Saturday , 27 April 2024
Home Kitengo Michezo Greenwood aondolewa kikosini England Euro
Michezo

Greenwood aondolewa kikosini England Euro

Spread the love

 

KLABU ya Manchester United imethibitisha kuondolewa kikosini kwa kinda wake Mason Greenwood mara baada ya kupata majeraha katika kuelekea fainali ya michuano ya Euro itakayoanza juni 2021. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)

Kinda huyo alijumishwa kwenye kikosi cha wachezaji 33 wa awali ambao waliitwa na kocha mkuu wa timu hiyo Gareth Southgate kwa ajili ya kujiandaa na michuano hiyo.

Taarifa iliyotolewa na Manchester United ilieleza kuwa kinda huyo mwenye miaka 19, atasalia kwa ajili ya matibabu Zaidi kujiandaa na msimu ujao wa Ligi.

Southgate kocha wa timu ya Taifa ya England

Aidha klabu hiyo iliendelea kusema kuwa majeruhi aliyoyapata mchezaji huyo ndio yaliyomuweka nje kwenye kikosi cha England kilichoshiriki michuano ya Euro kwa vijana chini ya umri wa miaka 21.

Pia kwa upande mwengine Southgate atataweka wazi majina 26 ya wachezaji wa timu ya Taifa ya England watakaokwenda kwenye michuano hiyo baadae hii leo.

Mchezaji huyo alikuwa tegemeo ndani ya klabu yake kwenye msimu ulioisha mara baada ya kucheza michezo 31 na kufunga mabao saba.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!