Thursday , 18 April 2024
Home Kitengo Michezo Azam FC wampa mkataba mpya Dube mpaka 2024
MichezoTangulizi

Azam FC wampa mkataba mpya Dube mpaka 2024

Spread the love

Klabu ya Azam Fc imemuongezea mkataba miaka miwili mshambuliaji wake raia wa Zimbabwe Prince Dube ambapo utamfanya kusalia hapo hadi 2024. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)

Dube amesaini mkataba huo hii leo tarehe 1 Juni, 2021 mbele ya mtendaji mkuu wa klabu hiyo Abdukarim Amin maarufu kama Popat.

Mshambuliaji huyo kwa sasa ndiye kinara wa upachikaji mabao kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara mara baada ya kuingia kambani mara 17.

Mfumania nyavu huyo  alijiunga na Azam FC mwezi Agost 2021 kwenye dirisha kubwa la usajili.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yatangaza ruti awamu ya pili maandamano

Spread the love  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema awamu ya...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia kutunukiwa udaktari wa heshima Uturuki

Spread the loveBaraza la Chuo Kikuu cha Ankara, ambacho ni cha pili...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia atua Uturuki kwa ziara ya siku 5

Spread the loveRais Samia Suluhu Hassan leo Jumatano amewasili nchini Uturuki kwa...

error: Content is protected !!