Wednesday , 1 May 2024

Habari za Siasa

Habari za SiasaTangulizi

Wakili wa Selasini ajitoa kesi aliyofunguliwa na Mbatia

  HASSAN Ruhwanya, Wakili wa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha NCCR-Mageuzi, Joseph Selasini, amejitoa kumuwakilisha katika kesi aliyofunguliwa na James Mbatia, akimtaka amlipe...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yasimamisha kesi ya Mbatia kupinga kung’olewa NCCR-Mageuzi

  MAHAKAMA Kuu, Masjala Kuu, jijini Dar es Salaam, imesimamisha Kwa muda usikilizaji wa kesi iliyofunguliwa na James Mbatia, kupinga kuvuliwa uanachama wa...

Habari za Siasa

Rais Samia awataka viongozi Afrika kushirikiana mapambano ya rushwa

RAIS wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema moja ya vikwazo vikubwa vya maendeleo barani Afrika ni pamoja na janga la rushwa ambalo linadhoofisha...

Habari za SiasaTangulizi

Msajili aikalia kooni TLP nafasi ya Mrema

OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa, imekitaka Chama cha Tanzania Labpour Party (TLP), kuitisha uchaguzi wa kujaza nafasi ya mwenyekiti wake taifa,...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbatia kupinga kung’olewa NCCR-Mageuzi yakwama mahakamani

USIKILIZWA wa kesi Na. 18/2023 iliyofunguliwa katika Mahakama Kuu, Masjala Kuu, jijini Dar es Salaam na James Mbatia, kupinga kufukuzwa ndani ya chama...

Habari za SiasaTangulizi

Wakili Dk. Nshala aitwa kwa DCI

WAKILI Rugemeleza Nshala aliyewahi kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) ameitwa na Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi Kanda Maalum Dar es...

Habari za Siasa

Mawaziri SADC wajadili hali ya amani DRC, Msumbiji

MKUTANO wa Kamati ya Mawaziri wa Asasi ya Ushirikiano katika Masuala ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya  Jumuiya ya Maendeleo Kusini...

Habari za SiasaTangulizi

Mdee na wenzake waendelea kuwabana vigogo wa Chadema mahakamani

MAWAKILI wa wabunge viti maalum 19, wakiongozwa na Halima  Mdee, wamendelea kuwahoji maswali hya dodoso wajumbe wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha...

Habari za Siasa

Tanzania, India kuanzisha maeneo mapya ya ushirikiano

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na Jamhuri ya India zimekubaliana kuanzisha maeneo mapya ya ushirikiano katika sekta za biashara na...

Habari za Siasa

Chadema wajifungia kujadili mustakabali wa DP World

KAMATI Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imekutana kujadili hali ya kisiasa nchini, ikiwemo mkataba wa ushirikiano kuhusu uendeshaji bandari, ulioingia...

Habari za SiasaTangulizi

Balozi Karume: Sikati rufaa kufukuzwa CCM, uamuzi ni batili

BALOZI Ali Karume amedai uamuzi kumvua uanachama uliochukuliwa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ni batili hivyo hana haja ya kukata rufaa kuupinga. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

CCM wamtimua Balozi Karume, urais watajwa

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Kusini Unguja kupitia kamati ya Halmashauri Kuu ya CCM ya mkoa huo imeridhia kumfukuza uanachama Balozi Ali...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia amburuza mahakamani Selasini, Diamond Platnumz akitaka wamlipe fidia Sh. 10 Bil

  ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia amemfikisha mahakamani Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Joseph Selasini na wengine sita, akitaka wamlipe...

Habari za Siasa

Shaka: Rais Samia kioo cha uongozi Afrika

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Shaka Hamdu Shaka amesema Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ni kioo...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia amrejesha Prof. Kitila Mkumbo baraza la mawaziri

HATIMAYE Rais Samia Suluhu Hassan amemrejesha kwenye baraza lake la mawaziri, Prof. Kitila Mkumbo baada ya kukaa benchi kwa muda wa zaidi ya...

Habari za Siasa

Rais Samia ashuhudia mikataba ya msaada wa bilioni 455

RAIS Samia Suluhu Hassan ameshuhudia utiaji saini wa mikataba mitatu ya msaada wa maendeleo inayofadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU) wenye thamani ya...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia atumbua wakuu wa wilaya

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo tarehe 02 Julai, 2023 ametengua uteuzi wa wakuu wa wilaya ya Kilindi...

