Wednesday , 1 May 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mwigulu ataja sababu ongezeko deni la Taifa

  WAZIRI wa Fedha na Mipango nchini Tanzania, Dk. Mwigulu Nchemba, ametoa sababu ya kuongezeka kwa deni la taifa, kutoka Sh.54.8 trilioni mwaka...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Hoseah anavyojipanga kuongoza TLS, atoa ushauri Takukuru, DPP

  TAREHE 15 Aprili 2021, Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), kitafanya uchaguzi mkuu wa viongozi mbalimbali ikiwemo urais, watakaoongoza chama hicho kwa mwaka...

HabariTangulizi

Katiba mpya: Wazazi CCM yaonya wanaompelekesha Rais Samia

  JUMUIYA ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imewataka wananchi wasimpelekeshe Rais Samia Suluhu Hassan, hasa wale wanaotaka mchakato wa katiba mpya...

Habari

Vita dawa za kulevya: IGP Sirro atoa maagizo

  INSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini Tanzania (IGP), Simon Sirro, ameagiza makamanda wa jeshi hilo hasa katika Mikoa ya Mtwara, Lindi, Tanga, Dar...

HabariTangulizi

Lissu atuma ujumbe Ikulu

TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)- Bara, amemshauri Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kufanya mabadilio ya sheria....

HabariTangulizi

Dk. Abbas apinga uamuzi wa Rais Samia

  KATIBU Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Hassan Abbasi, amepinga maagizo ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ya...

Habari

Uchaguzi TLS: Wagombea urais wamwaga sera zao

  WAGOMBEA Urais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), wamechuana vikali katika kueleza sera zao, ili kuwashawishi wapiga kura kuwachagua. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari za Siasa

Rais Samia atua Z’bar, kushirki Karume Day

  Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Jumanne, tarehe 6 Aprili 2021, amewasili Zanzibar akitokea jijini Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari

Askofu Katoliki afariki dunia, Rais Samia amlilia

  ASKOFU Alfred Maluma wa Jimbo Katoliki la Njombe nchini Tanzania, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumanne, tarehe 6 Aprili 2021, katika...

HabariTangulizi

Dk. Hoseah aibua sakata la Richmond

  DAKTARI Edward Hoseah amesema, kilichomng’oa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), ni kusema ukweli juu ya sakata la mkataba kati...

Habari

Wahariri Tanzania wampongeza Rais Samia, wampa ujumbe Ndugai na Msigwa

  JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limempongeza Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, kwa kuagiza vyombo vya habari vyote vilivyofungiwa kufunguliwa. Anaripoti...

Habari za Siasa

Panga la Wakuu wa Mikoa, Wilaya laja

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema hivi karibuni atafanya mabadiliko ya wakuu wa mikoa, wilaya na wakurugenzi, ili safu yake ya uongozi...

Habari

Wanahabari wampongeza Rais Samia

KLABU ya Waandishi wa Habari ya Mkoa wa Mwanza(MPC), imempongeza Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kwa kuvifungulia vyombo vya habari vilivyoungwa kwa...

Habari za Siasa

Samia atoa msimamo kuhusu corona

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, ataunda kamati maalum ya kufanyia utafiti ugonjwa wa maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19) kwani...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia afungulia vyombo vya habari

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameiagiza Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kuvifungulia vyombo vyote vya habari vilivyofungiwa. Anaripoti Regina...

Habari

Rais Samia aanzisha salamu mpya

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameanzisha salamu mpya ambayo atakuwa akiitumia katika shughuli mbalimbali. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Samia...

Habari

Mwisho maombolezo ya Hayati Magufuli

  LEO Jumanne, tarehe 6 Aprili 2021, ni siku ya mwisho ya maombolezo ya aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk....

Habari za SiasaTangulizi

Miaka mitano ya ingia, toka TRA

  SERIKALI ya Awamu ya Tano tangu ilipoingia madarakani tarehe 5 Novemba 2015, imeteua, kutengua ama kuwabadili makamishna wakuu wa Mamlaka ya Mapato...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ang’oa vigogo sita

  PANGA pangua ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, imewafyeka vigogo watano wa taasisi na idara za serikali. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua, atumbua bosi TPDC

  Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Thobias Mwesiga Richard....

Habari za SiasaTangulizi

Kupanda, kushuka kwa Kidata, arejea TRA

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemrejesha tena Alphayo Kidata kuwa Kamishan Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ateua makatibu wakuu, Msigwa wa Ikulu…

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali wakiwemo makatibu wakuu na wakuu wa taasisi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari za SiasaTangulizi

Mgombea urais TLS ampa ushauri Rais Samia

  MGOMBEA Urais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Flaviana Charles amemwomba Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kuhakikisha uhuru wa wanahabari, kujieleza...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia atoa ujumbe wa Pasaka

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewatakia Watanzania wote sikukuu njema ya Pasaka huku akiwakumbusha kuliombda Taifa hilo amani na upendo. Anaripoti...

Habari za Siasa

Agizo la Rais Samia: Mwigulu aibana TRA

  WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba ameiagiza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kufuata sheria na taratibu za nchi katika ukusanyaji...

Habari za Siasa

Askofu Shoo: Mungu kamemteua Rais Samia kuleta matumaini

  MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo, amewataka Watanzania wasiwe na hofu juu ya uongozi wa Rais...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bei mpya za vifurushi yapigwa ‘stop’

  MAMLAKA ya Wawasiliano Tanzania (TCRA), imesitisha kwa muda matumizi ya bei mpya ya vifurushi vya data, ili watoa huduma wapange upya bei...

