Thursday , 18 April 2024

Michezo

Michezo

Michezo

Robo fainali Euro kupigwa Ijumaa, Uingereza kuwavaa Ukraine

  MIAMBA nane itachuana katika hatua ya robo fainali ya michuano ya Euro 2020 kuanzia Ijumaa hii ya tarehe 2 na 3 Julai...

MichezoTangulizi

Kundi la kifo lapoteana Euro

  HATUA ya 16 ya michuano ya Euro imemalizika jana, kwa kigogo mwengine wa soka barani humo, timu ya Taifa ya Ujerumani kutupwa...

MichezoTangulizi

Karia asalia peke yake uchaguzi TFF

  KAMATI ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania, (TFF), imepitisha jina la Wallace Karia kuwa mgombea peke kwenye uchaguzi mkuu...

Michezo

Euro yanoga, vigogo waanguka

  HATUA ya 16 bora ya michuano ya Euro imeanza mwisho wa juma lililopita ambapo mpaka sasa imeshapigwa jumla ya michezo minne, huku...

Michezo

Usajili Yanga usipime, GSM kumwaga tena pesa

  KUELEKEA kumaliza kwa msimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2020/21, wafadhiri wa Yanga, Kampuni ya GSM, wameahidi kumwaga fedha kwa ajili ya...

MichezoTangulizi

Diamond ashindwa BET na Burna Boy, atoa ujumbe

  MSANII wa Nigeria, Burna Boy ameibuka mshindi wa tuzo ya BET 2021 kama msanii bora wa kimataifa na kuwaangusha wasanii wengine akiwemo,...

Michezo

Makocha, wachezaji: Kikwete awataka Yanga kuvuta subra

  RAIS mstaafu wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, ameutaka uongozi na wanachama wa mabingwa wa soka nchini humo, Yanga kuwa wavumilivu kufikia mafanikio...

MichezoTangulizi

Kikwete: Yanga itaipiga Simba

  JAKAYA Mrisho Kikwete, Rais mstaafu wa Tanzania amesema, atafurahia iwapo Yanga itaibuka na ushindi dhidi ya mtani wake, Simba. Anaripoti Kelvin Mwaipungu,...

MichezoTangulizi

Mabadiliko Yanga, Kikwete awapa ujumbe

  RAIS mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete amewataka wanachama wa Klabu ya Yanga kuwa wawazi kushauri na kukosoa ili iweze kusonga mbele. Anaripoti...

Michezo

Yanga yapitisha vigogo 5 baraza la wadhamini

  MKUTANO Mkutano Mkuu wa Klabu ya Yanga ya Dar es Salaam, imepitisha majina matano likiwemo Mama Fatuma Karume, kuwa wajumbe wa Baraza...

Michezo

Yanga yatangulia fainali, yazisubiri Simba au Azam

  GOLI pekee ya mshambuliaji wa kimataifa kutoka Ghana wa Yanga ya Dar es Salaam, Yacouba Sogne, limeipeleka fainali ya michuano ya Azam...

Michezo

Kelvin John atua Genk

  MSHAMBULIAJI kinda wa Timu ya Taifa ya Tanzania, (Taifa Stars) Kelvin John amesajiliwa kwa mkataba wa miaka mitatu na klabu ya KRC...

Michezo

Nusu Fainali FA Cup, Yanga, Biashara United watambiana

  Kuelekea mchezo wa kesho wa nusu fainali ya michuano ya kombe la FA (Azam Federation Cup) kati ya Yanga dhidi ya Biashara...

Michezo

TFF yamtoa kifungoni Mwakalebela

  Kamati ya maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imemuondoa kifungoni Makamu Mwenyekiti wa klabu ya Yanga Fedrick Mwakalebela, mara...

MichezoTangulizi

Dk. Mwinyi amteuwa kiongozi Yanga

  RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ally Mwinyi amemteuwa Arafat Ally Haji ambaye ni mjumbe wa kamati...

Michezo

Ni Uingereza dhidi ya Ujeruman robo fainali Euro

  MARA baada ya kukamilika hatua ya makundi ya michuano ya Euro 2020, hatimaye michezo ya 16 bora itaanza kupigwa siku ya Jumamosi,...

