Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Michezo Chelsea yapoteza fainali ya kwanza, Leicester bingwa FA
Michezo

Chelsea yapoteza fainali ya kwanza, Leicester bingwa FA

Spread the love

GOLI la Youri Tielemans la dakika ya 63, lilitosha kuipa ubingwa wa kwanza wa FA CUP, timu yake ya Leicester City msimu wa 2021 dhidi ya Chelsea.

Fainali hiyo, imechezwa jana Jumamosi, tarehe 15 Mei 2021, katika Uwanja wa Wembley nchini Uingereza, ikishuhudia Leicester ikibeba kombe hilo lenye heshima kubwa nchini humo.

Chelsea, ambayo mwaka huu, imeingia fainali mbili ya FA na Klabu Bingwa Ulaya (Uefa), imeanza kwa kupoteza ya FA CUP na sasa itasubiri ya Uefa dhidi ya Manchester City.

Leicester City, imetwaa kombe hilo, baada ya kuwa imecheza fainali nne bila mafanikio.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

Spread the loveHATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea...

Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Spread the loveMsemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!