Habari za Siasa

Flaviana Charles, mwanamke pekee anayegombea urais TLS

CHAMA cha Wanasheria Tanganyika (TLS), kitafanya uchaguzi mkuu tarehe 15 Aprili 2021, wa kuwapata viongozi mbalimbali wa chama hicho, ikiwemo nafasi ya urais....

Habari za Siasa

Rais Samia atoa ujumbe kwa Watanzania

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka Watazania waendeleze utamaduni wao uliodumu kwa muda mrefu wa kushikamana, kupendana na kushirikiana ili kuhakikisha...

Habari za Siasa

NCCR-Mageuzi yasusia uchaguzi Muhambwe, yampa ujumbe Rais Samia

  CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimetangaza kutoshiriki Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma, kwa maelezo kwamba dosari zilizojitokeza katika mchakato wa Uchaguzi...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo: Tutashiriki uchaguzi Muhambwe

CHAMA cha siasa cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, kimesema kinakwenda kushiriki na kushinda uchaguzi mdogo wa ubunge wa Muhambwe, mkoani Kigoma utakaofanyika tarehe 2...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bei za vifurushi: Wananchi wamwangukia Rais Samia

  GHARAMA za vifurushi zinazotolewa na kampuni za simu nchini Tanzania, zimepanda kuanzia leo Ijumaa tarehe 2 Aprili 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

HabariTangulizi

Rais Samia: Hivi nina maradhi gani na katiba mpya

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amejishangaa jinsi ambavyo amekuwa akilitaja jina la Bunge la Katiba, badala ya Bunge la Bajeti. Anaripoti...

Habari

Spika Ndugai: Mama Samia hatabiriki

  JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Tanzania, amewataka wateule wa Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, kuchapa kazi kwani kiongozi huyo...

Habari za Siasa

Dk. Mpango atoa maagizo kwa Mwigulu, Jafo

  MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Phillip Mpango, amemuagiza Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba, kuongeza mapato ya nchi kutoka...

Habari za Siasa

Mrithi wa Dk. Bashiru aeleza alivyopokea taarifa za uteuzi

  KATIBU Mkuu Kiongozi wa Tanzania, Balozi Hussein Athuman Kattanga, amesema, taarifa za uteuzi wa nafasi hiyo, alizipata akiwa Uwanja wa Ndege wa...

Habari za Siasa

Rais Samia kupangua makatibu wakuu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, atafanya mabadiliko ya makatibu wakuu wa wizara mbalimbali hivi karibuni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia awaonya wanaousaka urais 2025

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa onyo kwa wanasiasa walioanza kujipanga kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 akisema “kila...

HabariTangulizi

Rais Samia awaapisha viongozi aliowateua

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewaapisha viongozi mbalimbali aliowateua akiwemo Balozi Hussein Kattanga kuwa Katibu Mkuu Kiongozi. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Tangulizi

Kilio Katiba Mpya chatua UNHRC

  ASASI za Kiraia nchini Tanzania, zimewasilisha kilio cha upatikanaji wa Katiba Mpya katika Baraza la Umoja wa Mataifa la Haki za Binadamu...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yasusa uchaguzi Muhambwe

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza kutoshiriki uchaguzi mdogo katika Jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma, kwa madai  hautakuwa huru na haki. Anaripoti...

Habari za Siasa

Mawaziri watatu hawajaguswa tangu 2015 

  LICHA Baraza la Mawaziri kufanyiwa mabadiliko mara kadhaa tangu mwaka 2015, mawaziri watatu na naibu waziri mmoja bado hawajaguswa. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Bashiru, wenzake waapishwa bungeni

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amewaapisha wabunge watatu akiwemo Dk. Bashiru Ally. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Walioapishwa ni;...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia apangua baraza la mawaziri

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko madogo katika Baraza la Mawaziri, kwa kuteua mawaziri na manaibu waziri wapya. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Dk Mpango: Sitakua kama Yuda, niko tayari nitume

  MAKAMU mpya wa Rais wa Tanzania, Dk. Phillip Mpango, amemuahidi Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, kuwa katika utekelezaji wa majukumu...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Bashiru akaa Ikulu siku 32, apewa ubunge

  DAKTARI Bashiru Ally, aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, amehudumu nafasi hiyo nyeti ndani ya Ikulu ya Tanzania kwa siku 32. Anaripoti Matrida Peter,...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mpango aapishwa makamu wa Rais Tanzania

  JAJI Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma, amemwapisha Dk. Philip Isdor Mpango, kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...

Habari

Serikali yatangaza neema makato mikopo ya elimu ya juu

  SERIKALI ya Tanzania, imeahidi kufanyia mapitio kanuni za sheria ya bodi ya mikopo ya elimu ya juu, ili kuondoa changamoto ya makato...

Habari za Siasa

Nape ataka elimu bure ifumuliwe, Silinde amjibu

  MBUNGE wa Mtama mkoani Lindi, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, ameishauri Serikali ya Tanzania, ifanyie marekebisho sera ya elimu bila...

Habari

Milioni 128 waambukizwa corona duniani

  MAAMBUKIZO ya virusi vya corona (COVID-19), duniani yamefikia milioni 128.8, waliopona milioni 103.9 na waliofariki dunia wakiwa milioni 2.8. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)...

error: Content is protected !!