Friday , 26 April 2024
Home Kitengo Michezo Bocco mchezaji bora mwezi Mei
MichezoTangulizi

Bocco mchezaji bora mwezi Mei

John Bocco mshambuliaji wa Simba
Spread the love

Mshambuliaji wa klabu ya Simba John Bocco ameshinda tuzo ya kuwa mchezaji bora wa mashabiki mwezi Mei, mara baada ya kuwabwaga Thadeo Lwanga na Bernad Morrison waliokuwa wote kwenye kinyang’anyiro. Anaripoti Kelvin Mwaipungu…(endelea)

Katika michezo aliyocheza mwezi Mei katika mashindano ya Ligi Kuu na Ligi ya Mabingwa Barani Afrika mshambuliaji huyo amepachika jumla ya mabao 5.

Mara baada ya kuchaguliwa kushinda tuzo hiyo Bocco atapata kitita cha shilingi 1,000,000 kutoka kwa wadhamini wa tuzo hiyo kampuni ya Emirates Aluminium.

Katika kura zilizopigwa mshambuliaji huyo ameshinda kwa asilimia 59.3, nafasi ya pili ikishikwa na Morrison aliyepata asilimia 29.4 na Lwanga alipata asilimia 11.3.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

error: Content is protected !!