Monday , 6 May 2024

Habari za Siasa

Habari za Siasa

Tanzania kufungua rasmi ofisi za ubalozi Indonesia

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Stergomena Tax amewasili Jakarta nchini Indonesia kwa ajili ya ziara ya kikazi,...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ataka kamati iundwe kupitia upya mkataba wa DP World

MWENYEKITI wa Chama Cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba ameishauri Serikali iboreshe mkataba wa ushirikiano wa uendeshaji Bandari ya Dar es Salaam, ulioingiwa...

Habari za Siasa

Kamati ya siasa Songwe yakagua miradi 7, yatoa maagizo

KAMATI ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi  (CCM) mkoani Songwe imekagua miradi saba ya maendeleo yenye thamani ya Sh 5.5 bilioni wilayani Songwe...

Habari za Siasa

ACT Wazalendo yaipukutisha Chadema Kigoma

WALIOKUWA wagombea udiwani wa CHADEMA katika Kata za Rugongwe, Mukabuye na Nyaruyoba kwenye uchaguzi Mkuu 2020 wamejiunga ACT Wazalendo. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea)....

Habari za Siasa

Prof. Muhongo aibana TPDC, TANESCO

MBUNGE wa Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo, amelitaka amelitaka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), liache kuwa wauzaji wa mafuta yanayotoka nje...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yamtaka CAG akague fedha za tozo, UVIKO-19

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimemtaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kufanya ukaguzi dhidi ya fedha za tozo za miamala ya...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yasaini mikataba saba ya ujenzi wa Barabara ya Sh. 3.7 trilioni

SERIKALI ya Tanzania chini ya usimamizi wa Wakala wa barabara nchini (TANROAD) imsaini mitakaba 7 ya ujenzi wa barabara 7 kwa kiwango cha...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo: Bajeti kuu haina vipaumbele vya kuboresha maisha ya Watanzania

CHAMA Cha ACT-Wazalendo, kimekosoa bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2023/24 na kudai kuwa haijaweka vipaumbele vinavyolenga kuboresha maisha ya wananchi...

Habari za Siasa

Kata nne Musoma Vijijini mbioni kupata maji

WANAVIJIJI kutoka kata nne za Wilaya ya Musoma Vijijini, mkoani Mara, wako mbioni kuondokana na adha ya huduma ya maji safi na salama...

Habari za Siasa

Tanzania yawakaribisha wawekezaji kutoka Urusi

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewakaribisha wafanyabiashara na wawekezaji kutoka Serikali ya Urusi kuwekeza nchini kwa maslahi ya pande zote mbili...

Habari za Siasa

Balozi Mbarouk asaini kitabu cha maombolezo ubalozi Italia

NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amesaini kitabu cha maombolezo katika Ubalozi wa Italia...

Habari za SiasaTangulizi

Samia awajibu wanaompinga, Nchi haiuziki

  RAIS wa Jamhuri, Samia Suluhu Hassan, ameeleza kuwa nchi haijauzwa na wala haiziki, na kwamba Tanzania ni moja. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari za Siasa

Watumishi 7 Tunduma wafutwa kazi kwa tuhuma za ubadhirifu

BARAZA la madiwani katika halmashauri ya mji Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe, wameazimia kutoa adhabu ya  kuwafuta kazi watumishi saba huku kati yao...

Habari za SiasaTangulizi

Waitara: Mbowe amuombe radhi Rais Samia, Mbarawa

MBUNGE wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM) amemtaka Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amuombe radhi Rais Samia Suluhu...

Habari za Siasa

Lussu: Mkataba wa DP bandarini si wa miaka 100

MAKAMU Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, amesema hakuna ukweli wowote juu ya muda wa miaka 100 wa uwekezaji kwenye Bandari ya Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Maulid Mtulia: Kutoka ubunge hadi U-DAS

ALIYEKUWA mbunge wa Kinondoni, kupitia vyama vya The Civil United Front – Chama cha Wananchi (CUF) na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kati ya...

Habari za Siasa

Lusinde: CCM hatuliachii ng’o jimbo la Moshi Mjini

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC), Livingston Lusinde amesema CCM haina mpango wakuliachia jimbo la Moshi mjini pamoja halmashauri ya...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar: Bakharesa hajavamia shamba letu

  IKULU Visiwani Zanzibar, imeeleza kuwa eneo la kiwanda cha sukari cha Bagamoyo, siyo sehemu ya shamba linalomilikiwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar...

