Wednesday , 17 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mgombea urais TLS ampa ushauri Rais Samia
Habari za SiasaTangulizi

Mgombea urais TLS ampa ushauri Rais Samia

Spread the love

 

MGOMBEA Urais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Flaviana Charles amemwomba Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kuhakikisha uhuru wa wanahabari, kujieleza na kukusanyika unalindwa na kupewa kipaumbele. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es  Salaam … (endelea).

Flaviana amesema hayo katika mahojiano maalum na MwanaHALISI TV, kuhusu dhamira yake ya kuwania urais wa TLS, katika uchaguzi mkuu, utakaofanyika tarehe 15 Aprili 2021, jijini Arusha.

Flaviana ni miongoni mwa wagombea watano wa nafasi hiyo ya juu, akiwa mwanamke pekee ambaye amezungumzia mikakati mbalimbali ikiwemo, alivyojipanga kulinda maslahi ya wanachama wa TLS, ujumbe atakaompa Rais Samia iwapo atakutana naye na jinsi wanawake wanavyoweza kuongoza na heshima kwa wanaume.

Samia Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania

Je, unatambua, Flaviana ambaye ni Katibu wa Chama cha Wanasheria Afrika aliwahi kugombea ubunge wa viti maalum kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)? Unajua kasema nini kutenganisha maslahi ya TLS?

Mengi zaidi kuhusu alichokizungumza, fuatilia mahojiano hayo

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Samia arejesha mikopo ya 10%, bilioni 227.96 zatengwa

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amerejesha utaratibu wa utoaji mikopo...

Habari za Siasa

Rais Samia amfariji mjane wa Musa Abdulrahman

Spread the loveRais Samia Suluhu Hassan leo Jumanne amempa pole Mwanakheri Mussa...

Habari za Siasa

Nape: Wanasiasa, wanahabari, wafanyabiashara mteteeni Samia

Spread the loveWaziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano,...

Habari za Siasa

CAG: TAWA imegawa vibali vya uwindaji bila idhini ya waziri

Spread the loveRIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali...

error: Content is protected !!