Wednesday , 1 May 2024

Habari za Siasa

Habari za Siasa

Rais Samia: Nafahamu madhara ya kubadili viongozi mara kwa mara

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema hana lengo na hapendi kubadilisha viongozi mara kwa mara kwa kuwa anafahamu madhara yake, ikiwemo kuchukua...

Habari za Siasa

Rais Samia awataka mawaziri kujibu upotoshaji

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewataka mawaziri kueleza mafanikio ya Serikali mara kwa mara, ili kudhibiti baadhi ya watu wanaofanya upotoshaji. Anaripoti...

Habari za Siasa

Mambo matano kuteka mkutano wa faragha wa mawaziri Arusha

  KATIBU Mkuu Kiongozi, Dk. Moses Kusikulika, amesema mada tano zitajadiliwa katika mkutano wa faragha wa siku tatu wa mawaziri na makatibu wa...

Habari za Siasa

CCM yaeleza mageuzi iliyofanya kwenye elimu tangu uhuru

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema tangu kimechukua madaraka baada ya Tanzania kupata uhuru, kimefanya mageuzi mengi katika sekta ya elimu, kwa kujenga vyuo...

Habari za Siasa

Hatimaye Lema awasili Tanzania, akabidhiwa biblia na wazee wa Chadema

  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema, amewasili nchini akitokea Canada, alikokuwa akiishi tangu 2020 baada...

Habari za Siasa

Chadema, Wasira wapingana kuhusu serikali za majimbo

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kupingana na mwanasiasa mkongwe nchini, Stephen Wassira, kuhusu Serikali za Majimbo, baada ya chama hicho...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yajipanga kujibu mapigo kwa Rais Dk. Mwinyi

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeahidi kumjibu hadharani Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, kufuatia kauli yake aliyotoa kuhusu sakata la Uwanja wa Ndege...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa asema hana chama “nikialikwa CCM, ACT, CHADEMA nitakwenda”

  BAADA ya kuibua mjadala kufuatia hatua yake ya kuhutubia mkutano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), mkoani Arusha, Balozi Dk. Wilbroad...

Habari za Siasa

Rais Samia ataja sababu panga pangua viongozi wa Serikali

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amesema kutoelewana miongoni mwa viongozi wa Serikali na wasaidizi wao ndiyo sababu kubwa ya kupangua safu ya...

Habari za Siasa

Chadema yaomba miaka mitano kuiongoza Tanzania “tutawaondoa kwenye umasikini”

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimewaomba Watanzania wakipe ridhaa ya kuiongoza nchi kupitia sanduku la kura, kwani kitawaondoa katika umasikini ndani ya...

Habari za Siasa

Jeshi la Polisi lamshangaza Mbowe

  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amelipongeza Jeshi la Polisi kwa kuendelea kulinda mikutano ya hadhara ya vyama...

Habari za Siasa

Wazee wa Chadema Njombe wampoza machungu Mbowe

BAADHI ya Wazee wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), mkoani Njombe, wamempa zawadi Mwenyekiti wao Taifa, Freeman Mbowe, kwa kutambua mchango wake...

Habari za SiasaTangulizi

Wazanzibari waoneshwa ya 2035

CHAMA cha ACT Wazalendo kimebuni utaratibu mpya wa kujisogeza kwa umma mapema hata kuliko kawaida ya uendeshaji siasa nchini Tanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

Mabadiliko viongozi wa Serikali: Rais Samia afyeka, ateua wapya, wengine wahamishwa

RAIS Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki na Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Omary Mgumba katika...

Habari za Siasa

Jaffar Haniu ashiriki Baraza la Madiwani Busokelo, akagua miradi ya maendeleo

MKUU wa Wilaya ya Rungwe, Jaffar Haniu ameshiriki Baraza la Madiwani katika Halmashauri ya Busokelo wilayani Rungwe sambamba na kukagua miradi mbalimbali ya...

Habari za Siasa

Vijana ACT-Wazalendo: Ukosefu ajira ni hatari zaidi ya UVIKO-19

  NGOME ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo, Mkoa wa Dar es Salaam, kimeomba Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, itekeleze kikamilifu sera...