Habari za SiasaTangulizi

Zanzibar watangaza rasmi kuwa shamba la Razaba ni mali yao

  SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imetangaza rasmi kwamba shamba la Razaba lilipo eneo la Bagamoyo, mkoani Pwani, ni mali halali ya serikali...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Mwinyi azindua Kamati ya Maridhiano Visiwani

  RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Dk. Hussein Ally Mwinyi, amezindua Kamati ya Maridhiano Visiwani, yenye lengo la kuendeleza dhamira ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mabadiliko ya sheria ya usalama wa taifa yazua mjadala

  SERIKALI iko mbioni, kuwasilisha bungeni muswaada wa marekebisho ya sheria ya Idara ya Usalama wa taifa (TISS), uliosheheni utata, ikiwamo kuweka kinga...

Habari za SiasaTangulizi

Uamuzi juu ya wakurugenzi kusimamia uchaguzi 13 Juni

  MAHAKAMA ya Afrika ya Haki za Binadamu (ACHPR), imepanga kutoa uamuzi wa shauri la madai lililofunguliwa na Bob Chacha Wangwe, dhidi ya...

Habari za Siasa

Musoma Vijijini waomba ujenzi wa barabara uanze haraka

JIMBO la Musoma Vijijini, mkoani Mara, limeomba Serikali kuhakikisha ujenzi wa Barabara ya Musoma-Makojo-Busekera, unaanza baraka baada ya mwaka mpya wa fedha (2023/24),...

Habari za Siasa

ACT Wazalendo yaanika madudu miradi ya ujenzi, moundombinu

CHAMA cha ACT Wazalendo kimeeleza wasiwasi juu ya uelekeo wa Serikali na mjadala unaondelea Bunge kuhusu ushirikishwaji wa sekta binafsi kwenye ujenzi wa...

Habari za Siasa

Samia ashuhudia utiaji saini ujenzi wa minara 758 ya bilioni 265

  RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa kampuni za simu kubuni teknolojia ya gharama nafuu itakayowezesha kila Mtanzania kupata huduma ya mawasiliano...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo aibana Halmashauri ya Musoma

  MBUNGE wa Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo, ameitaka Halmashauri ya Wilaya ya Musoma, mkoani Mara, kutumia mapato yake ya ndani kukamilisha miradi...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua mwenyekiti, wajumbe bodi ya ushauri wa mapato ya mafuta na gesi

  RAIS Samia Suluhu Hassan leo Ijumaa amemteua Mussa Mohamed Makame, Mkurugenzi Mtendaji, Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuwa Mwenyekiti wa...

Habari za Siasa

Daktari: Membe hajapewa sumu

  DAKTARI wa aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje nchini Bernard Membe, ameondoa utata kuhusu ya kifo cha mwanasiasa huyo mkongwe na...

Habari za Siasa

Wanakijiji Kinyang’erere waepukana na adha ya usafiri

  WANAKIJIJI zaidi ya 4,000 wa Kinyang’erere, Musoma Vijijini mkoani Mara, wameepukana na adha ya usafiri baada ya Serikali kujenga barabara inayowaunganisha katika...

Habari za Siasa

Membe kuzikwa Jumanne ijayo

  JAJI Mustapha Ismail Kambona, msemaji wa familia ya marehemu Bernard Kamilius Membe, aliyeaga dunia mapema leo asubuhi, ametangaza kuwa mazishi ya mwanasiasa...

Habari za Siasa

Tanzania, Uingereza zadhamiria kuimarisha biashara na uwekezaji

TANZANIA imeeleza dhamira yake ya kuendelea kuimarisha ushirikiano wake na Serikali ya Uingereza katika sekta za biashara pamoja na uwekezaji. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari za Siasa

Pigo jingine: Bernard Membe afariki dunia

  ALIYEKUWA Waziri wa Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa, katika utawala wa Rais Jakaya Kikwete, Bernard Kamilius Membe, amefariki dunia, asubuhi...

Habari za Siasa

Rais Samia amlilia Membe

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemlilia aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe, aliyefariki Dunia ghafla jijini Dar es Salaam. Anaripoti...

