Friday , 26 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Samia ateua, atumbua bosi TPDC
Habari za Siasa

Rais Samia ateua, atumbua bosi TPDC

Thobias Mwesiga Richard
Spread the love

 

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Thobias Mwesiga Richard. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Richard aliteuliwa jana usiku Jumapili, tarehe 4 Aprili 2021, kushika nafasi hiyo.

Ikiwa ni saa chache zimepita tangu kuteuliuwa, leo Jumatatu asubuhi, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Gerson Msigwa amesema, Rais Samia ametengua uteuzi huo na kumrejesha Dk. James Mataragio.

Dk. Mataragio, amerejeshwa kuendelea kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC.

Dk. Mataragio ndiye alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC kabla ya uteuzi Richard kutangazwa jana Jumapili na ametakiwa kuendelea na majukumu yake mara moja.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!