Thursday , 25 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Rais Samia atoa ujumbe wa Pasaka
Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia atoa ujumbe wa Pasaka

Samia Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania
Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewatakia Watanzania wote sikukuu njema ya Pasaka huku akiwakumbusha kuliombda Taifa hilo amani na upendo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Wakristu wote duniani, leo Jumapili ya tarehe 4 Aprili 2021, wanaadhimisha sikuu ya kufufuka Yesu Kristo.

Rais Samia, ametumia ukurasa wake wa Twitter kutoa salamu hizo za Pasaka akisema “Nawatakia watanzania wote Pasaka njema, tuadhimishe ufufuko wa Yesu Kristo huku tukiliombea Taifa letu la Tanzania kudumisha amani, upendo na mshikamano.”

“Tuendeleze jitihada za kuijenga nchi yetu kwa kuchapa kazi kwa juhudi na maarifa. Yesu amefufuka, Haleluya Haleluya,” amesema Rais Samia

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

THRDC yaongeza mkataba wa ushirikiano na ABA

Spread the love  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC),...

Habari Mchanganyiko

Rufaa ya Equity Benki, State Oil yakwama

Spread the loveMAHAKAMA ya Rufani, jijini Dar es Salaam, imeshindwa kuendelea na...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari Mchanganyiko

Bodaboda waeleza mafanikio mafunzo usalama barabarani

Spread the loveMADEREVA bodaboda katika Jiji la Dodoma wameeleza jinsi mafunzo ya...

error: Content is protected !!