Habari za Siasa

CUF yafunguka sakata la wanachama 374 kuhama kisa Prof. Lipumba

  CHAMA cha Wananchi (CUF), kimekana kuwatambua wanachama 374 waliotangaza kujivua uanachama, kikidai katika kundi hilo wanachama wake hawazidi 60 na kwamba wengi...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo atoa mapendekezo changamoto ufaulu shule za sekondari

  MBUNGE wa Musoma Vijijini, Profesa Sospeter Muhongo, amewataka wazazi watimize wajibu wao wa malezi mazuri kwa wanafunzi wa shule za sekondari, yatakayowawezesha...

Habari za Siasa

ACT Wazalendo yaja na ahadi ya “Taifa la Wote kwa Maslahi ya Wote”

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimezindua ahadi yake kwa Watanzania, ya kujenga Taifa la wote kwa maslahi ya wote kufikia 2035 endapo kitapewa ridhaa ya...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yawaangukia Watanzania

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimewaomba Watanzania wakiunge mkono ili kiweze kutimiza malengo yake ya kuwakomboa kiuchumi, kijamii na kisiasa. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari za Siasa

Hii hapa ahadi ya ACT-Wazalendo kwa Watanzania

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimesema ndoto yake kuu si kushika dola bali kuwakomboa wananchi kiuchumi na kijamii. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...

Habari za Siasa

Mchengerewa atangaza mabadiliko utalii, “sitaki mambo ya hovyo”

  WAZIRI mpya wa Maliasili na Utalii, Mohamed Mchengerewa amesema kuwa kwa kushirikiana na viongozi wenzake walioteuliwa hivi karibuni atahakikisha wanafanya mabadiliko na...

Habari za Siasa

Majaliwa atamani Mulugo ahamie Lindi

  KUTOKANA na kupungua kwa kero zilizokuwa zikiwakumba wananchi wa Jimbo la Songwe mkoani hapa, Waziri mkuu Kassim Majaliwa amewataka wananchi kuendelea kumuunga...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto amkumbuka Maalim Seif

  KIONGOZI wa Chama Cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema chama chake kinaendelea kumuenzi aliyekuwa Mwenyekiti wake Taifa, Maalim Seif Shariff Hamad, aliyefariki Dunia...

Habari za Siasa

Prof. Lipumba anusurika kifo akitoka kuhutubia mkutano wa hadhara

  MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba na wenzake watano, wamenusurika kifo baada ya kupata ajali maeneo ya Kilwa mkoani...

Habari za Siasa

Majaliwa aipongeza Tunduma kwa ukusanyaji mapato

  WAZIRI mkuu Kassim Majaliwa ameeleza kuridhishwa na kasi ya ukusanyaji mapato uliopo katika halmashauri ya mji Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe huku...

Habari za Siasa

Dk. Tax aongoza aongoza ujumbe wa Tanzania mkutano wa mawaziri AU

  WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Stergomena Tax ameongoza ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika...

Habari za Siasa

Dk. Mpango akemea mivutano kati ya mawaziri na watendaji

  MAKAMU wa Rais, Daktari Phillip Mpango, amewataka mawaziri kuepuka mivutano kati yao na watendaji wizarani, badala yake washirikiane kuwaletea maendeleo wananchi. Anaripoti...

Habari za Siasa

CCM yatuma salamu kwa wapinzani Uchaguzi Serikali za Mitaa

  KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Sophia Mjema, amesema hakuna chama cha siasa cha upinzani kitakachosumbua chama chake...

Habari za Siasa

AAFP yamkumbuka Hayati Magufuli, wampa neno Rais Samia

CHAMA cha Wakulima nchini (AAFP), kimesema kinamkumbuka aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati John Magufuli, kutokana na kazi kubwa aliyofanya kulinda demokrasia...

Habari za Siasa

AAFP wapuliza kipyenga mikutano ya hadhara

CHAMA cha Wakulima nchini (AAFP), kimetangaza mpango wa kuanza kufanya mikutano ya hadhara kuanzia Februari 2023, baada ya kufanya mkutano wake mkuu kesho...

Habari za Siasa

Kamati ya Bunge yaombwa kuchunguza mauaji wananchi, askari Serengeti

MBUNGE Viti Maalum, Esther Matiko, amemuomba Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, aagize Kamati ya Kudumu ya mhimili huo ya Ardhi, Maliasili na...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yafichua madhila wanayopitia vijana wa Dar

NGOME ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo, Mkoa wa Dar es Salaam, kimeiomba Serikali kuchukua hatua za haraka kutatua changamoto za uhaba wa...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu atinga Polisi kuchukua gari lake “nataka nilipeleke makumbusho”

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ametinga katika Ofisi ya Jeshi la Polisi mkoani Dodoma, kufuata gari...