Michezo

Simba, Mbeya City ni kufa au kupona

Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambao utakaopigwa hii leo kati ya Simba dhidi ya Mbeya City, utakuwa na umuhimu kwa kila timu,...

Michezo

Bao Nne za Simba dhidi ya Kaizer, zamuibua Mwigulu adai walikosa mipango

  WAZIRI wa fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba, amesema kuwa kilichosababisha klabu ya Simba kukumbana na kadhia ya kipigo cha mabao 4-0,...

MichezoTangulizi

Chama arejea, Manula, Lwanga ‘Out’ dhidi ya Mbeya City

Mara baada ya kukosekana Uwanjani kwa wiki tatu, kiungo wa klabu ya Simba, Clatous Chama amerejea Uwanjani, huku mlinda mlango wa klabu hiyo...

MichezoTangulizi

TFF yathibitisha Tanzania kupeleka timu nne CAF

  SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limethibitisha kuwa msimu ujao wa mashindano ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Africa (CAF), Tanzania...

Michezo

Yanga mmmh!! kocha, naodha waliamsha

Ni kama huko ndani ya klabu ya Yanga, kumekuwa na hali yasintofahamu mara baada ya kuwepo kwa taarifa za kuomba kuondoka nahodha wa...

MichezoTangulizi

Yanga yamfungia Metacha, mwenyewe aomba radhi

  MARA baada ya uongozi wa klabu ya Yanga kumfungia mlinda mlango wake Metacha Mnata, kwa kosa la utovu wa nidhamu, mchezaji huyo...

Michezo

Kocha Simba atamba kuingamiza Polisi Tanzania

  KOCHA msaidizi wa klabu ya Simba, Seleman Matola amejinasibu kikosi chake kuwa tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu...

Michezo

Yanga yamlilia Kenneth Kaunda

  MABINGWA wa Kihistoria nchini Tanzania, Yanga ya Dar es Salaam, imetoa salamu za rambirambi, kufuatia kifo cha Kenneth Kaunda, Rais wa kwanza...

Michezo

Kocha Yanga afunguka usajili wa msimu ujao

Nasreddine Nabi kocha mkuu wa kikosi cha Yanga , amefunguka mipango yake ya usajili kuelekea msimu ujao wa mashindano huku akikili kuhitaji mlinzi...

Michezo

Simba kusaka pointi 10 za ubingwa dhidi ya Polisi kesho

MARA baada ya mapumziko ya wiki mbili, hatimaye kikosi cha Simba kesho kitashuka Uwanjani dhidi ya Polisi Tanzania kutafuta pointi 10, Kwa ajili...

Michezo

Ally Mayay akubali yaishe

  ALIYEKUWA mgombea wa nafasi ya Urais kwenye Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Ally Mayay Tembele ameonesha kutokuwa...

Michezo

Yanga kushuka Dimbani kesho, dhidi ya Ruvu

MARA baada ya kuwa kwenye mapumziko ya wiki mbili kikosi cha Yanga kesho kitashuka dimbani kwenye muendelezo wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania...

Habari MchanganyikoMichezo

Yanga: Hatujakata tamaa na ubingwa

KLABU ya Soka ya Yanga imesema haijakata tamaa na ubingwa Ligi Kuu Bara na hivyo wamesema kuwa watapambana mpaka dakika za mwisho. Anaripoti...

Michezo

Rais Samia ataka CCM kuboresha viwanja vyake

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekitaka Chama cha Mapinduzi (Ccm), kukarabati viwanja vyake kwa kuweka nyasi bandia,...

Michezo

Mashindano Miss EAC kufanyika Tanzania

  MASHINDANO ya Miss East Africa 2021, yanatarajiwa kufanyika Novemba 2021 nchini Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Nchi 16...

Michezo

Mgombea Urais aibua hoja ya ushiriki wa Zanzibar uchaguzi TFF

Ali Saleh ‘Alberto’ moja ya wagombea nafasi ya Urais kwenye uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ameibuka na hoja...

Michezo

Ligi Kuu Tanzania Bara kurejea leo

  LIGI Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), iliyokuwa imesimama kupisha kalenda ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) ya michezo ya kirafiki kwa...

Michezo

TFF yawatahadhalisha wanaotaka kuharibu uchaguzi

  SHIRIKISHO la Mpira wa Miguuu Tanzania (TFF), limewataka wadau mbalimbali wa mchezo huo pamoja na wagombea waliojitokeza kwenye zoezi la uchukuaji fomu...

