Friday , 26 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Sabaya, wenzake wafikishwa kortini
Habari MchanganyikoTangulizi

Sabaya, wenzake wafikishwa kortini

Spread the love

 

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoani Kilimajaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne, leo Ijumaa, tarehe 4 Juni 2021, wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha. Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha … (endelea)

Sabaya amekuwa akishikiliwa kwa zaidi ya 10 kwa mahojiano na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kwa tuhuma mbalimbali zinazomkabili za matumizi mabaya ya madaraka.

Uchunguzi huo, umefanyika baada ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kumsimamisha hivi karibuni ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili.

Endelea kufuatilia MwanaHALISI TV, MwanaHALISI Online na mitandao yetu kwa habari na taarifa mbalimbali

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

error: Content is protected !!