Habari za Siasa

Majaliwa ampa maagizo mkandarasi, RC Dodoma

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza mkandarasi anayejenga Kituo cha Taifa cha Maafa katika mtaa wa Nzuguni Jijini Dodoma kumaliza ujenzi kwa wakati...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Dk. Tulia achachamaa degree za heshima kuuzwa kama pipi

  SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson amesema shahada za udaktari wa falsafa ‘degree za heshima’ zinazotolewa...

Habari za Siasa

Hoja ya Moshi kuwa Jiji yaibuliwa tena bungeni

  MBUNGE wa Moshi Mjini, Priscus Tarimo, ameitaka Serikali kupandisha hadhi ya utawala miji iliyokidhi vigezo, pamoja na kugawa mikoa yenye ukubwa wa...

Habari za SiasaTangulizi

Kauli ya Mwigulu yatibua Bunge, Spika aifuta

  KAULI ya Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba aliyoitoa bungeni kuwa “wabunge wajadili mambo mengine yanayohusu uganga” imeendelea kuutibua muhimili...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina akiwasha bungeni mkwamo marekebisho ya katiba

MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amehoji bungeni jijini Dodoma, sababu za mchakato wa marekebisho ya katiba, kukwama licha ya Rais Samia Suluhu Hassan,...

Habari za Siasa

Ole Sendeka alitaka Bunge liache kulalamika, lichukue maamuzi

MBUNGE wa Simanjiro, Christopher Olesendeka, amelitaka Bunge liache kulalamika kwa maamuzi yake iliyokwisha fanya, badala yake litoe maazimio ya kuwachukulia hatua watu wanaoshindwa...

Habari za Siasa

TEF yamwangukia Rais Samia muswada wa habari kukwama kuwasilishwa bungeni

  JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, aingilie kati ili Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Huduma za Habari...

Habari za Siasa

Kamati ya Bunge yatoa mapendekezo manne changamoto ukosefu ajira kwa vijana

  KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria, imetoa mapendekezo manne kwa Serikali, juu ya namna ya kutatua changamoto za ukosefu...

Habari za Siasa

Jaji Biswalo aendelea kung’ang’aniwa fedha za ‘Plea Bargaining’, CUF wataka ajiuzulu

  CHAMA cha Wananchi (CUF), kimemtaka aliyekuwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), Biswalo Mganga, ajiuzulu cheo chake cha ujaji wa Mahakama Kuu, ili...

Habari za Siasa

Bunge labaini madudu mfumo ukusanyaji mapato, h’shauri tatu kikaangoni

  KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), imedai kuwa, kuna changamoto ya uvujaji wa mapato ya Serikali...

Habari za Siasa

Mkuu wa wilaya ya Rungwe azindua vyumba sita vya madarasa vya thamani ya 64 mil

  MKUU wa Wilaya ya Rungwe, Jaffar Haniu amezindua vyumba sita vya madarasa katika shule ya Msingi Kinyangwa iliyopo Kijiji Cha Katunduru kata...

Habari za Siasa

Mbunge afurahia mabilioni ya Samia kutua jimboni

  MBUNGE wa Igunga, Nicholas Ngassa ameishukuru Serikali kwa utekelezaji wa miradi ya maendeleo, chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hasssan kwani...

Habari za Siasa

PIC yaishauri Serikali kuanzisha mfuko wa uwekezaji kusaidia mashirika ya umma

  KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), imeishauri Serikali ianzishe Mfuko Maalum wa Uwekezaji kwa ajili ya...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge lalia msongamano wa mizigo bandari Dar es Salaam

  KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC),limeishauri Serikali kuchukua hatua za kumaliza changamoto za msongamano wa shehena...

Habari za Siasa

Ongezeko la mapato lamkosha RC Songwe

  MKUU wa Mkoa wa Songwe, Waziri Kindamba, amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya mji Tunduma, Philimon Magessa kwa jitihada za ukusanyaji mapato...

Habari za Siasa

Chadema yamtaka Dk. Mwigulu ajiuzulu uwaziri

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemtaka Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba, kujiuzulu wadhifa wake ili kupisha uchunguzi wa...

error: Content is protected !!