Tuesday , 21 May 2024

Month: June 2021

Habari za Siasa

Mbunge ang’aka wananchi Kigoma kuitwa wakimbizi, serikali yajibu

  MBUNGE wa Kigoma Kaskazini (CCM), Assa Makanika, ameiomba Serikali ya Tanzania, kuwasaidia wananchi wa jimbo hilo, ambao wamekuwa wakikamatwa kwa kuitwa wakimbizi...

Habari Mchanganyiko

Ukame janga jipya Afrika

  KUONGEZEKA kwa shughuli za kibinadamu zisizo rafiki kwa mfumo wa ikolojia katika Bara la Afrika na nchi nyingine zinazoendelea duniani, kumetajwa kuwa...

Elimu

Mfumo wa elimu Tanzania kujadiliwa

  HUSNA Sekiboko, mbunge wa viti maalum, aiomba Serikali ya Tanzania, kufanya marekebisho ya mtaala wa elimu ya msingi na sekondari. Anaripoti Jemima...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sabaya, wenzake wafikishwa kortini

  ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoani Kilimajaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne, leo Ijumaa, tarehe 4 Juni 2021, wamefikishwa Mahakama...

Habari MchanganyikoTangulizi

THRDC yateta na Profesa Kabudi

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umekutana na Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi kwa lengo la...

Habari za Siasa

Mbowe awazungumzia kina Lowassa, Sumaye

  FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, ametaka wafuasi wa chama hicho waliokimbilia Chama Cha Mapinduzi (CCM), wasidharauliwe....

Habari Mchanganyiko

CCBRT yaita watoto wenye mguu kifundo

  HOSPITALI ya CCBRT, imetoa wito kwa wazazi wanaojifungua watoto wenye tatizo la mguu kifundo, kuwafikisha hospitali mapema kwa ajili ya kupatiwa matibabu....

Habari Mchanganyiko

KITS yapeleka Tanzania wawekezaji wa Kimarekani

  KAMPUNI ya Kimataifa inayojihusisha na masuala ya Utalii ya Kilimanjaro International Tourism and Safaris (KITS), imeleta wawekezaji wakubwa wawili kutoka Marekani ili...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia apokea ujumbe wa Kagame, atoa maagizo

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amepokea ujumbe kutoka kwa Rais wa Rwanda, Paul Kagame. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Ujumbe huo umewasilishwa leo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Takukuru yamkalia shingoni Kakoko wa bandari

  MKURUGENZI mpya wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru), Salum Hamduni, amemalizia kazi ya kuchunguza ubadhilifu wa mabilioni ya...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Lissu atia mguu Chato

  ALIYEKUWA mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, Tundu Lissu amejitosa kwenye mjadala wa kuundwa kwa mkoa mpya...

Michezo

Kisa Simba, Yanga yamkana Bumbuli

  Mara baada ya Afisa habari wa klabu ya Yanga Hassan bumbuli kusema hautambui mchezo wao wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya...

MichezoTangulizi

Bocco mchezaji bora mwezi Mei

Mshambuliaji wa klabu ya Simba John Bocco ameshinda tuzo ya kuwa mchezaji bora wa mashabiki mwezi Mei, mara baada ya kuwabwaga Thadeo Lwanga...

Habari za Siasa

Majaliwa abanwa bungeni fedha za miradi kurudi hazina

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amebanwa bungeni kuhusu utaratibu wa fedha za miradi zinazochoelewa kutumika, kurudishwa katika Mfuko Mkuu wa Hazina...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la makinikia laibuka bungeni

  MBUNGE wa Msalala mkoani Geita (CCM), Idd Kassim, amesema usafirishaji makontena ya makinikia kutoka Mgodi wa Bulyanhulu, umezua taharuki kwa wananchi ,...

Michezo

Yanga, Morrison kuanza upya leo

  MAHAKAMA ya usuluhishi wa michezo kimataifa (CAS) imezitaka pande zote mbili kwenye kesi ya kimkataba kati ya Yanga na Morrison kutoa taarifa...

Habari za SiasaTangulizi

Sugu, Mchungaji Msigwa wawapeleka kortini AG, bosi magereza

  WABUNGE wa zamani wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania- Chadema, Mchungaji Peter Msigwa na Joseph Mbilinyi maarufu ‘Sugu’ wamewafungulia mashtaka Kamishna...

Habari Mchanganyiko

Kijiji Matinje kupelekewa mawasiliano

  SERIKALI ya Tanzania, inakusudia kutatua matatizo ya mawasiliano Kijiji cha Matinje Ikombandulu, ambalo ni eneo la machimbo lenye idadi kubwa ya watu...

MichezoTangulizi

Kiongozi Yanga amkataa Ajibu

  Mara baada ya kuwepo kwa fununu nyingi ya mshambuliaji wa klabu ya Simba Ibrahim Ajibu kutaka kusaini Yanga, Arafati Haji ambaye ni...

