Tuesday , 21 May 2024

Month: June 2021

Habari za SiasaTangulizi

Bajeti 2021/2022: Wabunge 94% wasema ‘Ndiooo’

  ASILIMIA 94 ya Wabunge wa Bunge la Jamhuri Tanzania, jijini Dodoma wamepitisha Bajeti Kuu ya serikali ya Sh. 36.3 Trilioni kwa mwaka...

Habari Mchanganyiko

THRDC kuzindua mpango mkakati wa maendeleo

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), unatarajia kuzindua mpango mkakati wa Asasi za Kiraia (Azaki), wa utekelezaji Mpango wa...

Habari za Siasa

Mdee, wenzake wapata kwikwi bungeni

  BAJETI ya Serikali ya Tanzania kwa mwaka 2021/22 ya Sh.36.3 Trilioni, imepitishwa na Bunge huku wabunge 23 wakishindwa kuikubali au kuikataa ‘abstain.’...

Michezo

Bao Nne za Simba dhidi ya Kaizer, zamuibua Mwigulu adai walikosa mipango

  WAZIRI wa fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba, amesema kuwa kilichosababisha klabu ya Simba kukumbana na kadhia ya kipigo cha mabao 4-0,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Dk. Mwigulu aeleza makato lini za simu yatakavyokuwa

  WAZIRI wa Fedha na Mipango nchini Tanzania, Dk. Mwigulu Nchemba, amefafanua jinsi kodi ya lini ya simu itakavyolipwa na watumiaji huku akiwaomba...

Tangulizi

Spika Ndugai afura bungeni

  KUKITHIRI kwa malalamiko yanaelekezwa kwa Askari wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), yamemchefua Job Ndugai, Spika wa Bunge la Jamhuri ya...

MichezoTangulizi

Chama arejea, Manula, Lwanga ‘Out’ dhidi ya Mbeya City

Mara baada ya kukosekana Uwanjani kwa wiki tatu, kiungo wa klabu ya Simba, Clatous Chama amerejea Uwanjani, huku mlinda mlango wa klabu hiyo...

Makala & Uchambuzi

Balozi Seif Ali Idi ana hali gani?

  MNIJUZE wakazi wa Zanzibar, taswira halisi ya Balozi Seif Ali Idi, Makamu wa Pili Mstaafu visiwani humo ilivyo kwa sasa, je ni...

Habari Mchanganyiko

LHRC yalaani mauaji ya kinyama Tabora

  KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu Tanzania (LHRC), kimeiomba Serikali ya Tanzania, kuwachukulia hatua watu waliohusika katika tukio la mauaji ya...

Habari Mchanganyiko

Bajeti 2021/22 kupitishwa? Spika Ndugai atoa onyo

Bajeti 2021/22 kupitishwa? Spika Ndugai atoa onyoMJADALA wa Bajeti ya Serikali ya Tanzania kwa mwaka 2021/22 ya Sh.36.3 Trilioni, unahitimishwa leo Jumanne, tarehe...

Habari Mchanganyiko

Magari matatu yagongana Moro, watano wafariki

  WATU watano wamefariki dunia, katika ajali iliyohusisha magari matatu ikiwemo basi dogo la abiria ‘Costa’ iliyotokea eneo la Nanenane mkoani Morogoro jana...

Habari Mchanganyiko

Mahakama Kuu yamrejeshea Fatma Karume uwakili

  MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imefuta uamuzi wa Kamati ya Maadili ya Mawakili Tanganyika, wa kumfuta uwakili, Mwanaharakati...

Habari za SiasaTangulizi

Othuman: Viongozi wanaapa kulinda katiba yenye tatizo

  MAKAMU wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Othuman Masoud Othuman amesema, Katiba ya sasa ya Tanzania haitoi mwelekeo wa Taifa unakwenda wapi. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Mauaji ya kinyama Tabora: Polisi ‘wagomea’ tuhuma

  JESHI la Polisi mkoani Tabora, limedai mauaji ya mtoto Nyanzobhe Mwandu (4), yaliyotokea tarehe 16 Juni 2021, yalipangwa. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari za Siasa

Kamati Kuu CCM kukutana

  KAMATI Kuu ya Chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), itakutana kesho Jumanne, tarehe 22 Juni 2021, jijini Dodoma. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Samia ateta na Rais wa China

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na Rais wa China, Xi Jinping. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...

