Thursday , 30 March 2023
Home Kitengo Michezo Azam FC wampa mkataba mpya Dube mpaka 2024
MichezoTangulizi

Azam FC wampa mkataba mpya Dube mpaka 2024

Spread the love

Klabu ya Azam Fc imemuongezea mkataba miaka miwili mshambuliaji wake raia wa Zimbabwe Prince Dube ambapo utamfanya kusalia hapo hadi 2024. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)

Dube amesaini mkataba huo hii leo tarehe 1 Juni, 2021 mbele ya mtendaji mkuu wa klabu hiyo Abdukarim Amin maarufu kama Popat.

Mshambuliaji huyo kwa sasa ndiye kinara wa upachikaji mabao kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara mara baada ya kuingia kambani mara 17.

Mfumania nyavu huyo  alijiunga na Azam FC mwezi Agost 2021 kwenye dirisha kubwa la usajili.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

TANROADS wawataka watumishi wazingatie michezo kazini

Spread the love  WAKALA wa barabara Tanzania (TANROADS) imesema michezo inapaswa kuzingatiwa...

Michezo

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

Spread the loveUONGOZI wa klabu ya Yanga, umesema fedha zinazotolewa na Rais...

Michezo

Simba Sc. yamvulia kofia Rais Samia, yamuahidi makubwa dhidi ya Horoya

Spread the loveWAKATI timu ya Simba ikiibuka na ushindi wa bao 3-0...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia ampandisha cheo RPC wa Dar

Spread the loveMKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camillus Wambura, amesema...

error: Content is protected !!