Habari za Siasa

Tunduma yaanza mikakati kubuni vyanzo vipya vya mapato, yalenga kuipiga teke Ilala

MWENYEKITI wa halmashauri ya mji Tunduma, Ayoub Mlimba amesema katika bajeti ya mwaka huu wa fedha 2023/2024 wamejipanga kubuni vyanzo vipya vya mapato...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge CCM afariki baada ya kugongwa na trekta

MBUNGE wa Jimbo la Mbarali Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, Fransis Leonard Mtega (CCM) leo Jumamosi  alasiri amefariki dunia  baada ya kupata ajali...

Habari za Siasa

Dk. Mpango ampa maagizo mazito Balozi wa Tanzania-Uturuki

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Philip Mpango amemuagiza Balozi wa Tanzania nchini Uturuki, Balozi Idd Seif Bakari kuhakikisha...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua Makamu NEC, Mkaguzi mkuu wa Serikali

RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Naibu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Benjamin Magai kuwa Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge laazimia mambo 4, laahirishwa, Majaliwa atoa hofu mkataba bandari

HATIMAYE Bunge la Bajeti limeahirishwa baada ya kutumia siku 85 tangu lilipoanza tarehe 4 Aprili 2023, huku azimio lake la kuridhia makubaliano ya...

Habari za Siasa

ACT yajipanga kuimarisha ushiriki wa wanawake kwenye uongozi

  KATIBU Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu amesema Chama hicho kimejipanga kuongeza ushiriki wa wanawake kwenye nafasi mbalimbali za uongozi za...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Tulia aeleza sababu za kengele ya hatari kulia Bungeni

SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, amesema kengele ya hatari iliyofanya mhimili huo usitishe shughuli zake kwa muda, imetokana na marekebisho yaliyokuwa yanafanywa...

Habari za SiasaTangulizi

Kikao cha Bunge chaahirishwa ghafla

KIKAO cha Bunge kilichokuwa kinaendelea leo Jumanne, tarehe 27 Juni 2023, kimeahirishwa ghafla baada ya kutokea dharura. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Kikao hicho...

Habari za SiasaTangulizi

Rostam amlipua Dk. Slaa… “ni kizabizabina”

MFANYABISHARA wa Kimataifa ambaye pia ni mwanasiasa, Rostam Aziz amejibu Balozi Dk. Wilbrod Slaa ambaye alimtuhumu kwa mambo mbalimbali na kusisitiza kwamba Katibu...

Habari za SiasaTangulizi

Rostam Aziz: Sihusiki na uwekezaji wa DP World

MFANYABIASHARA wa kimataifa nchini, Rostam Aziz amesema hahusiki lakini pia kampuni zake hazihusiki wala hazina uhusiano wowote na Kampuni ya DP World kutoka...

Habari za SiasaTangulizi

Hanje, Makamba watikisa Bunge likipitisha bajeti kuu

WABUNGE wa viti maalumu Nusrat Hanje, Salome Makamba ambao ni sehemu ya wabunge 19 waliotimuliwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),...

Habari za Siasa

JUVICUF wataka elimu zaidi kuhusu mkataba bandari

WAKATI Serikali ikiendelea kutoa ufafanuzi kuhusu mkataba wake na Kampuni ya DP World, kuhusu ushirikiano wa uendeshaji Bandari ya Dar es Salaam, Jumuiya...

Habari za Siasa

Mkutano wa CHADEMA Temeke kupinga bandari wasusiwa na viongozi, wananchi

MKUTANO ulioandaliwa leo na chama cha upinzani cha CHADEMA na kada wake wa zamani, Wilbrod Slaa, kwenye viwanja vya Bulyaga, Temeke, jijini Dar...

Habari za Siasa

Kamati ya siasa yakagua miradi ya bilioni 9.3 Ileje, yabaini madudu

KAMATI YA siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Songwe  imekagua miradi nane yenye thamani ya Sh 9.3 bilioni katika wilaya ya Ileje...

Habari za Siasa

Tanzania yafungua rasmi ubalozi wake nchini Indonesia

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Alhamisi imefungua rasmi Ubalozi wake Jijini Jakarta nchini Indonesia. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Akizungumza katika...