Habari za SiasaTangulizi

Ma-DC wapya Dar wapewa majukumu matano

  MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amewakabidhi majukumu matano wakuu wa wilaya za mkoa huo, walioteuliwa na Rais Samia...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kherry James atoa ahidi nzito

  SIKU mbili baada ya kuteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Dar es Salaam, Kherry James amesema ‘sintokuwa mtawala bali mtumishi wa...

Habari za Siasa

Mbunge CCM, waziri wavutana bungeni, kisa ‘tuition’

  MBUNGE wa Bukoba Vijijini mkoani Kagera (CCM), Jason Rweikiza, amevutana na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako kuhusu zuio...

Kimataifa

Raia Ethiopia kumrejesha Abiy uwaziri mkuu?

  ABIY Ahmed, Waziri Mkuu wa Ethiopia anayetetea nafasi hiyo, ambapo wananchi wa taifa hilo, wanapiga kura kuchagua waziri mkuu mpya leo tarehe...

MichezoTangulizi

TFF yathibitisha Tanzania kupeleka timu nne CAF

  SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limethibitisha kuwa msimu ujao wa mashindano ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Africa (CAF), Tanzania...

Habari za Siasa

Ummy awachongea Ma-DED kwa Rais Samia

  WAZIRI Ofisi ya Rais-Tamisemi, Ummy Mwalimu, amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, awachukulie hatua Wakurugenzi wa Halmashauri (DED), wanaoshindwa kupeleka asilimia 40 ya...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia amuapisha RC Tabora, RAS Shinyanga

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, awaapisha Balozi Batlida Buriani kuwa Mku wa Mkoa wa Tabora (RC) na Zuwena Omari Jiri kuwa...

Michezo

Yanga mmmh!! kocha, naodha waliamsha

Ni kama huko ndani ya klabu ya Yanga, kumekuwa na hali yasintofahamu mara baada ya kuwepo kwa taarifa za kuomba kuondoka nahodha wa...

Habari za SiasaTangulizi

Kamati Kuu ACT-Wazalendo yamchambua Rais Samia, yatoa maazimio

  KAMATI Kuu ya Chama cha ACT-Wazalendo, jana tarehe 19 Juni 2021, iliuchambua uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita ya Tanzania, chini...

Habari za Siasa

Kasesela, Odunga, Ole Sabaya watemwa U DC

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa wakuu wa wilaya (DC) 139 katika mikoa ya Tanzania Bara. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari za Siasa

Waandishi wa habari walioteuliwa U DC

  WAANDISHI wa habari wanne kutoka vyombo mbalimbali vya habari, ni miongoni mwa Wakuu wa Wilaya (DC) 139, walioteuliwa na Rais wa Tanzania,...

Habari Mchanganyiko

Mchungaji EAGT ataja muarobaini ukali gharama za matibabu

  MCHUNGAJI wa Kanisa la Evangelist Assemblies of God (EAGT), Nason Manyere, amewashauri Watanzania kujiunga na bima ya afya, ili kuepukana na mzigo...

Habari za Siasa

Mrithi wa Maalim Seif ACT-Wazalendo kupatikana Novemba 27

  KAMATI Kuu ya Chama cha ACT-Wazalendo, imeagiza mkutano wa dharura wa chama hicho uitishwe tarehe 27 Novemba 2021, kwa ajili ya kujaza...

Habari za Siasa

Kata tano Segerea zalia ubovu barabara

  KATA tano katika Jimbo la Segerea jijini Dar es Salaam, zinakabiliwa na changamoto ya ubovu wa miundombinu ya barabara za mitaa, hali...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ateua Ma DC, wamo waliounga juhudi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa Wakuu wa Wilaya katika Mikoa ya Tanzania Bara. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Habari Mchanganyiko

Naibu Waziri Waitara awahakikishia neema Wakandarasi wazawa

  NAIBU Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mwita Mwaikabe Waitara, amewataka wakandarasi wazawa nchini kujiepusha na vitendo vya rushwa wakati wa kuomba na...

Habari za SiasaTangulizi

Othuman amzungumzia Maalim Seif, ashiriki kamati kuu ACT-Wazalendo

  MAKAMU wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othuman Masoud Othuman amekishukuru chama chake cha ACT-Wazalendo kwa kumpendekeza kwenye nafasi hiyo huku akiwaahidi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Benki ya NMB yatoa gawio la 21.8 bilioni kwa Serikali

  SERIKALI imepokea gawio la kiasi cha Sh. 21.8 bilioni, kutoka benki ya makabwela – National Microfinance Bank (NMB) – ikiwa  ni sehemu...