Habari za Siasa

Balozi Shelukindo ateta na mabalozi China, Italia, Denmark…

KATIBU Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dk. Samwel Shelukindo amekutana na kuzungumza na mabalozi wa China,...

Habari za Siasa

BAWACHA waandamana, polisi wawapa ulinzi mzito

  HATIMAYE Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) leo Alhamisi wamekusanyika kwenye viwanja vya posta ya zamani jijini Dar es salaam na kuandamana...

Habari za Siasa

Lissu ashuhudia gari lake polisi, akanusha uvumi wa kuzuiwa kuliona, ataka waliompiga risasi watafutwe

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ameliomba jeshi la polisi nchini kuendelea kumsaka aliyehusika na shambulio dhidi...

Habari za Siasa

Waitara alia tena, wabunge wamcheka… atoka bungeni

  MBUNGE wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM) leo Jumanne ameangua tena kilio bungeni na kutoka nje ya ukumbi wa mhimili huo kwa...

Habari za Siasa

Mabadiliko sheria ya uchaguzi, vyama vya siasa kutua bungeni mwaka huu

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge, Jenister Mhagama amesema kabla ya mwaka huu 2023 kumalizika, Serikali itakuwa imepeleka...

Habari za Siasa

Lissu: Chadema haijawahi kuridhiana na Serikali

CHAMA Cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimeiomba Serikali ianze kutekeleza dhana ya maridhiano mapema kabla ya kubandika kwenye matangazo kuwa wameridhiana  kumbe si...

Habari za Siasa

ACT wazalendo wampa tano Samia kufufua mchakato Katiba mpya

CHAMA cha ACT Wazalendo kimeunga mkono na kuikaribisha kwa mikono miwili hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan kumuagiza Msajili wa Vyama vya Siasa...

Habari za Siasa

Katiba mpya hiyoo! Samia aagiza Msajili kuitisha kikao maalumu

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amemuagiza Msajili wa vyama vya siasa nchini, Jaji Francis Mutungi kuitisha kikao maalum cha Baraza la vyama hivyo...

Habari za Siasa

Biashara kati ya Tanzania na Ufaransa yafikia 94 bilioni

UKUAJI wa biashara kati ya Tanzania na Ufaransa umeongezeka kutoka kiasi cha Sh.  27.8 bilioni kwa mwaka 2015 hadi Sh. 94.5 bilioni kwa...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nimekomaa zaidi kisiasa katika miaka 9 ya ACT Wazalendo

  LEO tarehe 5 Mei, ni ACT Dei. Ni siku ambayo Chama cha ACT Wazalendo kilipata usajili wa kudumu. Tunaadhimisha siku hii kwa...

Habari za Siasa

Mbowe alinigomea kukutana na Magufuli – Job Ndugai

  ALIYEKUWA Spika wa Bunge, Job Ndugai, amedai kuwa aliwahi kumshauri Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kukutana na...

Habari za Siasa

Spika Tulia: Sugu hanitishi, moto wangu anaujua

Spika wa Bunge, Tulia Ackson leo Alhamisi amesema licha ya kuwepo kwa chokochoko kwamba aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo kupitia Chadema, Joseph Mbilinyi...

Habari za Siasa

Hatma ya kesi ya uraia pacha kujulikana 31 Mei mwaka huu

  KESI ya kikatiba iliyofunguliwa na raia wa Tanzania waishio nje ya nchi (Diaspora), kupinga Sheria inayokataza uraia wa nchi mbili, maarufu kama...

Habari za Siasa

Rais Samia: Tumebeba ‘teaching allowance’

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema suala la posho ya kufundishia (teaching allowance) kwa walimu ni mzigo mkubwa kwenye kapu la serikali hivyo...

Habari za Siasa

Rais Samia aongeza mishahara kimya kimya “nyongeza zitaendelea kila mwaka”

  RAIS Samia Suluhu Hassan ametangaza kurejesha mpango wa nyongeza ya mishahara kila bila kutaja viwango ili kudhibiti mfumuko wa bei. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Dk. Biteko: Rais Samia amewaunganisha Watanzania

  RAIS wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan amewaunganisha watanzania katika sekta zote nchini ili kuhakikisha wananufaika na rasilimali mbalimbali zilizopo pamoja na...

error: Content is protected !!