kwenye orodha ya makocha watano kuwania tuzo ya...
By Kelvin MwaipunguJune 1, 2021KLABU ya Manchester United imethibitisha kuondolewa kikosini kwa kinda wake Mason Greenwood mara baada ya kupata majeraha katika kuelekea fainali ya michuano...
By Kelvin MwaipunguJune 1, 2021WACHEZAJI nane kutoka klabu tofauti ndani ya Ligi Kuu nchini England wameingia kwenye kinyang’anyiro cha tuzo ya mchezaji bora wa Ligi hiyo...
By Kelvin MwaipunguJune 1, 2021Mlinzi wa kati wa klabu ya Crystal Palace ya nchini England Mamadou Sakho amefika Bungeni Jijini Dodoma na kuangalia shughuli za uwendeshaji...
By Kelvin MwaipunguJune 1, 2021MAHAKAMA ya usuluhishi wa michezo ya kimataifa (CAS) imetupilia mbali rufaa ya mchezaji Bernad Morrison dhidi ya Yanga kwenye kesi ya kimkataba...
By Kelvin MwaipunguJune 1, 2021Beki wa zamani wa Liverpool na klabu ya Crystal Palace kwa sasa Mamadou Sakho amekutana na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar...
By Kelvin MwaipunguMay 31, 2021UONGOZI wa klabu ya Yanga umethibitisha kuvunja mkataba na kiungo wake Raia wa Angola, Carlos Stenio Fernandes ‘Carlinhos’ mara baada ya makubaliano...
By Kelvin MwaipunguMay 31, 2021Wachezaji watatu wa klabu ya Simba Josh Onyango, Clatous Chama na Ame Ibrahim watakosekana kwenye mchezo wa kesho dhidi ya Namungo kocha...
By Kelvin MwaipunguMay 28, 2021KIUNGO wa klabu ya Simba Hassan Dilunga ameondolewa kwenye kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) mara baada ya jina lake...
By Kelvin MwaipunguMay 28, 2021KOCHA wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Kim Poulsen ameita kikosi cha wachezaji 27 kitakachoingia kambani tarehe 5 Juni, 2021...
By Masalu ErastoMay 28, 2021Mara baada ya kukamilika kwa mchezo wa tarehe 3 Juni, 2021 kati ya Ruvu Shooting dhidi ya Simba, Ligi Kuu Tanzania Bara...
By Kelvin MwaipunguMay 27, 2021KOCHA wa klabu ya Real Madrid amechukua maamuzi ya kuachana na klabu hiyo mara baada ya kumaliza kwa msimu huu wa Ligi...
By Kelvin MwaipunguMay 27, 2021SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeelezeka kuwa klabu yoyote ambayo inadaiwa na wachezaji haitoweza leseni na kushiriki michuano mbalimbali msimu...
By Kelvin MwaipunguMay 27, 2021MARA baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-1, dhidi ya Rhino Rangers kocha msaidizi wa Azam FC vivie Bahati anaitaka klabu...
By Kelvin MwaipunguMay 26, 2021Robo fainali ya tatu nan ne zitaendelea tena hii leo kwenye viwanja tofauti, ambapo Jijini Dar es Salaam mabingwa watetezi wa michuano...
By Kelvin MwaipunguMay 26, 2021Manchester United leo itashuka dimbani kumenyana na Villarreal kwenye fainali ya kombe la Europa ambao itapigwa kwenye dimba la Gudansk nchini Poland...
By Kelvin MwaipunguMay 26, 2021Ushindi wa mabao 2-0, dhidi ya Mwadui FC kwenye robo fainali ya pili ya michuano ya kombe la Shirikisho (Azam Federation Cup)...
By Kelvin MwaipunguMay 25, 2021RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ametoa onyo kwa klabu za Ligi Kuu Tanzania Bara juu ya matumizi mabaya...
By Kelvin MwaipunguMay 25, 2021MARA baada ya klabu ya ASC Jaraaf ya Senegal kuondolewa kwenye michuano ya kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi ya Coton Sports...
By Kelvin MwaipunguMay 24, 2021KOCHA Luis Enrique amemuacha mlizi wa Reala Madrid Sergio Ramos kwenye kikosi cha wachezaji 25 cha timu ya Taifa cha Hispania kitakachoshiriki michuano...
By Kelvin MwaipunguMay 24, 2021MABAO mawili kwenye dakika ya 71 na 76 yalimfanya Sergio Kun Aguero kufikisha mabao 184 ndani ya Ligi Kuu England na kuweka...
By Kelvin MwaipunguMay 24, 2021SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai ameipongeza klabu ya Simba kwa kufikia hatua ya robo Fainali ya...
By Kelvin MwaipunguMay 24, 2021PAMOJA na ushindi wa bao 3-0 walioupata kkabu ya Simba dhidi ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, lakini mabingwa hao wa Ligi Kuu...
By Kelvin MwaipunguMay 22, 2021KUELEKEA mchezo wa marudiano dhidi ya Kaizer Chiefs, Kocha Mkuu wa kikosi cha Simba, Didier Gomes ameshangazwa na wachezaji wake kwa kila...
By Kelvin MwaipunguMay 21, 2021Kwa mara ya kwanza toka aliposajiliwa ndani ya klabu ya Yanga mshambuliaji kutoka Burkina Faso Yacouba Sogne ameitwa kwenye timu yake ya...
By Kelvin MwaipunguMay 20, 2021Nahodha wa klabu ya Simba John Bocco anaamini kuelekea mchezo wa marudiano dhidi ya Kaizer Chiefs watahakikisha wanapambana ili kuondoka na matokeo...
By Kelvin MwaipunguMay 20, 2021Wapinzani wa Simba kwenye mchezo wa robo fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika klabu ya Kazier Chiefs wamewasili jana...
By Kelvin MwaipunguMay 20, 2021BAADA ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0, dhidi ya Jkt Tanzania Yanga sasa inafikisha jumla ya pointi 61, sawa na Simba...
By Kelvin MwaipunguMay 19, 2021KUELEKEA mchezo wa marudiano wa Ligi Mabingwa Afrika dhidi ya Kaizer Chiefs, klabu ya Simba imekuja na kauli mbiu ya ‘Ama zetu,...
By Kelvin MwaipunguMay 19, 2021WAZIRI wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo innocent Bashungwa amewataka watanzania kwa pamoja kuinga mkono klabu ya Simba kwenye mchezo wa marudiano...
By Kelvin MwaipunguMay 19, 2021Mwamuzi msaidizi namba moja Abdulaziz Ally aliyechezesha mchezo wa Namungo Fc dhidi ya Yanga ameondelewa kwenye orodha ya waamuzi kwa michezi mitatu mara...
By Kelvin MwaipunguMay 18, 2021SASA ni rasmi klabu ya Mwadui FC imeshuka Ligi Kuu Tanzania Bara kwa msimu wa 2020/21, baada ya kukubali kichapo cha bao...
By Kelvin MwaipunguMay 18, 2021