Habari Mchanganyiko

RC Shigela awaonya maofisa ugani wasiokuwa na mashamba darasa

  MKUU wa mkoa wa Morogoro, Martin Shigela amewata maofisa ugani kutumia taaluma yao kivitendo kwa kuweka mashamba darasa na kuwapa elimu wakulima...

Habari za Siasa

Wabunge waibana Serikali kodi laini za simu, miamala

  BAADHI ya wabunge kutoka katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) na vyama vya upinzani, wameishauri Serikali ifungue akaunti maalumu ya benki, kwa ajili...

MichezoTangulizi

Yanga yamfungia Metacha, mwenyewe aomba radhi

  MARA baada ya uongozi wa klabu ya Yanga kumfungia mlinda mlango wake Metacha Mnata, kwa kosa la utovu wa nidhamu, mchezaji huyo...

Michezo

Kocha Simba atamba kuingamiza Polisi Tanzania

  KOCHA msaidizi wa klabu ya Simba, Seleman Matola amejinasibu kikosi chake kuwa tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu...

ElimuTangulizi

Mambo tisa yaibuka kwenye mjadala mabadiliko mifumo ya elimu

  TAKRIBANI mambo tisa, yameibuka katika mkutano wa wadau, wa kujadili namna ya uboreshaji mitaala ya elimu nchini Tanzania. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa ashuhudia ‘madudu’ EPZA, awasimamisha wawili

  WAZIRI MKUU wa Tanzania, Kassim Majaliwa amefanya ziara katika Mamlaka ya Maeneo Maalum ya Uwekezaji kwa Mauzo ya Nje (EPZA) akisema, hajaridhishwa...

Michezo

Yanga yamlilia Kenneth Kaunda

  MABINGWA wa Kihistoria nchini Tanzania, Yanga ya Dar es Salaam, imetoa salamu za rambirambi, kufuatia kifo cha Kenneth Kaunda, Rais wa kwanza...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sabaya asomewa shtaka la kumpora diwani CCM Sh. 390,000

  LENGAI Ole Sabaya, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro na wenzake wawili, wamesomewa mashtaka mawili ikiwemo unyang’anyi wa kutumia silaha,...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia akutana na mwekezaji Ikulu, atoa maagizo

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na Mwenyekiti wa kampuni za Wilmar International ya Singapore, Kuok Khoon Hong....

Habari Mchanganyiko

DPP awafutia kesi uhujumi uchumi Wachina 6

  MKURUGENZI wa Mashtaka nchini (DPP), Sylvester Mwakitalu, amewafutia shtaka la uhujumu uchumi raia sita wa China, wanaofanya kazi katika Kampuni ya Meli...

Habari za SiasaTangulizi

DPP Mwakitalu atangaza uamuzi mgumu

  MKURUGENZI mpya wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP), Sylvester Mwakitalu, ametangaza neema kwa mahabusu, wafungwa na watuhumiwa wengine wanaokabiliwa na mashtaka ya jinai...

Habari Mchanganyiko

Mchungaji Msigwa amlipua Spika Ndugai, yeye ajibu

  ALIYEKUWA Mbunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika jimbo la Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa, amemtuhumu Spika wa Bunge la...

Habari za Siasa

Watumishi 1,164 hawana vibali vya kukaimu, Serikali yatoa agizo

  SERIKALI ya Tanzania imesema, watumishi 1,496 wanakaimu nafasi za uongozi katika taasisi mbalimbali zikiwemo halmashauri za wilaya na sekretarieti za mikoa. Anaripoti...

Elimu

Mitaala ya Elimu Tanzania kufumuliwa tena

  SERIKALI ya Tanzania iko mbioni kufanya maboresho ya mitaala ya elimu ya msingi, vyuo vya kati na ufundi stadi pamoja na vyuo...

Habari za Siasa

Kelele zatawala Sabaya, wenzake wakifikishwa mahakamani

  LENGAI Ole Sabaya, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro na wenzake watano, wamefikishwa katika Mahakama mkoani Arusha. Anaripoti Mwandishi...

Michezo

Kocha Yanga afunguka usajili wa msimu ujao

Nasreddine Nabi kocha mkuu wa kikosi cha Yanga , amefunguka mipango yake ya usajili kuelekea msimu ujao wa mashindano huku akikili kuhitaji mlinzi...

error: Content is protected !!