Thursday , 30 March 2023
Home Kitengo Michezo Chelsea yapoteza fainali ya kwanza, Leicester bingwa FA
Michezo

Chelsea yapoteza fainali ya kwanza, Leicester bingwa FA

Spread the love

GOLI la Youri Tielemans la dakika ya 63, lilitosha kuipa ubingwa wa kwanza wa FA CUP, timu yake ya Leicester City msimu wa 2021 dhidi ya Chelsea.

Fainali hiyo, imechezwa jana Jumamosi, tarehe 15 Mei 2021, katika Uwanja wa Wembley nchini Uingereza, ikishuhudia Leicester ikibeba kombe hilo lenye heshima kubwa nchini humo.

Chelsea, ambayo mwaka huu, imeingia fainali mbili ya FA na Klabu Bingwa Ulaya (Uefa), imeanza kwa kupoteza ya FA CUP na sasa itasubiri ya Uefa dhidi ya Manchester City.

Leicester City, imetwaa kombe hilo, baada ya kuwa imecheza fainali nne bila mafanikio.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

TANROADS wawataka watumishi wazingatie michezo kazini

Spread the love  WAKALA wa barabara Tanzania (TANROADS) imesema michezo inapaswa kuzingatiwa...

Michezo

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

Spread the loveUONGOZI wa klabu ya Yanga, umesema fedha zinazotolewa na Rais...

Michezo

Simba Sc. yamvulia kofia Rais Samia, yamuahidi makubwa dhidi ya Horoya

Spread the loveWAKATI timu ya Simba ikiibuka na ushindi wa bao 3-0...

Michezo

Taasisi ya TKO na TFF yawapiga msasa makocha wa kike 54

Spread the love WAKATI Soka la wasichana likichipua kwa kasi Taasisi ya...

error: Content is protected !!