Tuesday , 23 April 2024
Home Kitengo Michezo Mwadui FC waaga rasmi Ligi Kuu Tanzania Bara
Michezo

Mwadui FC waaga rasmi Ligi Kuu Tanzania Bara

Kikosi cha Mwadui FC
Spread the love

 

SASA ni rasmi klabu ya Mwadui FC imeshuka Ligi Kuu Tanzania Bara kwa msimu wa 2020/21, baada ya kukubali kichapo cha bao 1-0, nyumbani dhidi ya Tanzania Prisons, mchezo ulipigwa kwenye Uwanja wa Mwadui Complex Shinyanga. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Msimu ujao mwadui watacheza Ligi Daraja la kwanza kwenye msimu wa 2021/22.

Kwa matokeo ya mchezo huo Mwadui FC itaendelea kusalia kwenye nafasi ya 18, wakiwa na pointi zao 19 katika michezo 30 waliocheza ambapo wameshinda michezo mitano, kufungwa mechi 22 na kutoka sare michezo minne.

Katika michezo minne Mwadui FC waliyosalia nayo hata wakishinda pointi 31, ambazo hazitaweza kuwasaidia kuepuka janga la kushuka daraja.

Katika Ligi Kuu msimu huu Mwadui FC imefungwa jumla ya mabao 56, katika michezo 30 waliocheza huku safu yao ya ushambuliaji ikifunga mabao 21.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

Michezo

Ujanja ni kubeti na Meridianbet

Spread the love  JUMAPILI ya leo imekaa kihela hela sana ndani ya...

Michezo

Anza Jumamosi yako na mkwanja wa Meridianbet

Spread the loveJumamosi ya leo ODDS zimekaa kijanja sana ndani ya Meridianbet...

Michezo

Tusua mkwanja na mechi za Ijumaa leo

Spread the love  LEO hii mechi zinaendelea kote na wewe kama unataka...

error: Content is protected !!