Habari za Siasa

Tanzania kufungua rasmi ofisi za ubalozi Indonesia

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Stergomena Tax amewasili Jakarta nchini Indonesia kwa ajili ya ziara ya kikazi,...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ataka kamati iundwe kupitia upya mkataba wa DP World

MWENYEKITI wa Chama Cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba ameishauri Serikali iboreshe mkataba wa ushirikiano wa uendeshaji Bandari ya Dar es Salaam, ulioingiwa...

Habari za Siasa

Kamati ya siasa Songwe yakagua miradi 7, yatoa maagizo

KAMATI ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi  (CCM) mkoani Songwe imekagua miradi saba ya maendeleo yenye thamani ya Sh 5.5 bilioni wilayani Songwe...

Habari za Siasa

ACT Wazalendo yaipukutisha Chadema Kigoma

WALIOKUWA wagombea udiwani wa CHADEMA katika Kata za Rugongwe, Mukabuye na Nyaruyoba kwenye uchaguzi Mkuu 2020 wamejiunga ACT Wazalendo. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea)....

Habari za Siasa

Prof. Muhongo aibana TPDC, TANESCO

MBUNGE wa Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo, amelitaka amelitaka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), liache kuwa wauzaji wa mafuta yanayotoka nje...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yamtaka CAG akague fedha za tozo, UVIKO-19

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimemtaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kufanya ukaguzi dhidi ya fedha za tozo za miamala ya...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yasaini mikataba saba ya ujenzi wa Barabara ya Sh. 3.7 trilioni

SERIKALI ya Tanzania chini ya usimamizi wa Wakala wa barabara nchini (TANROAD) imsaini mitakaba 7 ya ujenzi wa barabara 7 kwa kiwango cha...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo: Bajeti kuu haina vipaumbele vya kuboresha maisha ya Watanzania

CHAMA Cha ACT-Wazalendo, kimekosoa bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2023/24 na kudai kuwa haijaweka vipaumbele vinavyolenga kuboresha maisha ya wananchi...

Habari za Siasa

Kata nne Musoma Vijijini mbioni kupata maji

WANAVIJIJI kutoka kata nne za Wilaya ya Musoma Vijijini, mkoani Mara, wako mbioni kuondokana na adha ya huduma ya maji safi na salama...

Habari za Siasa

Tanzania yawakaribisha wawekezaji kutoka Urusi

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewakaribisha wafanyabiashara na wawekezaji kutoka Serikali ya Urusi kuwekeza nchini kwa maslahi ya pande zote mbili...

Habari za Siasa

Balozi Mbarouk asaini kitabu cha maombolezo ubalozi Italia

NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amesaini kitabu cha maombolezo katika Ubalozi wa Italia...

Habari za SiasaTangulizi

Samia awajibu wanaompinga, Nchi haiuziki

  RAIS wa Jamhuri, Samia Suluhu Hassan, ameeleza kuwa nchi haijauzwa na wala haiziki, na kwamba Tanzania ni moja. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari za Siasa

Watumishi 7 Tunduma wafutwa kazi kwa tuhuma za ubadhirifu

BARAZA la madiwani katika halmashauri ya mji Tunduma wilayani Momba mkoani Songwe, wameazimia kutoa adhabu ya  kuwafuta kazi watumishi saba huku kati yao...

Habari za SiasaTangulizi

Waitara: Mbowe amuombe radhi Rais Samia, Mbarawa

MBUNGE wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (CCM) amemtaka Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amuombe radhi Rais Samia Suluhu...

Habari za Siasa

Lussu: Mkataba wa DP bandarini si wa miaka 100

MAKAMU Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, amesema hakuna ukweli wowote juu ya muda wa miaka 100 wa uwekezaji kwenye Bandari ya Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Maulid Mtulia: Kutoka ubunge hadi U-DAS

ALIYEKUWA mbunge wa Kinondoni, kupitia vyama vya The Civil United Front – Chama cha Wananchi (CUF) na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kati ya...

Habari za Siasa

Lusinde: CCM hatuliachii ng’o jimbo la Moshi Mjini

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC), Livingston Lusinde amesema CCM haina mpango wakuliachia jimbo la Moshi mjini pamoja halmashauri ya...

error: Content is protected !!