MichezoTangulizi

Gari lakwamishwa pambano la Twaha kiduku na Dulla Mbabe

  PAMBANO la mchezo wa ngumi lililofahamika kwa jina la ‘Payback Night’ kati ya mabondia, Abdallah Pazi ‘Dulla Mbabe’ na Twaha Kassim ‘Twaha...

MichezoTangulizi

Mkude achukua maamuzi magumu

  Wakati sakata lake la utovu wa nidhamu likiwa bado kwenye mikono ya kamati ya nidhamu ya klabu hiyo, kiungo wa klabu ya...

MichezoTangulizi

Kubenea amchukulia fomu Allly Saleh ‘Alberto’

ALIYEKUWA Mbunge wa jimbo la Ubungo Saed Kubenea jana alijitokeza kwenye makao makuu ya Shirikisho la Mpira Tanzania (TFF) kumchukulia fomu ya nafasi...

Michezo

Bajeti 2021/22: Washindi wa michezo ya kubahatisha kucheka

WAZIRI wa fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba amesema kuwa kwenye bajeti ya Serikali ya mwaka 2021/22 serikali itapunguza kodi kwa washindi wa...

Michezo

Nyasi bandia zapata msahama wa Kodi

  Waziri wa Fedha na Mipangango Mwigulu Nchemba amesema kuwa katika bajeti ya mwaka 2021/22 watasamehe ongezeko la kodi la thamani (VAT) kwa...

Michezo

Malawi kuwasili kesho, kujipima na Taifa Stars

  Kikosi cha timu ya Taifa ya Malawi kinategemea kuwasili jijini Dar es Salaam kesho, kwa ajili ya mchezo wa kujipima nguvu, dhidi...

Michezo

Euro 2020 kutimua vumbi kesho

  Kivumbi cha michuano ya Euro kitaanza kutimua vumbi kesho, ambapo kutapigwa mchezo mmoja wa kundi A, kati ya Uturuki dhidi ya Italy....

MichezoTangulizi

Mzanzibari kuwania urais TFF

  MWANASOKA maarufu nchini, Ally Salehe ‘Alberto,’ amejitosa katika mbio za kuwania urais ndani ya shirikisho la soka nchini (TFF). Anaripoti Saed Kubenea...

Michezo

Djuma Shabani kimeeleweka Yanga

  Ni kama Yanga sasa wameonekana kufanikiwa kumyakuwa beki wa pembeni kutoka klabu ya AS Vita ya nchini Congo Dr, mara baada ya...

Michezo

Oscar Oscar ajitosa kumdhibiti Karia TFF

  MCHAMBUZI wa soka kutoka kituo cha radio cha E-FM, Oscar Oscar amejitokeza na kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya urais ndani ya...

Michezo

Simba yarejea mawindoni

  Maraba baada ya mapumziko siku tano kikosi cha mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara kimeanza tena mazoezi kwa ajili ya ungwe...

MichezoTangulizi

Kiongozi Simba amchukulia fomu Karia

  Aliyekuwa Mwenyekiti wa klabu ya Simba Swedy Nkwabi pamoja na Philemon Ntahilaija wamejitokeza kwenye makao Makuu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu...

Michezo

Umitashumta, Umisseta yazinduliwa, Majaliwa atoa maagizo

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameagiza ufundishaji wa somo la elimu kwa michezo ufanyike kwa wanafunzi wote katika Shule za Msingi...

MichezoTangulizi

Tuzo BET: Elfu 19 wampinga Dimaond

  KAMPENI ya kuhakikisha msanii wa muziki nchini Tanzania, Nasibu Abdul maarufu ‘Diamond Platnumz’ anaondolewa kwenye mbio za kuwania tuzo za Black Entertainment...

Michezo

Mkude apiga simu Yanga 

  MARA baada ya kuripotiwa kuwa na matatizo ya kinidhamu na klabu yake wakati walipokuwa kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa nchini Afrika...

MichezoTangulizi

Wadau kumchukulia Karia fomu Urais TFF

  BAADA ya kufunguliwa kwa zoezi la uchukuaji fomu kwa ajili ya uchaguzi Mkuu ndani ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF),...

error: Content is protected !!