Michezo

Simba kumalizana na Ruvu Shooting kesho

  KLABU ya Simba kesho itashuka Uwanjani kumenyana na Ruvu Shooting kwenye mchezo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara utakaochezwa...

Habari Mchanganyiko

Mbunge alilia deni bilioni 5 la wananchi, Bashe amjibu

  ISSA Mchungahela, mbunge wa Lulindi (CCM), mkoani Mtwara, ameiomba Serikali ya Tanzania, kuwalipa wananchi wanaodai miche ya mikirosho, deni ambalo lina muda...

Michezo

Mbunge ataka bei bidhaa sokoni kushuka, serikali yajibu

  MBUNGE wa Viti Maalum asiye na chama bungeni, Cecilia Daniel Paresso, ameiomba serikali kudhibiti mfumo wa bei kubwa za bidhaa sokoni ili...

Habari za Siasa

Samia awanyooshea kidole wateule wanaoutaka ubunge

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka waliogombea ubunge na kukosa na sasa wameteuliwa kuwa wakuu wa mikoa (RC), kutofikiria ubunge na...

Habari za Siasa

Rais Samia atoa onyo kwa Ma RC, RAS

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania, ametoa onyo kwa wakuu wa mikoa (RC) na makatibu tawala wa mikoa (RAS), kufanya kazi kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia awaapisha Ma RAS, Waziri Mkuchika

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewaapisha Makatibu Tawala wa Mikoa (RAS) 11 na George Mkuchika, kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya...

MichezoTangulizi

Azam FC wampa mkataba mpya Dube mpaka 2024

Klabu ya Azam Fc imemuongezea mkataba miaka miwili mshambuliaji wake raia wa Zimbabwe Prince Dube ambapo utamfanya kusalia hapo hadi 2024. Anaripoti Kelvin...

Michezo

Guardiola, Solskjaer kwenye vita kocha bora England

  MAKOCHA Pep Guardiolla wa Manchester City na Ole Gunner Solskjaer wa Manchester United wamejuimishwa kwenye orodha ya makocha watano kuwania tuzo ya...

Habari za Siasa

Rais Samia awataka wananchi wapige kelele changamoto za afya

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi kupaza sauti zao wanapokutana na changamoto za huduma ya afya, ili Serikali yake izifanyie...

Habari za Siasa

Uteuzi wahadhiri serikalini waibua mjadala bungeni

  ANATROPIA Theonest, Mbunge Viti Maalum asiye na chama bungeni, amehoji mkakati wa Serikali, katika kuziba pengo la wahadhiri wa vyuo vikuu, wanaoteuliwa...

Habari za Siasa

Kisa mavazi: Ndugai amtimua mbunge bungeni, atoa maagizo

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, ametoa maagizo kwa walinzi wa Bunge hilo, kutowaruhusu wabunge wanaovaa vibaya kuingia bungeni. Anaripoti Mwandishi...

Michezo

Greenwood aondolewa kikosini England Euro

  KLABU ya Manchester United imethibitisha kuondolewa kikosini kwa kinda wake Mason Greenwood mara baada ya kupata majeraha katika kuelekea fainali ya michuano...

Makala & UchambuziTangulizi

Vigogo wachambua vigezo Chato kuwa mkoa

  MAPENDEKEZO ya kuundwa kwa mkoa mpya wa Chato, yametibua hali ya hewa na kuibua mjadala mzito. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...

Michezo

Nane waingia kinyang’anyiro tuzo mchezaji bora Epl

   WACHEZAJI nane kutoka klabu tofauti ndani ya Ligi Kuu nchini England wameingia kwenye kinyang’anyiro cha tuzo ya mchezaji bora wa Ligi hiyo...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaanza kuondoa mgogoro wa Tarura, wabunge

  SERIKALI ya Tanzania, imeanza kuondoa changamoto ya ukata wa fedha, katika Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (Tarura), baada ya Mfuko...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia aanza kupekua miradi ya JPM

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema amepitia mikataba ya miradi ya ujenzi wa miundombinu, iliyoachwa na mtangulizi wake, Hayati John Magufuli,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Uongozi Soko la Karikaoo matatani, Samia aagiza uchunguzi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemuagiza Waziri Ofisi ya Rais-Tamisemi, Ummy Mwalimu, kuwasimamisha kazi viongozi wa Shirika la Masoko ya Kariakoo,...

MichezoTangulizi

Staa Ligi Kuu England atua Bungeni

  Mlinzi wa kati wa klabu ya Crystal Palace ya nchini England Mamadou Sakho amefika Bungeni Jijini Dodoma na kuangalia shughuli za uwendeshaji...

Habari MchanganyikoMichezo

CAS yatupilia mbali rufaa ya Morrison kwa Yanga

  MAHAKAMA ya usuluhishi wa michezo ya kimataifa (CAS) imetupilia mbali rufaa ya mchezaji Bernad Morrison dhidi ya Yanga kwenye kesi ya kimkataba...

error: Content is protected !!